Wazo la kabwela
JF-Expert Member
- Feb 13, 2013
- 1,794
- 1,340
KATIKA kuuaga mwili wa Ruge. Naona watu fulani wanajifanya hamnazo wanataka waende wakiwa wamevaa sare za chama kuonesha marehemu alikuwa kada wa chama chao jambo ambalo ni uongo. Ruge alikuwa ni opportunist anayejua mtawala yupi aimbiwe wimbo gani ili atikise kichwa na miguu!
Kama ni hivyo na CCM tusibaki nyuma. Tupige kijani na nyeusi. UVCCM msibaki nyuma. Chadema na nyie vaeni gwanda na pundamilia. CUF na ACT msibaki nyuma. Pigeni jezi maana Ruge alikuwa ni rafiki wa kila kada!
Wanajeshi, Polisi, Madaktari, Manesi, Mgambo, Wanafunzi wa Shule za Sekondari vaeni sare zenu ili sote tuwe na hakimiliki ya msiba tusiwaachie CHADEMA ooo samahani tusiwaachie CCM . Kila jezi inapendeza!.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ni hivyo na CCM tusibaki nyuma. Tupige kijani na nyeusi. UVCCM msibaki nyuma. Chadema na nyie vaeni gwanda na pundamilia. CUF na ACT msibaki nyuma. Pigeni jezi maana Ruge alikuwa ni rafiki wa kila kada!
Wanajeshi, Polisi, Madaktari, Manesi, Mgambo, Wanafunzi wa Shule za Sekondari vaeni sare zenu ili sote tuwe na hakimiliki ya msiba tusiwaachie CHADEMA ooo samahani tusiwaachie CCM . Kila jezi inapendeza!.
Sent using Jamii Forums mobile app