Mad Max
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 19,052
- 49,689
Hapana kaka. Ukijumlisha na ushuru wa kutoa hawezi kupata.Anaweza kupata.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana kaka. Ukijumlisha na ushuru wa kutoa hawezi kupata.Anaweza kupata.
Ni kweli. Ila unategemea E90 kwa Mil 17 atapata? Kasema Budget yake Mil 17 ndio maana nikasema aende 318i.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii hapa kwa 17m inafika Tz
Nilikua nalicheki gari uliloniwekea link. CIF yake inazidi USD 4000 ambayo roughly ni Tsh Mil 10 na kidogo.17m unapata E90 na change ya kuiweka sawa inabaki.....
Nilikua nalicheki gari uliloniwekea link. CIF yake inazidi USD 4000 ambayo roughly ni Tsh Mil 10 na kidogo.
Pia naona lina shida power windows. Wamesema.
Calculator ya TRA itamdai Mil 7.
As attached;
Umenishawishi kaka. Ila tungefikia muafaka kwamba Mil 20 mimi ningesema ndio Minimum kupata E90 nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
$4000=8.7mNilikua nalicheki gari uliloniwekea link. CIF yake inazidi USD 4000 ambayo roughly ni Tsh Mil 10 na kidogo.
Pia naona lina shida power windows. Wamesema.
Calculator ya TRA itamdai Mil 7.
As attached;
Umenishawishi kaka. Ila tungefikia muafaka kwamba Mil 20 mimi ningesema ndio Minimum kupata E90 nzuri.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm nataka Audi A4 je ni aina gani ya kununua na vipuri nyake na mafundi wanapatikana Bongo??Spares zipo nyingi tu. Ukinunua nitafute. Hata ukitaka ushauri ununue ipi niulize. Kwa kifupi
1.Ukitaka X5 nunua E70 3.0Si hizi ni kuanzia 2007-
2.Ukitaka 3 Series nunua E90 320i hizi zilianzia 2006-
3.Ukitaka 5Series nunue E60 523i kuanzia 2005- ingawa zilianzia 2003
4.Ukitaka X3 nunua kuanzia 2007 2.5Si
Hizo zote ni Petrol engine ni cheaper to maintain than Diesel engine.
Brother, hujui unachoandika, haya magari ya huyu mkoloni inaelekea huyajui. Ni kweli ni magari reliable sana. To be honest sio magari ya kumilikiwa na mtu mwenye pesa ya kubangaiza. Most of the spare parts zinapatikana lakini ni vizuri uwe na online access ya kununua ebay/amazon. Usinunue Alibaba, huko utapata takataka. Ukiweka spare unasahau kwa kipindi cha kutosha. Halafu service usipeleke kwa mafundi wa magari ya Japan, ningejua upo wapi ningekuelekeza. Narudia tena- usilipeleke kwa mafundi wa magari ya Japan. Wapo mafundi wa magari ya Ulaya.Spares zipo nyingi tu. Ukinunua nitafute. Hata ukitaka ushauri ununue ipi niulize. Kwa kifupi
1.Ukitaka X5 nunua E70 3.0Si hizi ni kuanzia 2007-
2.Ukitaka 3 Series nunua E90 320i hizi zilianzia 2006-
3.Ukitaka 5Series nunue E60 523i kuanzia 2005- ingawa zilianzia 2003
4.Ukitaka X3 nunua kuanzia 2007 2.5Si
Hizo zote ni Petrol engine ni cheaper to maintain than Diesel engine.
Mkuu,X3 na X4 SUV inaweza kupatikana kwa Tsh ngapi?.17m unapata E90 na change ya kuiweka sawa inabaki.....
Chukua Audi A4 B7 za mwaka 2004 hadi 2008. Machaguo mengi kuanzia 1.6L 1.8L hadi 2.0L na Turbo zipo.Mkuu mm nataka Audi A4 je ni aina gani ya kununua na vipuri nyake na mafundi wanapatikana Bongo??
