Elections 2010 Tufungue account maalumu kwa ajili ya dr. Slaa

Mpiganaji tz

Member
Jul 22, 2010
21
0
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa nini watu hawa safari hii wamekuwa passive kiasi hiki? Huo utaifga hawakuujua awali wakawa wanakomaa? Nadhani hii yote ni njaa imechangia, maana waambiwa adui mwombee njaa.....sasa kama mambo ndio haya, dr. Slaa atahimili temptetion za kiuchumi uswahilini hadi 2015? Kwanini tusimfungulie account tuwe tunaichangia imsaidie kum-keep stronger hadi 2015 atakapoikomboa nchi? Wadau mwasemaje?naomba kuwasilisha
 
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa nini watu hawa safari hii wamekuwa passive kiasi hiki? Huo utaifga hawakuujua awali wakawa wanakomaa? Nadhani hii yote ni njaa imechangia, maana waambiwa adui mwombee njaa.....sasa kama mambo ndio haya, dr. Slaa atahimili temptetion za kiuchumi uswahilini hadi 2015? Kwanini tusimfungulie account tuwe tunaichangia imsaidie kum-keep stronger hadi 2015 atakapoikomboa nchi? Wadau mwasemaje?naomba kuwasilisha

Sijakuelewa kuhusu Dr. Slaa.
 
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa nini watu hawa safari hii wamekuwa passive kiasi hiki? Huo utaifga hawakuujua awali wakawa wanakomaa? Nadhani hii yote ni njaa imechangia, maana waambiwa adui mwombee njaa.....sasa kama mambo ndio haya, dr. Slaa atahimili temptetion za kiuchumi uswahilini hadi 2015? Kwanini tusimfungulie account tuwe tunaichangia imsaidie kum-keep stronger hadi 2015 atakapoikomboa nchi? Wadau mwasemaje?naomba kuwasilisha

Nani kakwambia Dr. Slaa ana njaa? Au anatarajia kuwa na njaa? Au atakuwa uswahilini? Dr. Slaa hana tatizo Chama anachokitumikia kitamjali na kumlipa sawa sawa na mkataba wake na CHADEMA. kama una nia ya kuchanga, changia chama si dr. Slaa!
 
akaunti ifunguliwe wapi na who is going to be accountable??!! hii isije kuwa mradi mwingine cause this country full of wachakachuaji
 
Account itamilikiwa na yeye mwenyewe yaani 'personal account'. Jukumu letu liwe kuichangia tu
 
Post zingine bwana,Nani kakwambia kuwa dr. Slaa anategemea siasa kukimu mahitaji yake na ya familia yake?
 
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa nini watu hawa safari hii wamekuwa passive kiasi hiki? Huo utaifga hawakuujua awali wakawa wanakomaa? Nadhani hii yote ni njaa imechangia, maana waambiwa adui mwombee njaa.....sasa kama mambo ndio haya, dr. Slaa atahimili temptetion za kiuchumi uswahilini hadi 2015? Kwanini tusimfungulie account tuwe tunaichangia imsaidie kum-keep stronger hadi 2015 atakapoikomboa nchi? Wadau mwasemaje?naomba kuwasilisha

Ungemjua vizuri Dr. Slaa nafikiri usiongeongelea swala la kumchangia pesa, labda hiyo accoumt tukuchangie wewe.
 
nichangieni mimi nikaongeze elimu ili reasoning yangu iwe maradufu, honestly i need it more than the Dr. ili na mimi niwe Dr.
 
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa nini watu hawa safari hii wamekuwa passive kiasi hiki? Huo utaifga hawakuujua awali wakawa wanakomaa? Nadhani hii yote ni njaa imechangia, maana waambiwa adui mwombee njaa.....sasa kama mambo ndio haya, dr. Slaa atahimili temptetion za kiuchumi uswahilini hadi 2015? Kwanini tusimfungulie account tuwe tunaichangia imsaidie kum-keep stronger hadi 2015 atakapoikomboa nchi? Wadau mwasemaje?naomba kuwasilisha

CHADEMA iliingia mkataba na Dr Slaa kuwa endapo hatachaguliwa kuwa raisi ataendelea kulipwa benefits zake zote za ubunge. Kwa hiyo hatakuwa na njaa. Kkama ni michango ipeleke kwenye chama pia usisahau kuwa ruzuku ya CHADEMA sasa haitakuwa tens of millions per month but hundreds of millions per month kutokana na kuongezeka kwa idadi ya wabunge wa CHADEMA>
 
Nani kakwambia Dr. Slaa ana njaa? Au anatarajia kuwa na njaa? Au atakuwa uswahilini? Dr. Slaa hana tatizo Chama anachokitumikia kitamjali na kumlipa sawa sawa na mkataba wake na CHADEMA. kama una nia ya kuchanga, changia chama si dr. Slaa!

