Ni kwa muda mrefu nimemekuwa nafikiria jina mbadala la kambi ya upinzani....hili neno sio zuri sana, sasa kwenye mchakato wa bunge la katiba wanatumia MAONI YA WACHACHE... NADHANI NI JINA MUAFAKA KWA KAMBI YA UPINZANI KUWA KAMBI YA WACHACHE
Wewe Mgomvi kweli, wenyewe Wanajua ndio wengi, Kwa maana ndio wenye "NGUVU YA UMMA" uite tena wachache? Ama!!!!
Aisee proudly only made in TANZANIA!wanaweza kuwa wachache wakawa wanawakiliasha wengi walionje ya mfuno wa utawala, walio wengi wanawakilisha wachache wenye madaraka
Mimi naishangaa sana bunge letu hao wachache nao wanamisimamo yao ukisema tukubaliane nao pamoja na uchache wao watatuburuza.Ibaki hivyo hivyo Kambi ya Upinzani hata kama 2.TushachokaNi kwa muda mrefu nimemekuwa nafikiria jina mbadala la kambi ya upinzani....hili neno sio zuri sana, sasa kwenye mchakato wa bunge la katiba wanatumia MAONI YA WACHACHE... NADHANI NI JINA MUAFAKA KWA KAMBI YA UPINZANI KUWA KAMBI YA WACHACHE
Wewe Mgomvi kweli, wenyewe Wanajua ndio wengi, Kwa maana ndio wenye "NGUVU YA UMMA" uite tena wachache? Ama!!!!
ni kwa muda mrefu nimemekuwa nafikiria jina mbadala la kambi ya upinzani....hili neno sio zuri sana, sasa kwenye mchakato wa bunge la katiba wanatumia maoni ya wachache... Nadhani ni jina muafaka kwa kambi ya upinzani kuwa kambi ya wachache