Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
WanaJF.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
WanaJF.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
View attachment 1259129
Kwa znz inawezekana sana tena!Hizi tuhuma badala ya kupelekwa wizara ya Ardhi ziimeletwa huku tena na mtu mmoja!!
Kifupi makaburi sio ya mtu mmoja ni kwa ajili ya watu wote sasa kama mtu kafukua makaburi na kujenga nyumba tena ni huyu "Shangazi" anaewindwa aingie kwenye 18 zao afu aachiwe hivi hivi!!
Nna mashaka sana na hii taarifa!
Kila anae wakosea nyinyi kwenu hua adui huyo hamusubutu hata kumgusa kama kweli mwaweza jaribuni mungano usipo vunjika vichogo mukabaki kuuza dawa ya mbuu kunguni viroboto mendeKwahiyo amejenga juu ya makaburi
Ndio maana akili zimeanza kumruka huyo mseja
Mtoa post ndiye uyo Zimema uyu dada anatumika kama Musiba. Ni chakula cha maDc.WanaJF.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
View attachment 1259129
Nimeona ila Nakushauri nipe anuani ya makazi yako nikuletee mkate, kilo moja sukari, mchele kilo nne, sembe kilo sita na kipande cha sabuni kama fidia.WanaJF.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
View attachment 1259129
Siku hizi hampewi "airtime" hapo Lumumba?WanaJF.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
View attachment 1259129
Utakua umemalizwa marinda yote pambana sasa ubebe mimbaWanaJF.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
View attachment 1259129
Hizi tuhuma badala ya kupelekwa wizara ya Ardhi ziimeletwa huku tena na mtu mmoja!!
Kifupi makaburi sio ya mtu mmoja ni kwa ajili ya watu wote sasa kama mtu kafukua makaburi na kujenga nyumba tena ni huyu "Shangazi" anaewindwa aingie kwenye 18 zao afu aachiwe hivi hivi!!
Nna mashaka sana na hii taarifa!
Mwanadamu hatosheki hata apate vyote!Smear campaign!
CCM uchaguzi mmeachiwa,nyie ndio washindi 100%,bado tu hilo halitoshi?
Mwanadamu hatosheki hata apate vyote!
Duu mbona maneno makali sanaWanaJF.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
View attachment 1259129
Kwanini asipeleke shtaka mahakamani ? Yaani mawaziri wafanyie kazi shtaka la mtandaoni?WanaJF.
Mjisomee Wenyewe
Waziri Lukuvi, Waziri Lugola Na Takukuru hili linawahusu.
View attachment 1259129
Naona unaamua kutuondoa kwenye hoja. Aliyeleta hoja hii siyo chama cha siasaSmear campaign!
CCM uchaguzi mmeachiwa,nyie ndio washindi 100%,bado tu hilo halitoshi?
Naona unaamua kutuondoa kwenye hoja. Aliyeleta hoja hii siyo chama cha siasa