Tufahamishane: Ushirika wa CHADEMA, Christian Democratic Union, Konrad Adenauer Stiftung na David McAllister

CalvinKimaro

JF-Expert Member
Sep 11, 2017
244
312
Ushirika wa Chadema, Christian Democratic Union, Konrad Adenauer Stiftung na David McAllister.

Nimesoma na kufuatilia mjadala kuhusu alichokisema Bwana David McAllister kwenye kikao cha Kamati ya Masuala ya Nje ya Bunge la Ulaya. Kuna machache ya kuyafahamu kwa undani kidogo.

Wakati Tundu Lissu anaondoka nchini alisema, “mimi sio mkimbizi naenda kuendeleza harakati za kisiasa. Nilichobadili ni uwanja wa mapambano tu”. Tusisahau hili. Mapambano dhidi ya nchi yetu na utafutaji dola yanaendelea.

CHADEMA kama ilivyo kwa Chama cha Umoja wa Demokrasia wa Kikristo (Christian Democratic Union - Ujerumani) ni mwanachama kamili wa International Democratic Union (IDU). CDU na CHADEMA ni washirika wa karibu kisiasa.

IDU ilianzishwa mwaka 1983 na Konrad Adenauer Foundation pamoja na George H. Bush. CHADEMA ni mshirika (Partner) wa Konrad Adenauer Stiftung hapa Tanzania tangu mwaka 2004.

Bwana David McAllister ni mjumbe wa Konrad Adenauer Stiftung. Pia, David McAllister ambaye ndie mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Nje ya Bunge la Ulaya ni Makamu Mwenyekiti wa IDU tangu mwaka 2014.

Kamati ya Masuala ya Nje anayoingoza David McAllister ndio imeleta hoja kuhusu Tanzania na baadhi ya wajumbe wake kutoa maoni yao.

Tufahamu zaidi kwamba David McAllister alikuwa ni Mwenyekiti wa Christian Democratic Union - Lower Saxony mpaka mwaka 2016. Ni mwanachama wa CDU mpaka sasa.

CHADEMA ni mwanachama kamili (Full Member) wa IDU hivyo ana haki zote ndani ya IDU ikiwa ni pamoja na kusukumwa kwa maslahi yake kwenye vyombo ambavyo IDU inauwakilishi. Bunge la Ulaya ni mojawapo ya vyombo hivyo.

Hivyo basi, tunapaswa kufahamu kwamba vita na harakati za CHADEMA zinaendelea na mbinu wanazotumia ni kushawishi kwa kadri wanavyoweza kuhakikisha tunawekewa vikwazo ili malengo yao yafikiwe. Lengo lao kuu ni kushika dola hivyo watafanya kila wawezalo kudhoofisha serikali iliyopo madarakani.

Mh. Rais ameliona hili mapema na ndio maana amemteua Prof Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje haraka kupambana na propaganda na shutuma zinazoelekezwa kwetu.

Ni wajibu wetu kuhakikisha tunashinda vita hii. Tusipoteze mwelekeo. Na sisi tupambane kwa levels za huko huko walipo
1605862724235.png
 
Kwa uovu mliowatenda watanzania, lazima mtapike fedha za mabeberu!
Kidogo tu mmeanza kurukaruka namna hii? Subirini vitendo wehu nyie
 
Uchambuzi mzuri, na wa kizalendo. Haijawahi kutokea shetani kumshinda Mungu, sisi tulianza na Mungu, na anazidi kutupigania. Mbinu zao chafu na hila za shetani kuwatesa watanzani zitashindwa kama tulivyoshinda vita ya CORONA.
Rudisheni pesa za covid 19, Tanzania hamna Corona, Mabeberu wanataka kujuwa pesa zao mmepeleka wapi? Au ndio mliamuwa kujaza mabango nchi nzima?

Mzitapike sasa.
 
Ulichosahau kusema sijui ni kwa bahati mbaya ama makusudi ni ukweli kwamba pamoja na CHADEMA kuwa member wa IDU tangu mwaka 2004 kama ulivyosema, lkn Tanzania haikuwahi kuingia kwenye agenda za EU kwa sura ya ubaya kama wakati huu wa sasa.

