Tuhamasishe saini 1,000,000 endapo Spika hataitisha Bunge la dharura!

Ileje

JF-Expert Member
Dec 20, 2011
8,784
12,226
Kuna kila dalili hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ikazimwa. Silaha pekee itakayobaki ni kwa wabunge wetu kutahamasisha zipatikane saini zaidi ya milioni moja kutoka kwa wananchi ili kumshinikiza Rais kuvunja baraza la mawaziri na ikiwezekana kuvunja bunge!

Nashauri po pote walipo wana JF kuanzisha harakati hizi ili ukombozi upatikane haraka!

Freedom is coming now!
 
Kuna kila dalili hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ikazimwa. Silaha pekee itakayobaki ni kwa wabunge wetu kutahamasisha zipatikane saini zaidi ya milioni moja kutoka kwa wananchi ili kumshinikiza Rais kuvunja baraza la mawaziri na ikiwezekana kuvunja bunge!

Nashauri po pote walipo wana JF kuanzisha harakati hizi ili ukombozi upatikane haraka!

Freedom is coming now!

Hii ni kwa mujibu wa kanuni ipi? Maana kuna katiba, sasa isije ikawa extension ya fools day.
 
Kuna kila dalili hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ikazimwa. Silaha pekee itakayobaki ni kwa wabunge wetu kutahamasisha zipatikane saini zaidi ya milioni moja kutoka kwa wananchi ili kumshinikiza Rais kuvunja baraza la mawaziri na ikiwezekana kuvunja bunge!

Nashauri po pote walipo wana JF kuanzisha harakati hizi ili ukombozi upatikane haraka!

Freedom is coming now!

Ileje hebu dadavua sahihi miliion moja zipo kwa mujibu wa kifungu kipi cha katiba na mchakato wake umekaaje?
 
Kuna kila dalili hoja ya kutokuwa na imani na waziri mkuu ikazimwa. Silaha pekee itakayobaki ni kwa wabunge wetu kutahamasisha zipatikane saini zaidi ya milioni moja kutoka kwa wananchi ili kumshinikiza Rais kuvunja baraza la mawaziri na ikiwezekana kuvunja bunge!

Nashauri po pote walipo wana JF kuanzisha harakati hizi ili ukombozi upatikane haraka!

Freedom is coming now!

Mambo hayaendi kwa utaratibu huo, kama kila mtu atakuwa na katiba yake nini kitafuatwa? Umeshasoma katiba ya nchi namna gani Rais anaweza kuondolea madarakani?
 
Ileje una wazo zuri.tatizo tutakwama kwenye kanuni,na mambo ya magamba mtiti.
 
Tufafanulie mkuu sahihi mil 1 kivipi? Au nayo huku ni 20% ya watanzania?

Viongozi wetu wa vyama vya upinzani wamedhamiria kuishitaki serikali kuitisha maandamano nchi nzima ili kufanyike mabadiliko. Hoja hii ya kutaka mabadiliko katika serikali pia inaungwa mkono na wabunge wengi wa CCM.

Hivyo ili kufanikisha shitaka hili inabidi kuwe na takwimu halisi zinazounga mkono mabadiliko haya kutoka kwa wananchi kwa kuwa maandamano peke yake hayawezi kuionyesha serikali uhalisia wa kukubalika kwa hoja.

Hivyo kwa kutumia Katiba ibara ya 8(1) a-c ambavyo vinasema:

(a) wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali
itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa
wananchi kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa wananchi;
(c) Serikali itawajibika kwa wananchi;
(d) wananchi watashiriki katika shughuli za Serikali yao
kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

Kutokana na ibara hiyo wabunge wataweza kutumia ibara ya 46A kumshitaki Rais kwa kushindwa kutumia madaraka yake vizuri kuzuia wizi na mali na rasilimali za taifa. Watafanyi hivyo wakiwa na imani kuwa wanaungwa mkono wa wapiga kura wengi. Kura zaidi ya milioni moja ni mtaji mzuri.
 
Viongozi wetu wa vyama vya upinzani wamedhamiria kuishitaki serikali kuitisha maandamano nchi nzima ili kufanyike mabadiliko. Hoja hii ya kutaka mabadiliko katika serikali pia inaungwa mkono na wabunge wengi wa CCM.

Hivyo ili kufanikisha shitaka hili inabidi kuwe na takwimu halisi zinazounga mkono mabadiliko haya kutoka kwa wananchi kwa kuwa maandamano peke yake hayawezi kuionyesha serikali uhalisia wa kukubalika kwa hoja.

Hivyo kwa kutumia Katiba ibara ya 8(1) a-c ambavyo vinasema:

(a) wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali
itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa
wananchi kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa wananchi;
(c) Serikali itawajibika kwa wananchi;
(d) wananchi watashiriki katika shughuli za Serikali yao
kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

Kutokana na ibara hiyo wabunge wataweza kutumia ibara ya 46A kumshitaki Rais kwa kushindwa kutumia madaraka yake vizuri kuzuia wizi na mali na rasilimali za taifa. Watafanyi hivyo wakiwa na imani kuwa wanaungwa mkono wa wapiga kura wengi. Kura zaidi ya milioni moja ni mtaji mzuri.
Kama kifungu hiki kipo hakuna haja ya kuvumilia ngumi ile hali una panga mkononi.
 
Viongozi wetu wa vyama vya upinzani wamedhamiria kuishitaki serikali kuitisha maandamano nchi nzima ili kufanyike mabadiliko. Hoja hii ya kutaka mabadiliko katika serikali pia inaungwa mkono na wabunge wengi wa CCM.

