Duu sawa bwana karibuMimi niliitambua kupitia mtandao Wa Facebook nikaona wanapost mambo mazuri bhas ndio chanzo
Asante sanaDuu sawa bwana karibu
Kwa hyo ulipokuja huku mada hizo nzuri uliziacha wapi.. mbona unaandikaga upupu tu hukuniliifahamu JF kwa kuambiwa uwepo wake na msera wangu mmoja ambaye ni mtandawazi sana kuliko mimi. Nilikuwa nikimrushia mada tofauti za kuhitaji uwajibikaji na uzalendo, lakini siku moja akaniaambia mada zako ni nzuri sana, lakini tunazifikia wachache kwa sms unazotuma. hebu panua wigo, nenda kwenye mitandao ya kijamii kama face book na jamii foramu.
nilipoanza kuhudhuria huku, JF palinivutia sana, kwani unaweza hata ukamlipua boss wako bila yeye mwenyewe kujua nani katoa taarifa zake kwenye mitandao.
naipenda sana JF