Unataka kusema miaka ya nyuma CHADEMA haikuwa na nia ya kushika Dola? Kwa nini iwe sasa?

Madai ya Wabunge wa Ulaya kwamba Tanzania inaminya Haki za Binadamu, kuminya Uhuru wa Habari, kutunga sheria kandamizi, uchaguzi kuvurugwa vyote ni sababu CHADEMA ipo kwenye agenda za kushika Dola?

Hata madai ya Wabunge wa Ulaya kuhoji matumizi ya pesa zao kwa TANZANIA ni harakati za CHADEMA kushika Dola?

CHADEMA ina ukubwa kiasi hiki?

CCM hatuna vyama rafiki ambavyo vipo kwenye jumuiya ya Ulaya niweze kututetea dhidi ya njama hizi za CHADEMA?

Kwa nini tuutazame ukweli kwa jinsi unavyojitokeza badala ya kuutazama ukweli kwa jinsi ulivyo?

TUACHE siasa nyepesi kwenye masuala mazito yanayolikabili Taifa kwa sasa.

Kuwasingizia CHADEMA ni UJINGA.
 
Kwa iyo unataka kusema hamjatapeli euro Mil 27 zao au???

Kwa iyo mnataka kusema hamjaiba kura na kunyang’anya ushindi wa wapinzani mwaka huu au??!

Kwa iyo unataka kusema hamjaua watu kwenye uchaguzi??? Hamjafukuza mawakala wa ACT na Chadema na wala hamkuengua wagombea wa upinzani kwenye majimbo???

Sikilizeni Ccm , hiki ni kipindi cha sayansi ya teknolojia, sio miaka ya 70 ambapo mliwadanganya watanzania kuwa kambona kaolewa ulaya na wakawaamini.

Kea upuuzi mnaozidi kuuandika humu mnazidi kuonesha ni jinsi gani mlivyo desperate na vilaza wa kutukuka

Huu upuuzi wako peleka kwa wajinga wenzako hapo Lumumba
Ushirika wa Chadema, Christian Democratic Union, Konrad Adenauer Stiftung na David McAllister.

Nimesoma na kufuatilia mjadala kuhusu alichokisema Bwana David McAllister kwenye kikao cha Kamati ya Masuala ya Nje ya Bunge la Ulaya. Kuna machache ya kuyafahamu kwa undani kidogo.

Wakati Tundu Lissu anaondoka nchini alisema, “mimi sio mkimbizi naenda kuendeleza harakati za kisiasa. Nilichobadili ni uwanja wa mapambano tu”. Tusisahau hili. Mapambano dhidi ya nchi yetu na utafutaji dola yanaendelea.

CHADEMA kama ilivyo kwa Chama cha Umoja wa Demokrasia wa Kikristo (Christian Democratic Union - Ujerumani) ni mwanachama kamili wa International Democratic Union (IDU). CDU na CHADEMA ni washirika wa karibu kisiasa.

IDU ilianzishwa mwaka 1983 na Konrad Adenauer Foundation pamoja na George H. Bush. CHADEMA ni mshirika (Partner) wa Konrad Adenauer Stiftung hapa Tanzania tangu mwaka 2004.

Bwana David McAllister ni mjumbe wa Konrad Adenauer Stiftung. Pia, David McAllister ambaye ndie mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Nje ya Bunge la Ulaya ni Makamu Mwenyekiti wa IDU tangu mwaka 2014.

Kamati ya Masuala ya Nje anayoingoza David McAllister ndio imeleta hoja kuhusu Tanzania na baadhi ya wajumbe wake kutoa maoni yao.

Tufahamu zaidi kwamba David McAllister alikuwa ni Mwenyekiti wa Christian Democratic Union - Lower Saxony mpaka mwaka 2016. Ni mwanachama wa CDU mpaka sasa.

CHADEMA ni mwanachama kamili (Full Member) wa IDU hivyo ana haki zote ndani ya IDU ikiwa ni pamoja na kusukumwa kwa maslahi yake kwenye vyombo ambavyo IDU inauwakilishi. Bunge la Ulaya ni mojawapo ya vyombo hivyo.

