COARTEM
JF-Expert Member
- Nov 26, 2013
- 3,598
- 3,644
Salamu kwenu enyi TUGHE msio na msaada wowote kwa mtumishi wa umma sekta ya Afya. Mshahara wangu wa mwezi December 2018 mmenikata Tshs 30,000/- ambayo sikuwahi kukubaliana na nyie popote pale.
Mimi siyo mwanachama wa TUGHE, hivyo kunikata kwa lazima maana yake mnalazimisha kuniibia pesa yangu nayoitolea jasho.
Nyie TUGHE jiandaeni kwenda mahakamani kurudisha hizo pesa zangu.
Mimi siyo mwanachama wa TUGHE, hivyo kunikata kwa lazima maana yake mnalazimisha kuniibia pesa yangu nayoitolea jasho.
Nyie TUGHE jiandaeni kwenda mahakamani kurudisha hizo pesa zangu.