Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,343
- 23,230
Joy pale pana mbuzi mtamuu balaa...
Tatizo pale wadada njaa sana,kila baada ya dk 20 kinakuja kimemo chenye namba za simu
Hapo kwenye mbuzi nakuunga mkono.
Usiniambie watapaharibu sasa hivi kama Sai Sai ilikua sehemu nzuri ila kila muhudumu na bei yake