Sipo
JF-Expert Member
- Jul 25, 2008
- 2,139
- 91
Kumekuwa na ongezeko la watu wanaotaka kujua ni jinsi gani ya kujiajiri wenyewe, namaanisha kama mtu mmoja au kama kikundi. Naomba tutumie andiko hili hapa kufundishana ni jinsi gani, mbinu zipi, njia zipi tunaweza kutumia katika kujitegemea wenyewe pasipo kutegemea mishahara na kazi za kuajiriwa ambazo kadri dunia inavyosonga mbele ndio jinsi ambavyo kazi hizi zinakwisha.
Kila mwenye wazo au uzoefu aweke hapa kwa jinsi ajuavyo yeye ilimradi ujumbe ufike kwa jamii kubwa zaidi.
Asanteni kwa ushirikiano mtakaoutoa
Wenu
Sipo
Kila mwenye wazo au uzoefu aweke hapa kwa jinsi ajuavyo yeye ilimradi ujumbe ufike kwa jamii kubwa zaidi.
Asanteni kwa ushirikiano mtakaoutoa
Wenu
Sipo