Tufanyeje ili tuwatoe hawa CCM

upele

JF-Expert Member
Mar 3, 2010
364
31
naona watanzania tunazidi kumaliziwa nyetu mara madini au rasilimali zote ziishe nimepata nyeti kuwa hao wote wana mijihela kibao nje
Conquest
 
Eeh hii nayo ni Break News? SISIEM hamuwezi kuiondoa madarakani labda wao wenyewe wepende iwe hivyo maana Watanzania ni wadanganyika na wafuata upepo unakovuma,pole sana kwa kuwa na uchungu na nchi yako.

Ushauri: Jaribu kujiunga na CCJ labda umanawea kufanikiwa kuiondoa sisiem madarakani Lol!
 
Eeh hii nayo ni Break News? SISIEM hamuwezi kuiondoa madarakani labda wao wenyewe wepende iwe hivyo maana Watanzania ni wadanganyika na wafuata upepo unakovuma,pole sana kwa kuwa na uchungu na nchi yako.

Ushauri: Jaribu kujiunga na CCJ labda umanawea kufanikiwa kuiondoa sisiem madarakani Lol!

hahaha! Mtoto aliyezaliwa leo amng'oe baba yake madarakani? Ni kazi kweli kufanya hivyo labda miaka kumi wananchi ndo wataifahamu vzuri CCJ!
 
mkuu. subiri tu, wala usiwe na shaka kwani mwamuzi wa kweli ni wakati muda ukiwadia wote wataondoka tu.hakika hawata dumu milele wao na chama chao.
 
hahaha! Mtoto aliyezaliwa leo amng'oe baba yake madarakani? Ni kazi kweli kufanya hivyo labda miaka kumi wananchi ndo wataifahamu vzuri CCJ!
Nimesema hivyo kwa kuwa sijaona chama ambacho kina uwezo wa kushawishi wananchi kuiondoa CCM madarakani Labda tusikilizie mwaka huu tuone kama hata upinzani watapata viti vyakutosha bungeni....
 
naona watanzania tunazidi kumaliziwa nyetu mara madini au rasilimali zote ziishe nimepata nyeti kuwa hao wote wana mijihela kibao nje
Conquest

Najaribu ku-imagine wakati unaandika hii post ulikuwa uko katika hali gani!

Ulikuwa na hasira na pengine mikono ikawa inatetemeka, thanks God JF was there ukaweza ku-post hii post yako.

welcome to the world!, we have been crying, lamenting, blaming, cursing, and doing whatever we can while thinking what you have just posted.

Pole mkuu, jibu ni kuwa we need violent force and only by vioelnt we can conquer, these violent force does not necessarily mean war 'bloody'. What is that good and acceptable violence? I am puzzled too

With current situation ballot box is certainly not an answer! but we can complement these two methods 'good-violence' + ballot bax. we should start with something first before kupiga kura!



You see that boxing ring? ukitaka kupigana lazima muwe na uzito sawa,

CCM is far heavier than all other existing parties. we need to weaken or degrade them (whatever) so that they will be in the same level as other existing political parties.

The biggest work is either we need strong parties that can fight with this giant or reduce the strength of this giant.

Two ways only, kuwapunguza nguvu, au sisi kuongeza nguvu, halafu tukutane kwenye box la kura wakati tuna guvu sawa!! fair enough I guess!

If we dont want these only methods then we should enjoy the rest of our life until we loose everything e.g natural resources etc,

Failure to do so we will be living in the delusional world.

so usitumie panga hilo!
 
Kwa nini unataka kiondoke?? Una ushahidi gani kwamba chama kingine kitakachoingia hakitakuwa kama CCM au kibaya zaidi ya CCM. Nafikiri focus isiwe kuiondoa CCM, bali ni namna gani tunabadilisha mfumo. Walimu waandamane, wakulima wagome kulima, wafugaji wakatae kuuza mifugo yao kwa hasara etc. Kila mtanzania kwa nafasi yake awajibike na kukataa ukandamizaji usiokuwa na tija. Hili la kuondoa chama halina mshiko kwa kuwa hakuna aliyewahi kuwajaribu CHADEMA au CUF akajua kwamba wao siyo wezi na wabadhirifu kuwashinda CCM.
Yasijekuwa ya Kenya, waliiona KANU haifai, wakaiweka chama cha upinzani, at the end, kila mmoja wetu anajua ni nini kilichotokea.
 
