Tuendelee kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kupata Katiba Mpya

Nov 15, 2010
19
230
Naendelea kuwasisitiza watanzania wenzangu, jitahidini kusoma Rasimu ya Katiba Toleo la Pili, nasema hivi kwasababu ili muweze kuona tofauti kati ya Rasimu na Katiba inyopendekezwa ni lazima uijue Rasimu, fuatilia Bunge Maalum na uje uione Katiba inayopendekezwa. Kama hujui Rasimu huwezi kujua kama Mjadala katika Bunge Maalum unavuruga Rasimu au unaboresha Rasimu. Timiza wajibu wako. Mimi natimiza wajibu wangu kwa kuendelea kuwafahamisha yaliyomo katika Rasimu na kuendelea kufafanua yale yanayopotoshwa hivi sasa.


Wiki hii Jumatano Tarehe 20 Agosti Saa 3 usiku nitakuwa Channel 10 na nitafafanua Masuala ya Mchakato wa Katiba (Hapa tulipo), Muundo wa Muungano kama ulivyo kwenye Rasimu, Kwanini Serikali za Mitaa hazijawekwa kwa kina katika Rasimu, utaratibu wa kuwapata viongozi na watumishi katika Rasimu. Nitazungumzia pia suala la Uraia Pacha. USIKOSE


Jumatano Agosti 20 kuanzia saa 6-8 nitakuwa Kikaangoni LIVE ya East Africa Television. Fuatilia ukurasa wao wa facebook nitakuwa huko kujibu maswali yenu na kutoa ufafanuzi. USIKOSE


Alhamisi Agosti 21 Katika Gazeti la RAI, nimefafanua kwa kina juu ya masuala ambayo yamekuwa yakipotoshwa ama kwa kutokujua ama kwa makusudi. Makala hiyo imejikita katika hoja ya Katiba mpya: tupuuze hadaa tusimamie ukweli,
Wanaosema rasimu inapendekeza serikali 2 wamepotea au wanapotosha makusudi. USIKOSE


Niwasihi tena na tena, Kazi ya kulijenga Taifa katika Mchakato huu si lelemama, inapasa tusome, tuelewe na tushiriki na zaidi tuendelee kujadiliana na kutafuta maarifa huku tukilifuatilia kwa ukaribu Bunge Maalum la Katiba.

Asanteni
 
Nakuombea uhai tu ili uweze kufika siku hiyo salama tupate kukusikiliza kama wang'oa kucha na meno hawatakuwa wameshakufanyia ya kwao. Mungu akulinde na Watanzania wazalendo tupo pamoja na wewe.
 
Humphrey Pole Pole mungu akubariki na akupe nguvu na afya tele ili uendelee kuifanya kazi ya kutoa elimu ya uraia kwa watanzania wenzako kuhusu rasimu ya katiba mpya na maswala ya bunge maalumu linaloendelea mjini Dodoma.
 
Nakukubali bro. Mungu akulinde nakuombea Tanzania tuitakayo nawe ni Mwasisi wake ubarikiwe kwa hilo.
 
Safi Sana yani tungepata katiba mpya jinsi mlivyo kuwa mmeipendekeza ningekushauri ugombee uwaziri
 
Naendelea kuwasisitiza watanzania wenzangu, jitahidini kusoma Rasimu ya Katiba Toleo la Pili, nasema hivi kwasababu ili muweze kuona tofauti kati ya Rasimu na Katiba inyopendekezwa ni lazima uijue Rasimu, fuatilia Bunge Maalum na uje uione Katiba inayopendekezwa. Kama hujui Rasimu huwezi kujua kama Mjadala katika Bunge Maalum unavuruga Rasimu au unaboresha Rasimu. Timiza wajibu wako. Mimi natimiza wajibu wangu kwa kuendelea kuwafahamisha yaliyomo katika Rasimu na kuendelea kufafanua yale yanayopotoshwa hivi sasa.


