Gaddafi alishindwa kwa sababu Walibya walisaidiwa na magharibi, je sisi pia tutasaidiwa?
Hapana hata tusiposaidiwa, uongozi wa Kikwete sio tishio ukaweza kusimama km ilivyokuwa nguvu ya Kaddafi, sisi tu tutamaliza kazi.
THE GRAIN OF WHEAT by Ngugi wa Thion'go, someni hiki kitabu, mtaelewaIli mbegu imee inahitajika Ife, ifukiwe ardhini ioze na ndipo mmea uchipue vivyohivyo kwa ukombozi lazima damu za wachache wanaongoza ukombozi zimwagike iwe ni kwa vifo,mateso au kitu chochote kile. Kwa hiyo Hao wanaowindwa wasianze kutapatapa they are the chosen one kwa ukombozi wa Taifa hili, na jamii yetu itawakumbuka milele "Usimwogope mwanadamu anaeweza kuua mwili Bali mwogopeni Mungu anaewza kuangamiza mwili na roho" ALUTA CONTINUA, tunazaliwa siku moja na kufa siku moja fear not. Especially kwa Lema chaliii angu usiwire bumps wala usianye boya yeyote Simba wa kuchora hang'ati
Mi nawaambia nyie CDM wa JF kila kukicha ombeni mungu amani iendelee kuwepo. Siku ikitoweka kwa muda wa wiki moja ndio mtajua nini maana ya wanaccm.
Hivi kwa kutaja hayo majina, mkiambiwa mthibitishe mtaweza kufanya hivyo? Mmejiridhisha na ushahidi mlioupata?
Yametimia....
anayetumia kalamu kuingia madarakani ...atatumia "mtutu wa .....
TISS imechafuka kweli kweli...haya mambo yanatoa taswira hasi zidi ya institution hiyo nyeti na muhimu ustawi wa Taifa. Sijui tunakwenda wapi!