mafutamingi
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 2,772
- 2,171
Hivi majuzi Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) Ndg Biswalo Mganga alitoa tuhuma kuwa baadhi ya wabunge wanapokea rushwa. Baada ya kali hii kutoka, nilitegemea Spika Ndugai amshukie DPP kwa kulidhalilisha bunge kutokana na kauli yake.
Kwa hakika kama ukipima kauli za CAG na DPP kuwa ni za udhalilishaji kwa kipimo ambapo kiwango cha chini ni 0 na kiwango cha juu ni `100 naona kauli ya CAG ni 5 na ya DPP ni 90 lakini sijasikia Spika akilipuka! Kulikoni?
Kwa hakika kama ukipima kauli za CAG na DPP kuwa ni za udhalilishaji kwa kipimo ambapo kiwango cha chini ni 0 na kiwango cha juu ni `100 naona kauli ya CAG ni 5 na ya DPP ni 90 lakini sijasikia Spika akilipuka! Kulikoni?