sizonjemadawa
JF-Expert Member
- Feb 11, 2017
- 1,053
- 1,303
Wewe ni ke or me tuanzie hapo kwanzaRejea kichwa cha habari hapo juu ngependa tujuane vizuri wana jf ili tutengenezeane connection humu humu ndani
Wewe ni ke or me tuanzie hapo kwanzaRejea kichwa cha habari hapo juu ngependa tujuane vizuri wana jf ili tutengenezeane connection humu humu ndani
Umeelewa nini mtoto mzuri?tangazo tumelielewa
atalala mbele kama ni mkwepa kodiMimi afisa na mkusanyaji wa kodi mwanza mjini
Asante sana kwa kufahamiana ,unge ongezea nyama thread yako ingependeza vizuri mheshimiwa
Kama uko Mwanza changamkia fursa hiyotangazo tumelielewa
Naomba job yoyote ya kuniingizia kipato. Naweza kuja hapo mwanza muda wowoteRejea kichwa cha habari hapo juu ngependa tujuane vizuri wana jf ili tutengenezeane connection humu humu ndani
Una skills ganNaomba job yoyote ya kuniingizia kipato. Naweza kuja hapo mwanza muda wowote
mimi ni mmoja wa mabilionea hapa nchini, karibuRejea kichwa cha habari hapo juu ngependa tujuane vizuri wana jf ili tutengenezeane connection humu humu ndani
nimeelewa kuwa yy n tajiri kubwaUmeelewa nini mtoto mzuri?
Mm ni Flight engineering wa JWTZ ,naishi Capri Point karibu na Thrive Project pale mkuu
Msalimie Capt Mapalala hapo CapripointMm ni Flight engineering wa JWTZ ,naishi Capri Point karibu na Thrive Project pale mkuu
Fursa...Mimi afisa na mkusanyaji wa kodi mwanza mjini
Asante sana kwa kufahamiana ,unge ongezea nyama thread yako ingependeza vizuri mheshimiwa