Kijakazi
JF-Expert Member
- Jun 26, 2007
- 6,408
- 8,903
Dhidi ya Sukuma Gang.
Ndio Chama kipi hicho?
Dhidi ya Sukuma Gang.
Kikundi ndani ya chama.Ndio Chama kipi hicho?
Kikundi ndani ya chama.
HahaahhahahaDr Shen alikubali kumwachia ushindi maalim serif lkn VAMPIRES WA KIJANI walimkatalia mchana kweupe
Kenya wako kwenye right direction ...... wakati wao wanajitahidi kuungana kwa kila namna huku kwetu CCM anatafuta namna ya kutugawa ili waendelee kubaki madarakani.Mbowe kukaribishwa ikulu jana sio ishu ya kwamba ndo wamekuwa na mlengo mmoja wa kisiasa na Samia. Ile ilikuwa ni kumuomba radhi kiaina na kusafisha hali ya hewa ya siasa hapa nchini. Na kwa kitendo hicho CCM wengi hasa wahafidhina hawajakipenda kamwe. Ni Kama ilikuwa ni ishu binafsi ya Samia kwa malengo yake ya kisiasa binafsi. So kamwe Mbowe na Samia kamwe hawatakaa wawe na mlengo sawa kisiasa.
Mambo ni tofauti Kenya. Kwa ishu ya mwana wa Jomo na mwana wa Jaramogi hapo Kenya ni ishu ya watu wawili baina yao binafsi kwa manufaa yao kisiasa. Uhuru kwa kipindi amekaa na Ruto ameshindwa kumwamini kabisa kama anaweza kumeachia madaraka halafu amlinde yeye binafsi. Ndiposa akamgeukia kaka yake Odinga ambaye japo sio mkikuyu ila kwakuwa yupo desperate kupata hayo madararaka makubwa hivyo itakuwa rahisi kummanipulate na hivyo kiendelea kusukuma agenda zake. Na ilumbukwe hizi ni familia mbili ambazo zime-run siasa za Kenya toka uhuru mpaka leo. Tatizo limekuja wakikuyu wengi hawataki kusikia mjaluo anachukua nchi na hapo ndo Uhuru anatumia nguvu nyingi kueashawishi hadi kuongea kikikuyu mashinani ili kueashawishi wamuunge mkono Odinga.
Una umri gani kijana? Hivi unazijua siasa za Kenya kweli? Yani wao ndio wamejifunza kwetu kwa taarifa yako nadhani miaka Ile wanauana ulikuwa bado unanyonya ndio maana umeweza kudhani siasa ya Kenya ni ya maana.Kitendo Rais Samia Suluhu kukutana na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe huenda kikafungua ukurasa mpya katika siasa za Tanzania.
Inasemwa kuwa kwenye siasa hakuna rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu bali kuna maslahi ya kudumu.
Tukubali katika eneo la Afrika Mashariki na Kati kisiasa Kenya wamepiga hatua kubwa, wakati wa uchaguzi wao wa 2017 Raila Odinga alikuwa hasimu mkubwa wa Uhuru Kenyatta lkn ajabu leo Rais Uhuru anampigia kampeni Odinga awe rais na kumuacha Makamu wake Ruto.
Najiuliza, chini ya utawala wa Samia, Je, Tanzania tunaweza kufika huko kiasi kwamba baada ya kipindi cha Mama Samia kwisha achilia mbali kumfanyia kampeni (kum-endorse) Mbowe au mgombea wa chama kingine, Je, Samia anaweza kumruhusu Mbowe na chama chake kufanya kampeni kwa uhuru kama tunavyoona leo Kenya wakifanya kampeni bila kuingiliwa na vyombo vya dola.
Let’s hope for Better.
Mimi nazungumzia siasa za leo sio za mungiki au unataka tusubiri tupitie siasa za mungiki tuuane ndipo tujifunze.Una umri gani kijana? Hivi unazijua siasa za Kenya kweli? Yani wao ndio wamejifunza kwetu kwa taarifa yako nadhani miaka Ile wanauana ulikuwa bado unanyonya ndio maana umeweza kudhani siasa ya Kenya ni ya maana.
Hao hao wanaopigiana kampeni walisababisha kuuana kwa ukabila , uliza kitu inaitwa Mungiki bwana mdogo, uliza Rails alivyosababisha mauaji.
Raila hakuwa wa kuingia ikulu kabisa Ila ukabila unamsumbua mkalenjin kajikuta anatengwa bila sababu.
Hebu fuatilia siasa za Kenya vizuri it's always about ukabila mzee unapofika Kama hakuna nguvu ya pesa ujue umekwisha.
Sasa ndio tujifunze kwa hao wapuuzi??? Give me a break.
Sasa unadhani Kenyatta amemsapoti Raila kwa kupenda???? Huoni kwamba amemgeuka Ruto ambaye alimpa sana support walipounganisha vyama na kuform Jubilee?Mimi nazungumzia siasa za leo sio za mungiki au unataka tusubiri tupitie siasa za mungiki tuuane ndipo tujifunze.
La kujifunza ni kuwa, In politics there are NO permanent friends and no permanent enemies.Sasa unadhani Kenyatta amemsapoti Raila kwa kupenda???? Huoni kwamba amemgeuka Ruto ambaye alimpa sana support walipounganisha vyama na kuform Jubilee?
Leo mtu aliyekuwa wapiga kura kwa makubaliano ya kwamba ukimaliza muda wako utampa support unakuja kumgeuka unaona ni sawa?
Raila na Uhuru have never been friends na hata mauaji yalipotokea causative ni Raila mwehu yule na huu umoja wao umekuja kiusaliti sana kwa Ruto.
Hatuna Cha kujifunza Kenya aisee. Na hata siasa za leo unazosema bado zimejaa ukabila mkubwa sana.
Labda hii ambapo hatuna haja ya kwenda mbali huko Kenya wakati hapa bongo muvi za wanasiasa wetu zinatosha kujifunza .La kujifunza ni kuwa, In politics there are NO permanent friends and no permanent enemies.
Labda hii ambapo hatuna haja ya kwenda mbali huko Kenya wakati hapa bongo muvi za wanasiasa wetu zinatosha kujifunza .
Angalia leo Lowassa na JK , angalia Kafulila, Moses Machali, Dr Mashinji, Nassari nk ukiongeza na Covid 19 ambavyo leo wameungana kuwa CCM supporters nk.
Yani Kenya huwa sielewi kwa nini tunaikweza nao wanatuona Kama watu wa mkoani jinsi tunavyoisujudu bila sababu.
Uko sahihi. Huwezi ongelea Kenya kufanana na Tz bila kubadilisha katiba iliyopo iwe na muonekano kama wa ya Kenya. Hili liko wazi
Ninafuatiliaia kwa makini Uchaguzi huu wa Kenya. Bado tunahitaji marekebisho ya katiba
Ruto anajishosha !!UHURU anaijua siri ya Dunia Ruto anakimbiza upepo