Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu huu uzi ulianzishwa October 12, 2015 angalia tarehe hapo juu, sasa sijui kati ya wewe na mtoa mada nani ni mgambo wa katibu tarafa. Ila nahisi utakuwa unawashwaWw ungekua Polisi basi naimani ungekua wale Mgambo wa katibu Tarafa wenu ulipotoka.
Yaani unahoji Ati Vyeti,ukabila elimu. baada ya MTU kua madarakani...!!!
Au ulipaswa uhoji MTU pindi anapoendea fom ya ugombea,,!!!
Sent from Calculator Phone vesion007
Ukiona hivyo ujue kuna namna!hii thread ilifichwa wapi?....kwanini haikuonekana siku ilipoanzishwa (october 2015),ije ionekane leo september 2017?.
Mkuu huu uzi ulianzishwa October 12, 2015 angalia tarehe hapo juu, sasa sijui kati ya wewe na mtoa mada nani ni mgambo wa katibu tarafa. Ila nahisi utakuwa unawashwa
Na namna yrnyewe ni matendo ya kimbari yanayoendelea nchini yakiratibiwa na kiongozi wa "Kihutu" anaejifanya ni "Mzilankende aka Masanja"Ukiona hivyo ujue kuna namna!
wewe! futa mwenyewe huu uzi...Wana jamvi tunahaki ya kihoji Rais anayekuja kutuongoza kwakila tunalokuwa na shaka nalo moja ni juu ya usafi wake,uadilifu wake,elimu yake na Uraia wake! Twende kazi.
Hahahaaaa masoud analichora KorongoNi mtusi wa Rwanda,sio mtanzania yule....
Watanzania hatunaga vipara vya namna ile,alafu Kati ya kisogo na kipanda uso kuna bonde(shimo)...
Napinga sio mtz yule...ndomaana alimuua Ben Saa8 kwa kuhoji uhalali wa elimu yake na uraia...
.................................
HAHAHAHAHAHA NA NISSAN NYEUPEEEE
Anzisha hojaji ili wengine tuchangie. Usije ukawa ni mmoja wa watu mtu wasiojulikana unatutafuta humu.Wana jamvi tunahaki ya kihoji Rais anayekuja kutuongoza kwakila tunalokuwa na shaka nalo moja ni juu ya usafi wake,uadilifu wake,elimu yake na Uraia wake! Twende kazi.