Gidbang
JF-Expert Member
- Jun 1, 2014
- 4,481
- 3,991
Hawa jamaa wanchoringia ni hizo kodi zetu tukateni huu mrija wa kodi kwa kususia bidhaa na huduma zisizo za lazima kwa mwezi mmoja.Kupambana nao kwa njia ya maandamano na kupamvana na dola hatutafanikiwa lazima wananchi tuache kulalamika na viongozi na wanaharakati wahimizeni watu kususia matumizi ya bidhaa na huduma zisizo za lazima.
Nashauri TUGOMEE BAADHI YA HUDUMA ambazo si za lazimaTUONE KAMA HAWATATUSIKILIZA.
Mfano Bia, soda, majuice, maji ya kunywa, sigara, tuache kutumia magari binafsi tupande dala dala Mbona mwezi mmoja watanyooka wakikosa faini na kodi.
Hii ndo dawa yao hakuna kugombana nao.
Nashauri TUGOMEE BAADHI YA HUDUMA ambazo si za lazimaTUONE KAMA HAWATATUSIKILIZA.
Mfano Bia, soda, majuice, maji ya kunywa, sigara, tuache kutumia magari binafsi tupande dala dala Mbona mwezi mmoja watanyooka wakikosa faini na kodi.
Hii ndo dawa yao hakuna kugombana nao.