Hivyo ili kufanikisha shitaka hili inabidi kuwe na takwimu halisi zinazounga mkono mabadiliko haya kutoka kwa wananchi kwa kuwa maandamano peke yake hayawezi kuionyesha serikali uhalisia wa kukubalika kwa hoja.

Hivyo kwa kutumia Katiba ibara ya 8(1) a-c ambavyo vinasema:

(a) wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali
itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa
wananchi kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa wananchi;
(c) Serikali itawajibika kwa wananchi;
(d) wananchi watashiriki katika shughuli za Serikali yao
kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

Kutokana na ibara hiyo wabunge wataweza kutumia ibara ya 46A kumshitaki Rais kwa kushindwa kutumia madaraka yake vizuri kuzuia wizi na mali na rasilimali za taifa. Watafanyi hivyo wakiwa na imani kuwa wanaungwa mkono wa wapiga kura wengi. Kura zaidi ya milioni moja ni mtaji mzuri.

Ok ngoja nimtumie huu ujumbe mb wangu.
 
Ileje una wazo zuri.tatizo tutakwama kwenye kanuni,na mambo ya magamba mtiti.

BAsi tumshawishi Pinda ajiuzulu ili kulinda heshima yake ambayo JK amedhamiria kumdhalilisha kila wakati. Tuone kama serikali haijabadilishwa.
 
Hii ni kwa mujibu wa kanuni ipi? Maana kuna katiba, sasa isije ikawa extension ya fools day.

Mkuu katiba imeshachakachuliwa, kilichobaki kwa viongozi wetu ni kutukomoa na hiyo katiba unayodai ipo.

Namshangaa mtoa mada anataka saini mil.1. hata angehitaji sain za watu mil.35 zingepatikana.

JK anatulazimisha tuanze kuagiza AK47 kwa lazima.
 
Viongozi wetu wa vyama vya upinzani wamedhamiria kuishitaki serikali kuitisha maandamano nchi nzima ili kufanyike mabadiliko. Hoja hii ya kutaka mabadiliko katika serikali pia inaungwa mkono na wabunge wengi wa CCM.

Hivyo ili kufanikisha shitaka hili inabidi kuwe na takwimu halisi zinazounga mkono mabadiliko haya kutoka kwa wananchi kwa kuwa maandamano peke yake hayawezi kuionyesha serikali uhalisia wa kukubalika kwa hoja.

Hivyo kwa kutumia Katiba ibara ya 8(1) a-c ambavyo vinasema:

(a) wananchi ndio msingi wa mamlaka yote, na Serikali
itapata madaraka na mamlaka yake yote kutoka kwa
wananchi kwa mujibu wa Katiba hii;
(b) lengo kuu la serikali litakuwa ni ustawi wa wananchi;
(c) Serikali itawajibika kwa wananchi;
(d) wananchi watashiriki katika shughuli za Serikali yao
kwa mujibu wa masharti ya Katiba hii.

Kutokana na ibara hiyo wabunge wataweza kutumia ibara ya 46A kumshitaki Rais kwa kushindwa kutumia madaraka yake vizuri kuzuia wizi na mali na rasilimali za taifa. Watafanyi hivyo wakiwa na imani kuwa wanaungwa mkono wa wapiga kura wengi. Kura zaidi ya milioni moja ni mtaji mzuri.

Sioni kifungu kinachowapa mamlaka wananchi kuiadhibu serikari inaposhindwa kutekeleza majukumu
Adhabu pekee ni kwenye sanduku la kura. ilitoka hapo hatuna ujanja tena nguvu yote tunakuwa tumeikasimu kwa wabunge wetu. kama hao wabunge wanashindwa kufanya hiyo kazi ya kuiwajibisha sherikali basi na wao pia hawatufai maana wao ndio kiungo kati ya wananchi na Serikali.

Wao wabunge wakiamua wanaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na spika, waziri mkuu au hata rais mwenyewe.

Kuja kuishitaki serika kwa wananchi ni kupoteza muda tu, sisi wananchi hatuna nguvu hiyo ya kuikoromea serikali labda tushawishiwe kuingia mstuni tu. tusidanganyane hapa jamani. Nguvu yetu ni kwenye sanduku la kura full-stop.
 
Mkuu katiba imeshachakachuliwa, kilichobaki kwa viongozi wetu ni kutukomoa na hiyo katiba unayodai ipo.

Namshangaa mtoa mada anataka saini mil.1. hata angehitaji sain za watu mil.35 zingepatikana.

JK anatulazimisha tuanze kuagiza AK47 kwa lazima.

Kabla ya hayo hebu tujaribu kutumia hoja ya wingi wetu tunaotaka mabadiliko!
 
Saini 1000000 kwa kigezo kipi? Nafikiri suala hapa ni kuangalia, kama wananchi tunaweza kuwajibisha serikali kivipi. Kifungu kinachozungumzia wananchi bahati mbaya hakija sema technicality zake. ila Bunge linaweza kupiga kura ya kutokuwa na imani na raisi, na lenyewe hua linavunjwa (Mtego huu). Kama wanaogopa kutia dole gumba watakubali kurudi majimboni? Sisi tumepewa nguvu ya ya kupiga kura ya kuchagua tu, na sio kuondoa.

Naona wanasheria watusaidie. Mimi naona njia ya Zitto ndio ya kuanzia. Baada ya siku 14 basi tushinikize bunge likutane. kama wakikataa. sasa hapo hata mimi sijui. Maana pressure itapanda. Ngoja niwaachie vijana wamalizie.
 
Back
Top Bottom