Hivyo basi, tunapaswa kufahamu kwamba vita na harakati za CHADEMA zinaendelea na mbinu wanazotumia ni kushawishi kwa kadri wanavyoweza kuhakikisha tunawekewa vikwazo ili malengo yao yafikiwe. Lengo lao kuu ni kushika dola hivyo watafanya kila wawezalo kudhoofisha serikali iliyopo madarakani.

Mh. Rais ameliona hili mapema na ndio maana amemteua Prof Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje haraka kupambana na propaganda na shutuma zinazoelekezwa kwetu.

Ni wajibu wetu kuhakikisha tunashinda vita hii. Tusipoteze mwelekeo. Na sisi tupambane kwa levels za huko huko walipo
View attachment 1630645
 
Ulichosahau kusema sijui ni kwa bahati mbaya ama makusudi ni ukweli kwamba pamoja na CHADEMA kuwa member wa IDU tangu mwaka 2004 kama ulivyosema, lkn Tanzania haikuwahi kuingia kwenye agenda za EU kwa sura ya ubaya kama wakati huu wa sasa.
Unataka kusema miaka ya nyuma CHADEMA haikuwa na nia ya kushika Dola? Kwa nini iwe sasa?
Madai ya Wabunge wa Ulaya kwamba Tanzania inaminya Haki za Binadamu, kuminya Uhuru wa Habari, kutunga sheria kandamizi, uchaguzi kuvurugwa vyote ni sababu CHADEMA ipo kwenye agenda za kushika Dola?
Hata madai ya Wabunge wa Ulaya kuhoji matumizi ya pesa zao kwa TANZANIA ni harakati za CHADEMA kushika Dola?
CHADEMA ina ukubwa kiasi hiki?
CCM hatuna vyama rafiki ambavyo vipo kwenye jumuiya ya Ulaya niweze kututetea dhidi ya njama hizi za CHADEMA?
Kwa nini tuutazame ukweli kwa jinsi unavyojitokeza badala ya kuutazama ukweli kwa jinsi ulivyo?
TUACHE siasa nyepesi kwenye masuala mazito yanayolikabili Taifa kwa sasa.
Kuwasingizia CHADEMA ni UJINGA.
100% I concur with you.
1. Tujiulize kwani Uchaguzi haukuvugwa?
2. Kwa nini tulichukua Pesa yao kwa ajiri COVID 19 Wakati Hatuna tatizo hilo.
3. Na je Hizo pesa zilitumika Wapi?
4. Wenye nazo Wanataka majibu? Hizo ni pesa za walipa kodi wao..
5. Kwenye Haki za Binadamu Je Hatuone Tumekengeuka?
 
Ushirika wa Chadema, Christian Democratic Union, Konrad Adenauer Stiftung na David McAllister.

Nimesoma na kufuatilia mjadala kuhusu alichokisema Bwana David McAllister kwenye kikao cha Kamati ya Masuala ya Nje ya Bunge la Ulaya. Kuna machache ya kuyafahamu kwa undani kidogo.

Wakati Tundu Lissu anaondoka nchini alisema, “mimi sio mkimbizi naenda kuendeleza harakati za kisiasa. Nilichobadili ni uwanja wa mapambano tu”. Tusisahau hili. Mapambano dhidi ya nchi yetu na utafutaji dola yanaendelea.

CHADEMA kama ilivyo kwa Chama cha Umoja wa Demokrasia wa Kikristo (Christian Democratic Union - Ujerumani) ni mwanachama kamili wa International Democratic Union (IDU). CDU na CHADEMA ni washirika wa karibu kisiasa.

IDU ilianzishwa mwaka 1983 na Konrad Adenauer Foundation pamoja na George H. Bush. CHADEMA ni mshirika (Partner) wa Konrad Adenauer Stiftung hapa Tanzania tangu mwaka 2004.