Nimesema hivyo kwa kuwa sijaona chama ambacho kina uwezo wa kushawishi wananchi kuiondoa CCM madarakani Labda tusikilizie mwaka huu tuone kama hata upinzani watapata viti vyakutosha bungeni....

Inabidi kuwe na kampeni ya kuing'oa CCM tu si vinginevyo hapo ndo tutafanikiwa kwa mtazamo wangu!
 
Inabidi kuwe na kampeni ya kuing'oa CCM tu si vinginevyo hapo ndo tutafanikiwa kwa mtazamo wangu!

Mkuu, Wananchi wengi wengependa kuona badadiliko kwenye nchi yao ili kuondokana na matatizo haya tunayo ya pata kutokana na viongozi wetu wabovu tulio wachangua sisi wenyewe, kazi ina kuja pale tunakapo taka kufanya mabadiliko hayo ukiangalia upinzani unaona ndio hatari zaidi ni bora ata chama tawala hivyo ndoto ya kuiondoa CCM haitaweza kutokea labda tuwe na upinzani imara sio kama huu tulionao hivi sasa.
 
bora tuangalie upande mwingine wa coin, na wenzao wale pia labda inakuwa dawa.
conquest
 
Kwa nini unataka kiondoke?? Una ushahidi gani kwamba chama kingine kitakachoingia hakitakuwa kama CCM au kibaya zaidi ya CCM. Nafikiri focus isiwe kuiondoa CCM, bali ni namna gani tunabadilisha mfumo. Walimu waandamane, wakulima wagome kulima, wafugaji wakatae kuuza mifugo yao kwa hasara etc. Kila mtanzania kwa nafasi yake awajibike na kukataa ukandamizaji usiokuwa na tija. Hili la kuondoa chama halina mshiko kwa kuwa hakuna aliyewahi kuwajaribu CHADEMA au CUF akajua kwamba wao siyo wezi na wabadhirifu kuwashinda CCM.
Yasijekuwa ya Kenya, waliiona KANU haifai, wakaiweka chama cha upinzani, at the end, kila mmoja wetu anajua ni nini kilichotokea.
Upumbavu ule ule! CCM ibaki. CCM ndie chama tu. Chma kingine hakiwezi. Ujinga. Ujinga kama huu ndie sababu ya CCM kubaki madarakani. Bila CCM amani itatoweka. Upuuzi.
It happned in Zambia and by then i was there. Watu walidhani UNIP itatawala milele. They got shoocked.
Problem kubwa hapa kwetu ni ujinga. Thats why CCM hawashtuki hata elimu ikishuka. Wanapenda kutawala mbumbumbu siyo wasomi. Kuna makundi mawili hapa nchini. Kundi ndogo linao shabikia CCM nikwasababu wanafaidika nayo. Kundi kubwa ni watu wasie elewa mustakabali wa siasa wa nchi. Hawandie wadanganyika wanaopewa fulana, ibwabwa, buku 10 nk. na wanaipigia kura.
Its gonna take time watu kuamka lakini someday they will. for now all we need is wabunge wengi wa upinzani and that will be the start.
It will take 5 ro 10 yrs but they will certainly someday.
 
Kwa nini unataka kiondoke?? Una ushahidi gani kwamba chama kingine kitakachoingia hakitakuwa kama CCM au kibaya zaidi ya CCM. Nafikiri focus isiwe kuiondoa CCM, bali ni namna gani tunabadilisha mfumo. Walimu waandamane, wakulima wagome kulima, wafugaji wakatae kuuza mifugo yao kwa hasara etc. Kila mtanzania kwa nafasi yake awajibike na kukataa ukandamizaji usiokuwa na tija. Hili la kuondoa chama halina mshiko kwa kuwa hakuna aliyewahi kuwajaribu CHADEMA au CUF akajua kwamba wao siyo wezi na wabadhirifu kuwashinda CCM.
Yasijekuwa ya Kenya, waliiona KANU haifai, wakaiweka chama cha upinzani, at the end, kila mmoja wetu anajua ni nini kilichotokea.
Upumbavu ule ule! CCM ibaki. CCM ndie chama tu. Chma kingine hakiwezi. Ujinga. Ujinga kama huu ndie sababu ya CCM kubaki madarakani. Bila CCM amani itatoweka. Upuuzi.
It happned in Zambia and by then i was there. Watu walidhani UNIP itatawala milele. They got shoocked.
Problem kubwa hapa kwetu ni ujinga. Thats why CCM hawashtuki hata elimu ikishuka. Wanapenda kutawala mbumbumbu siyo wasomi. Kuna makundi mawili hapa nchini. Kundi ndogo linao shabikia CCM nikwasababu wanafaidika nayo. Kundi kubwa ni watu wasie elewa mustakabali wa siasa wa nchi. Hawandie wadanganyika wanaopewa fulana, ibwabwa, buku 10 nk. na wanaipigia kura.
Its gonna take time watu kuamka lakini someday they will. for now all we need is wabunge wengi wa upinzani and that will be the start.
It will take 5 ro 10 yrs but they will certainly someday.
 
