Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 70,943
- 93,864
Binafsi niliijua kitambo kidogo wakati ikiitwa Jambo Forum...enzi hizo sikuwepo hapa Umatumbini bali nilikuwa mbele hukooo...
Sasa kupata taarifa za nyumbani haswa kisiasa ilikuwa inanilazimu kuingia Jambo na kuangalia yanayojiri humu kama guests.
Enzi hizo kuna watu walikuwa wanadadavua mambo humu hadi unajikuta huna cha kuandika, maana walikuwa wakiweka na vielelezo...
Pia nilikuwa napenda kujiachia na burudani za nyimbo sana sana za Gospel(kulikuwa na real time player hapa ya nyimbo mbalimbali kama Zilipendwa, taarab, Bongo Flavor, Gospel)...
Baadaye nadhani nilijiunga lakini sikuwa mchangiaji kwa wakati huo nikaendelea kuwa njuka hadi nikaja kusahau credentials zangu...
Nilipokuja kuibuka tena ikawa hiyo 2010 na hapo nikajiunga tena...
Sasa kupata taarifa za nyumbani haswa kisiasa ilikuwa inanilazimu kuingia Jambo na kuangalia yanayojiri humu kama guests.
Enzi hizo kuna watu walikuwa wanadadavua mambo humu hadi unajikuta huna cha kuandika, maana walikuwa wakiweka na vielelezo...
Pia nilikuwa napenda kujiachia na burudani za nyimbo sana sana za Gospel(kulikuwa na real time player hapa ya nyimbo mbalimbali kama Zilipendwa, taarab, Bongo Flavor, Gospel)...
Baadaye nadhani nilijiunga lakini sikuwa mchangiaji kwa wakati huo nikaendelea kuwa njuka hadi nikaja kusahau credentials zangu...
Nilipokuja kuibuka tena ikawa hiyo 2010 na hapo nikajiunga tena...