Bwana David McAllister ni mjumbe wa Konrad Adenauer Stiftung. Pia, David McAllister ambaye ndie mwenyekiti wa Kamati ya Masuala ya Nje ya Bunge la Ulaya ni Makamu Mwenyekiti wa IDU tangu mwaka 2014.

Kamati ya Masuala ya Nje anayoingoza David McAllister ndio imeleta hoja kuhusu Tanzania na baadhi ya wajumbe wake kutoa maoni yao.

Tufahamu zaidi kwamba David McAllister alikuwa ni Mwenyekiti wa Christian Democratic Union - Lower Saxony mpaka mwaka 2016. Ni mwanachama wa CDU mpaka sasa.

CHADEMA ni mwanachama kamili (Full Member) wa IDU hivyo ana haki zote ndani ya IDU ikiwa ni pamoja na kusukumwa kwa maslahi yake kwenye vyombo ambavyo IDU inauwakilishi. Bunge la Ulaya ni mojawapo ya vyombo hivyo.

Hivyo basi, tunapaswa kufahamu kwamba vita na harakati za CHADEMA zinaendelea na mbinu wanazotumia ni kushawishi kwa kadri wanavyoweza kuhakikisha tunawekewa vikwazo ili malengo yao yafikiwe. Lengo lao kuu ni kushika dola hivyo watafanya kila wawezalo kudhoofisha serikali iliyopo madarakani.

Mh. Rais ameliona hili mapema na ndio maana amemteua Prof Kabudi kuwa Waziri wa Mambo ya Nje haraka kupambana na propaganda na shutuma zinazoelekezwa kwetu.

Ni wajibu wetu kuhakikisha tunashinda vita hii. Tusipoteze mwelekeo. Na sisi tupambane kwa levels za huko huko walipo
View attachment 1630645
Post zote za Calvin Kimaro ni za kuishutumu Chadema tu, hakuna uandishi mbaya duniani kama kila mara kumshutumu mtu mmoja tu, uandishi huu huonesha chuki kuliko uhalisia hata kama kunaukweli.
Kimaro kama kuna viongozi alikupora mkeo bora myamalize wenyewe badala ya kutuhusisha sisi.
 
Post zote za Calvin Kimaro ni za kuishutumu Chadema tu, hakuna uandishi mbaya duniani kama kila mara kumshutumu mtu mmoja tu, uandishi huu huonesha chuki kuliko uhalisia hata kama kunaukweli.
Kimaro kama kuna viongozi alikupora mkeo bora myamalize wenyewe badala ya kutuhusisha sisi.
Ila hakuna sehemu niliposhutumu mtu. CHADEMA ni taasisi sio kwamba akili yako au yangu ndio ipo sawa. Soma elewa, changanua then liweke kwenye uhalisia. Sawa.
 
Kwa iyo unataka kusema hamjatapeli euro Mil 27 zao au???

Kwa iyo mnataka kusema hamjaiba kura na kunyang’anya ushindi wa wapinzani mwaka huu au??!

Kwa iyo unataka kusema hamjaua watu kwenye uchaguzi??? Hamjafukuza mawakala wa ACT na Chadema na wala hamkuengua wagombea wa upinzani kwenye majimbo???

Sikilizeni Ccm , hiki ni kipindi cha sayansi ya teknolojia, sio miaka ya 70 ambapo mliwadanganya watanzania kuwa kambona kaolewa ulaya na wakawaamini.

Kea upuuzi mnaozidi kuuandika humu mnazidi kuonesha ni jinsi gani mlivyo desperate na vilaza wa kutukuka

Huu upuuzi wako peleka kwa wajinga wenzako hapo Lumumba
Ehh bwana na hakuna sehemu niliposema maswala ya pesa mie
 
Post zote za Calvin Kimaro ni za kuishutumu Chadema tu, hakuna uandishi mbaya duniani kama kila mara kumshutumu mtu mmoja tu, uandishi huu huonesha chuki kuliko uhalisia hata kama kunaukweli.
Kimaro kama kuna viongozi alikupora mkeo bora myamalize wenyewe badala ya kutuhusisha sisi.
We utanielewa mwakani
 
Back
Top Bottom