Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Hizi tuhuma zinaenezwa sana kupitia mitandao ya kijamii. Hii mitandao ya kijamii ina nguvu sana maana ndio source of information.
Wanaoeneza hizi tuhuma wameenda mbali na kudai kuda hata hawa viongozi walipokuwa wakionyesha umma kuwa wanapata chanjo manesi waliowadunga chanjo hawakuvuta dawa na ilikuwa ni bosheni.
Hizi tuhuma sio nzuri maana zinawaaminisha wananchi kuwa viongozi wa kitaifa ni waongo na walifanya hivyo kuhadaa wananchi.
Zikanushwe haraka mara moja na ufafanuzi ufanyike.
Wanaoeneza hizi tuhuma wameenda mbali na kudai kuda hata hawa viongozi walipokuwa wakionyesha umma kuwa wanapata chanjo manesi waliowadunga chanjo hawakuvuta dawa na ilikuwa ni bosheni.
Hizi tuhuma sio nzuri maana zinawaaminisha wananchi kuwa viongozi wa kitaifa ni waongo na walifanya hivyo kuhadaa wananchi.
Zikanushwe haraka mara moja na ufafanuzi ufanyike.