Mkono kazoea kesi za BOT zilipangwa kupitishia fedha za EPA kwakeLissu hawez simama na mkono kwa court atabwabwaja, mtoto mdogo msondo kamkalisha atawezaje kwa mkali wa sheria tz
Hivi hizi taarabu zitaisha lini
Hivi hizi taarabu zitaisha lini
mkono amekana madai ya tobo lissu,lakini hajakana madai ya zitto kuhusu mbowe kupewa mamilioni,wanachadema bado hamuelewi???? pili,inaonyesha namna gani gongo ilivyo mbaya kwa ustawi wa taifa letu hasa baada ya kuwafanya viongozi wakuu wa chadema kuwa mabingwa wa kuropoka,uwongo na uzandiki,
ndio maana Rais J.M.KIKWETE alimuita huyu tobo muongo,mfitini,na mzandiki.....huo ndio msimamo wangu kuanzia sasa kuhusu tobo..
Tamko rasmi la mzee mkono linasema kuwa hajawahi kumpa zitto gari kama ilivyosemwa ktk kikao cha juzi.
Kwa taarifa zaidi soma hapa:
Kama ni kichwa alitakiwa kujua mwanasheria kichwa hatoi tuhuma bila ya kuwa na vithibitisho vya kuweza ku back up tuhuma.
Kama hana vithibitisho anategemea kauli za watu, si kichwa wala nini, mnamkuza tu.
Acha uhuni wa kupotosha tumesoma tamko la mkono usipende kila kitu kupotosha.Wanajamvi,
Mambo yamewekwa wazi:
Mh Mkono katoa tamko kuhusu tuhuma za Zito. Kasema hajawahi kumpa Mbowe hata senti tano. Amekiri kwamba Zito ana magari 2 'aliyonunua' kwake.
Rostam Aziz
"Miaka miwili iliyopita nilitangaza kujitoa katika masuala ya Siasa za ushindani ambazo kwa mtazamo wangu zilishafikia kiwango cha kuitwa Siasa uchwara. Sioni kama itakuwa busara kwangu kuniingiza katika malumbano mapya tena Siku zote nimekuwa kimya Kila jina langu linapotajwa kwa namna. Na kwa njia tofauti katika vyombo vya habari. Naona ni busara kwangu nikiendeleza hekima Hiyo ya kukaa kimya na kuacha Ukweli ukinitetea"
Chanzo Tanzania Daima
CCM ndio safari washa shindwa kwa kumtumia Zitto walidhani watashinda sasa yanawatokea puaniccm is "a sleeping giant" kuiangusha kwahitaji patience na ridhaa kutoka kwa wananchi kadhalika kwahitaji ukomavu wa kisiasa,yanayotokea ndani ya chadema yanadhihirisha bado mu wachanga ktk hii medani, ccm; kwa miongo kadhaa wamekuwa wakiwasomesha uongozi wa kisiasa wanachama wake pale kivukoni na nje ya nchi, sasa ndugu zangu wa chadema mtu kamaliza "digilii" yake ya sheria wengine sijui walisomea nini, tena walifaulu kwa kutizamia majawabu, mnaanza kutukana wakubwa! hamna adabu kabisa, halafu mnataka uongozi wa nchi. mtauweza au mnataka kutuzuga mtufelishe, chadema jipangeni anzeni upya acheni ngenga........!
Hivi hizi taarabu zitaisha lini
Aah,Mbona viambatanisho anavyo!muulize mkeo/mumeo atakuonyesha tu.
Lissu hawez simama na mkono kwa court atabwabwaja, mtoto mdogo msondo kamkalisha atawezaje kwa mkali wa sheria tz
mkono amekana madai ya tobo lissu,lakini hajakana madai ya zitto kuhusu mbowe kupewa mamilioni,wanachadema bado hamuelewi???? pili,inaonyesha namna gani gongo ilivyo mbaya kwa ustawi wa taifa letu hasa baada ya kuwafanya viongozi wakuu wa chadema kuwa mabingwa wa kuropoka,uwongo na uzandiki,
ndio maana Rais J.M.KIKWETE alimuita huyu tobo muongo,mfitini,na mzandiki.....huo ndio msimamo wangu kuanzia sasa kuhusu tobo..
Wote waongo Mzee Mkono anamfunika funika Tunaamini wanaosema Zitto ni mwizi wa rasmimali za umma na mla rushwa kaumbuka
Zitto anasema anamiliki freelander na carina, hii land-cruiser ameiuza?, na hii Nissan anaifanyia biashara gani, Zitto hajawahi kutaja umiliki wa hizi gari, haoni kama Mkono kamuumbua, njia ya mwongo ni fupi,ni nani huyo aliyemweleza mwanasheria msomi kuwa Mzee Mkono alimpa zitto magari? si wangesema tu zitto alinunua gari moja na kukodi moja,ama hii ingempa zitto ushindi?
uongo huchelewa kuja na ukija hukuta mambo yameshaharibika