Ndo maana nilimuambia huyu mtoa maada "sijakuelewa kuhusu Dr. Slaa"
 
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa nini watu hawa safari hii wamekuwa passive kiasi hiki? Huo utaifga hawakuujua awali wakawa wanakomaa? Nadhani hii yote ni njaa imechangia, maana waambiwa adui mwombee njaa.....sasa kama mambo ndio haya, dr. Slaa atahimili temptetion za kiuchumi uswahilini hadi 2015? Kwanini tusimfungulie account tuwe tunaichangia imsaidie kum-keep stronger hadi 2015 atakapoikomboa nchi? Wadau mwasemaje?naomba kuwasilisha

Hebu acha mawazo yako ya Tandale nani aliyesema Slaa ana njaa, labda hiyo njaa yako ndio inakufanya ufikirie kila mtu ana njaa kama wewe.
 
I believe una nia njema sana ila kasoro boja tu.... Hujafanya uchunguzi kabla ya kutoa mada yako... Dr. Slaa haitaji mchango wowote kwa sababu hana shida... Michango ni mizuri ila ina mahala sahihi pa kuipeleka kama kwa watoto yatima na mambo mbalimbali.... Pia waweza changia chama sio Dr Slaa. Kafanye uchunguzi halafu utaamini ninachokuambia.:yield::yield:
 
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa nini watu hawa safari hii wamekuwa passive kiasi hiki? Huo utaifga hawakuujua awali wakawa wanakomaa? Nadhani hii yote ni njaa imechangia, maana waambiwa adui mwombee njaa.....sasa kama mambo ndio haya, dr. Slaa atahimili temptetion za kiuchumi uswahilini hadi 2015? Kwanini tusimfungulie account tuwe tunaichangia imsaidie kum-keep stronger hadi 2015 atakapoikomboa nchi? Wadau mwasemaje?naomba kuwasilisha

Some brain need to be checked for expire date because others might already expired.
:A S angry:
 
kwa kweli mimi sijui lolote kuhusu Dr, na maisha yake binafsi, ila nasaport kuwa "NJAA NI MBAYA" mtoa mada hajamaanisha kuwa HELA YA KULA, ila anamaanisha FWEDHA ambazo zinaweza kumfanya mtu abadili msimamo wake.
Wapo watu ambao walikuwa na misimamo yao lakini waliweza kununuliwa kwa fedha ingawa na wao walikuwa wanao uwezo na hawakuwa na njaa (mfano Kikwete wakati ananaingia madarakani, alionekana kama mkombozi, na nina hisi alikuwa mkombozi kweli ILA SASA HIVI KANUNULIWA, KATUSAHAU mimi na wewe tulimpigia KURA yetu 2005 KWA MATUMAINI).
So ushawishi alionao mtoa hoja ni FWEDHA YA KWELIII sio hela,wastani wa chadema kupata hela kama Ruzuku kwa mwezi sasa ninakadiria around 300m (not sure bt nahisi tu kulingana na uwiano wa wabunge waliopo na ruzuku iliyokuwa ikitolea CCM ya almost 900m) so what if jamaa akahakikishiwa kupewa hela hiyo yeye peke yake ( ni mtazamo) kwa mwezi?? UPI UTAKUWA MSIMAMO WAKE?????????
Siungi mkono kufunguliwa account ya hisani kwake,ila naunga mkono kuwa NJAA INAWEZA TUPOTEZEA TUMAINI LETU
Tafakari
 
Njaa ni kitu kibaya yaweza kumfanya mtu uliyemwamini kwa siku nyingi akatenda jambo ambalo utashindwa kuliamini. Hebu fikiria mtu ameshinda urais znz na anafahamu kuwa kashinda lakini anaambiwa kuwa yeye ni mshindi wa pili na anaridhika huku akishangilia kitendo hicho kama zuzu! Je, wamepewa nini watu hawa safari hii wamekuwa passive kiasi hiki? Huo utaifga hawakuujua awali wakawa wanakomaa? Nadhani hii yote ni njaa imechangia, maana waambiwa adui mwombee njaa.....sasa kama mambo ndio haya, dr. Slaa atahimili temptetion za kiuchumi uswahilini hadi 2015? Kwanini tusimfungulie account tuwe tunaichangia imsaidie kum-keep stronger hadi 2015 atakapoikomboa nchi? Wadau mwasemaje?naomba kuwasilisha

Post zingine zinaleta hata kinyaaa kuzisoma!
 
Back
Top Bottom