Kwa nini unataka kiondoke?? Una ushahidi gani kwamba chama kingine kitakachoingia hakitakuwa kama CCM au kibaya zaidi ya CCM. Nafikiri focus isiwe kuiondoa CCM, bali ni namna gani tunabadilisha mfumo. Walimu waandamane, wakulima wagome kulima, wafugaji wakatae kuuza mifugo yao kwa hasara etc. Kila mtanzania kwa nafasi yake awajibike na kukataa ukandamizaji usiokuwa na tija. Hili la kuondoa chama halina mshiko kwa kuwa hakuna aliyewahi kuwajaribu CHADEMA au CUF akajua kwamba wao siyo wezi na wabadhirifu kuwashinda CCM.
Yasijekuwa ya Kenya, waliiona KANU haifai, wakaiweka chama cha upinzani, at the end, kila mmoja wetu anajua ni nini kilichotokea.

Quote:


Kwa nini unataka kiondoke?? Una ushahidi gani kwamba chama kingine kitakachoingia hakitakuwa kama CCM au kibaya zaidi ya CCM. Nafikiri focus isiwe kuiondoa CCM, bali ni namna gani tunabadilisha mfumo. Walimu waandamane, wakulima wagome kulima, wafugaji wakatae kuuza mifugo yao kwa hasara etc. Kila mtanzania kwa nafasi yake awajibike na kukataa ukandamizaji usiokuwa na tija. Hili la kuondoa chama halina mshiko kwa kuwa hakuna aliyewahi kuwajaribu CHADEMA au CUF akajua kwamba wao siyo wezi na wabadhirifu kuwashinda CCM.
Yasijekuwa ya Kenya, waliiona KANU haifai, wakaiweka chama cha upinzani, at the end, kila mmoja wetu anajua ni nini kilichotokea.


Upumbavu ule ule! CCM ibaki. CCM ndie chama tu. Chma kingine hakiwezi. Ujinga. Ujinga kama huu ndie sababu ya CCM kubaki madarakani. Bila CCM amani itatoweka. Upuuzi.
It happned in Zambia and by then i was there. Watu walidhani UNIP itatawala milele. They got shoocked.

Problem kubwa hapa kwetu ni ujinga. Thats why CCM hawashtuki hata elimu ikishuka. Wanapenda kutawala mbumbumbu siyo wasomi. Kuna makundi mawili hapa nchini. Kundi ndogo linao shabikia CCM nikwasababu wanafaidika nayo. Kundi kubwa ni watu wasie elewa mustakabali wa siasa wa nchi. Hawandie wadanganyika wanaopewa fulana, ibwabwa, buku 10 nk. na wanaipigia kura.
Its gonna take time watu kuamka lakini someday they will. for now all we need is wabunge wengi wa upinzani and that will be the start.
It will take 5 ro 10 yrs but they will certainly someday.
 
