Binafsi sikuambiwa, sikuwahi kuona mtu yoyote akisearch ila nili google kapersky antivirus katika majibu Jf ilikuwepo na nilipo select nikagundua kuna mambo mengi mazuri.
- Je, kuna mtu alikuambia juu ya JF?
- Uliona mtu akisearch?
kwa sasa JF imekuwa zaidi ya dozi ya kutwa mara tatu mpaka wife anadai JF is second wife/ nyumba ndogo
karibu
je kwenye account yako ya Facebook....? napo umesahau?Sikumbuki!
oooh! nimekumbuka! ubarikiwe kunileta utamuni!!we msahaulifu!umesahau nilivyokuambia ujiunge.....kweli una mambo mengi!
nilitoka huko miaka mingi !!je kwenye account yako ya Facebook....? napo umesahau?
Kutoka Jambo Forum
nilitoka huko miaka mingi !!