Wiki hii Jumatano Tarehe 20 Agosti Saa 3 usiku nitakuwa Channel 10 na nitafafanua Masuala ya Mchakato wa Katiba (Hapa tulipo), Muundo wa Muungano kama ulivyo kwenye Rasimu, Kwanini Serikali za Mitaa hazijawekwa kwa kina katika Rasimu, utaratibu wa kuwapata viongozi na watumishi katika Rasimu. Nitazungumzia pia suala la Uraia Pacha. USIKOSE


Jumatano Agosti 20 kuanzia saa 6-8 nitakuwa Kikaangoni LIVE ya East Africa Television. Fuatilia ukurasa wao wa facebook nitakuwa huko kujibu maswali yenu na kutoa ufafanuzi. USIKOSE


Alhamisi Agosti 21 Katika Gazeti la RAI, nimefafanua kwa kina juu ya masuala ambayo yamekuwa yakipotoshwa ama kwa kutokujua ama kwa makusudi. Makala hiyo imejikita katika hoja ya Katiba mpya: tupuuze hadaa tusimamie ukweli,
Wanaosema rasimu inapendekeza serikali 2 wamepotea au wanapotosha makusudi. USIKOSE


Niwasihi tena na tena, Kazi ya kulijenga Taifa katika Mchakato huu si lelemama, inapasa tusome, tuelewe na tushiriki na zaidi tuendelee kujadiliana na kutafuta maarifa huku tukilifuatilia kwa ukaribu Bunge Maalum la Katiba.

Asanteni

Tunakuombea
 
Humphrey Pole Pole mungu akubariki na akupe nguvu na afya tele ili uendelee kuifanya kazi ya kutoa elimu ya uraia kwa watanzania wenzako kuhusu rasimu ya katiba mpya na maswala ya bunge maalumu linaloendelea mjini Dodoma.
Maadamu nia na dhamira yake ilikua njema, atakuja kutufikisha tu alipokua anaona Tanzania inafaa kuwa. Tumuombee uzima muda bado upo.
 
Naendelea kuwasisitiza watanzania wenzangu, jitahidini kusoma Rasimu ya Katiba Toleo la Pili, nasema hivi kwasababu ili muweze kuona tofauti kati ya Rasimu na Katiba inyopendekezwa ni lazima uijue Rasimu, fuatilia Bunge Maalum na uje uione Katiba inayopendekezwa. Kama hujui Rasimu huwezi kujua kama Mjadala katika Bunge Maalum unavuruga Rasimu au unaboresha Rasimu. Timiza wajibu wako. Mimi natimiza wajibu wangu kwa kuendelea kuwafahamisha yaliyomo katika Rasimu na kuendelea kufafanua yale yanayopotoshwa hivi sasa.


Wiki hii Jumatano Tarehe 20 Agosti Saa 3 usiku nitakuwa Channel 10 na nitafafanua Masuala ya Mchakato wa Katiba (Hapa tulipo), Muundo wa Muungano kama ulivyo kwenye Rasimu, Kwanini Serikali za Mitaa hazijawekwa kwa kina katika Rasimu, utaratibu wa kuwapata viongozi na watumishi katika Rasimu. Nitazungumzia pia suala la Uraia Pacha. USIKOSE


Jumatano Agosti 20 kuanzia saa 6-8 nitakuwa Kikaangoni LIVE ya East Africa Television. Fuatilia ukurasa wao wa facebook nitakuwa huko kujibu maswali yenu na kutoa ufafanuzi. USIKOSE


Alhamisi Agosti 21 Katika Gazeti la RAI, nimefafanua kwa kina juu ya masuala ambayo yamekuwa yakipotoshwa ama kwa kutokujua ama kwa makusudi. Makala hiyo imejikita katika hoja ya Katiba mpya: tupuuze hadaa tusimamie ukweli,
Wanaosema rasimu inapendekeza serikali 2 wamepotea au wanapotosha makusudi. USIKOSE


Niwasihi tena na tena, Kazi ya kulijenga Taifa katika Mchakato huu si lelemama, inapasa tusome, tuelewe na tushiriki na zaidi tuendelee kujadiliana na kutafuta maarifa huku tukilifuatilia kwa ukaribu Bunge Maalum la Katiba.

Asanteni
Huyu Jamaa hili dai la katiba mpya bado analo ??
Kama analo mbona anaongerea mambo mengine ili hali katiba mpya kaiweka kisogoni??
Au Hana mpango na katiba mpya ,je watanzania wenzetu tumueleweje kwamba ni msanii au ni mnafiki?
Duh! 200 bilioni nazo zimesha kwenda na maji
 
Alilipwa hela ya ubunge wa katiba..
Halafu akaanza kuponda katiba alivyo chaguliwa na Magufuli
 
Huyu akaungane na mwenzake wadai tume huru kwanza, JPM ametusaidia sana kuwajua wasaliti.

Hayo mawe yaliyopenya kwenye tanuru la moto mkali ndio naamini yanaijua katiba ya kweli na ndio tutawasiliza.
Sijui ni kitu gani kinatufanya vigeugeu kiasi hiki, ni njaa tu au kuna tatizo lingine kwenye ubongo?
 
Back
Top Bottom