Kaa!!! wewe kunji mbona umeniandama hivyo? Yaani ndo umeamua kuweka post tatu kusisitiza kitu hichohicho?? Nataka unipe sababu za kwanini ukitoe, unataka kutoa chama au kutoa watu?? sasa hapo naona unazidi kupanga red nyingi zisizokuwa na hoja. Una hoja gani ya msingi ya kuitoa CCM? Sera zake ni mbovu? Hivi Tanzania na hasa Africa shida ni vyama kweli? Mimi nafikiri tubadilike kifikra, chama kama chama kinaweza kisiwe na jipya, cha mhimu ni mtu, ambaye yupo tayari kuitumikia nchi kwa dhati. Hilo ndo la msingi.
Kusema kuna watu wanafaidi kwa kuipigia debe CCM, sidhani kama ina msingi wowote, cha maana hapa ni hoja gani unayojenga ya kuiondoa CCM? Na hicho chama kingine kina sera gani ambayo ni mpya na ni zaidi ya zile za CCM? Tusikimbilie kulalamika, tujenge hoja.
 
kwa mie nionavyo ni kwamba ccm haitatoka leo wala kesho kama viongozi wataendelea kuchaguliwa kwa staili tuliyoizoea,sipendi vita narudia sipendi vita lkn wewe uliye uliza jinsi ya kuitoa ccm madarakani kama unataka kuitoa,ni jeshi lichukue kwa muda kisha lihakikishe kwamba ccm na wote walioko ktk mmzunguko wao ni powerless ndio zifanyike harakati za kumtafuta"kiongozi wa tanzania kwa manufaa ya watanzania"lkn swali ninalojiuliza ni kwamba,je kama tutaamua kumwaga damu ili tumpate a man of the people,tuna uhakika gani kwamba huyo au hao tutakaowachagua hawatarudia kufanya yale yale au mabovu zaidi ya yale yanayofanya ufikirie kuwang'oa ccm?maana mie naona kila mtanzania anapopata nafasi anaitumia kujinufaisha na kusahau maslahi ya wengine.
pia jeshi letu sidhani kama litaweza kufanya mapinduzi maana nalo liko ndani ya mfumo huo huo.
na hata akitokea mtu kujaribu kushawishi watu wapigane itamuwia ngumu kupata suport ya raia maana tayari ccm imeshapandikiza woga ktk mioyo yetu kwamba ccm ndio chama pekee kinachoweza kudumisha amani ya nchi hii.
hivyo ninachomaanisha ni kwamba sidhani kama kuna njia yeyote ya amani itakayoweza kuingoa ccm lkn sijasema nashauri vita,nimejibu tu swali lililoulizwa.
 
What i know is that CCM can't rule and lead forever, one day YES and not necessarily tomorrow. Kila nguvu madarakani ina chembechembe za kujiharibu so wakati utafika ila sijui ni lini, wapiga kura watasema sasa basi ila kwanza lazima waumie badae watawatoa tu. Inaweza hata ikachukua miaka hamsini lakini it doesn't have the eternal ruling capacity. Kenya wengi walidhani KANU isingeweza kutoka madarakani lakini kwa sasa kishakuwa chama cha upinzani. Tatizo la Bongo ni kutokuwa na msimamo wa dhati na sera thabiti zinazoweza wafanya wananchi wawaamini wapinzani. Mara nyigi tumeshuhudia walokuwa wapinzani wakubwa wa CCM wanarudisha kadi na kwenda tena CCM na hii inawafanya wananchi wajiulize kama hawa walioko hawatawasaliti wananchi na kurudi CCM. Kwa sasa hata kama nchi inatafunwa na wachache tunapaswa kujipanga kikamilifu ili kuwaondoa madarakani vinginevyo itawachukuwa muda na jasho jingi!
The Analyst!
 
tufunge na kuomba mungu awaangamize wote kwa vifo vya ghafula wao na watoto wao wote ndivyo tutatokomeza udhalimu wao wote na taifa litapona
 
Hata CCM ikiwa madarakani,tunachotaka ni bunge imara,mahakama huru na serikali inayowajibika.
-Assume tuna akina Slaa 20 bungeni!
-Assume tuna mahakama huru,inaweza kuhukumu mafisadi mara moja.Hapa tuwe na Prosecutors na lawyers wamekula kiapo kulinda maslahi ya taifa.Vunja hii TAKUKURU,
Presecutors ndio wafanye kazi hii.Tupate wa akina Spitzer wa TANZANIA
Malawyer wawe na etthics kali,akina Malegesi,Mkono na wengineo wengi wanapeta mpaka leo.
-Tumefuata mfumo wa UK,you see SFO,wameshindwa kuadhibu mafisadi wa BAE.UK ni hypocritical nation,huwezi kupata Madoff hata mmoja gerezani.UK ni nchi inapokea dirty money from Middle East ,Russia na Africa!Huwezi kufanya hivi State.
 
Back
Top Bottom