Mkuu me nitaongelea X3 ambayo imechukua chasis ya Sedan 3 series.
Sure kaka ulichosema. Nime experience 318i duh. Inabidi uwe makini sana kwenye issue ya mafundi ata kama kubadirisha oil tu.Brother, hujui unachoandika, haya magari ya huyu mkoloni inaelekea huyajui. Ni kweli ni magari reliable sana. To be honest sio magari ya kumilikiwa na mtu mwenye pesa ya kubangaiza. Most of the spare parts zinapatikana lakini ni vizuri uwe na online access ya kununua ebay/amazon. Usinunue Alibaba, huko utapata takataka. Ukiweka spare unasahau kwa kipindi cha kutosha. Halafu service usipeleke kwa mafundi wa magari ya Japan, ningejua upo wapi ningekuelekeza. Narudia tena- usilipeleke kwa mafundi wa magari ya Japan. Wapo mafundi wa magari ya Ulaya.
Spare zake bei yake imesimama, ukitaka kulinunua jipange, even the performance of the lower versions is fantastic. avoid diesel engine car.
Hunijui sikujui. Kwahio kusema sijui ninanchoandika sijui unamaanisha nini. Sina haja ya kujisema humu mimi ni nani kifupi those cars and their parts are my bread and butter. Unachekesha mimi ndio nafanya hayo magari ya Ulaya hapa mjini yanatembea.Brother, hujui unachoandika, haya magari ya huyu mkoloni inaelekea huyajui. Ni kweli ni magari reliable sana. To be honest sio magari ya kumilikiwa na mtu mwenye pesa ya kubangaiza. Most of the spare parts zinapatikana lakini ni vizuri uwe na online access ya kununua ebay/amazon. Usinunue Alibaba, huko utapata takataka. Ukiweka spare unasahau kwa kipindi cha kutosha. Halafu service usipeleke kwa mafundi wa magari ya Japan, ningejua upo wapi ningekuelekeza. Narudia tena- usilipeleke kwa mafundi wa magari ya Japan. Wapo mafundi wa magari ya Ulaya.
Spare zake bei yake imesimama, ukitaka kulinunua jipange, even the performance of the lower versions is fantastic. avoid diesel engine car.
Spare zipo, ukinunua nitafute kwa ushauri zaidi. Nunua 2004- na kuendelea 2.0FSi ALT engine itakufaa maarufu kama 8E.Mkuu mm nataka Audi A4 je ni aina gani ya kununua na vipuri nyake na mafundi wanapatikana Bongo??
RRONDO naomba quotation ya ball joints complete LHS/RHS, shock ups front L/R 320 td diesel engineSpares zipo nyingi tu. Ukinunua nitafute. Hata ukitaka ushauri ununue ipi niulize. Kwa kifupi
1.Ukitaka X5 nunua E70 3.0Si hizi ni kuanzia 2007-
2.Ukitaka 3 Series nunua E90 320i hizi zilianzia 2006-
3.Ukitaka 5Series nunue E60 523i kuanzia 2005- ingawa zilianzia 2003
4.Ukitaka X3 nunua kuanzia 2007 2.5Si
Hizo zote ni Petrol engine ni cheaper to maintain than Diesel engine.
Na kuelewa sana brother. Nilitaka pia kujua zaidi kuhusu izo engine za FSi na Turbo au ya kawaida ipi best.Spare zipo, ukinunua nitafute kwa ushauri zaidi. Nunua 2004- na kuendelea 2.0FSi ALT engine itakufaa maarufu kama 8E.
Turbo ina extra power hivyo inakunywa mafuta zaidi.Na kuelewa sana brother. Nilitaka pia kujua zaidi kuhusu izo engine za FSi na Turbo au ya kawaida ipi best.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ball joint ya hii inakuja fused yaani na wishbone complete.RRONDO naomba quotation ya ball joints complete LHS/RHS, shock ups front L/R 320 td diesel engine View attachment 584071
Jr