chaliko
Senior Member
- Apr 1, 2019
- 180
- 802
Naomba niwasalimu Ndugu zangu.
Pia naomba niwape pole wale wote ambao Familia zao zimepoteza Ndugu kwa sababu ya matukio ya Kigaidi kule Mtwara.
"MUNGU AZILAZE ROHO ZAO MAREHRMU MAHALI PEMA PEPONI. AMINA"
Naomba sasa nijikite kwenye mada husika.
Nimefikiri kwa kina na Kujiridhisha ya kuwa ipo siku Magaidi ambao wamekuwa wakijichomoza polepole ndani ya Taifa letu Kulaumiwa pamoja na Kulaaniwa na Watanzania wote WATAKUJA KUSHANGILIWA NA BAADHI YA WATANZANIA NA MAKUNDI FULANI FULANI.
Hii itatokea tu pale ambapo Magaidi watabadili MALENGO NA WAHUSIKA WA KUDHURIWA(TARGET)
1. MALENGO
Kama Magaidi hawa watajipenyeza kwa MALENGO YA KUPIGANIA HAKI.
2. TARGET
a. Wale wote ambao wamekuwa wakihusishwa kuteka na kutesa WATU.
b. Wale wote ambao wamekuwa wakitumia nyadhifa zao kukandamiza WATU.
c. Wale wote ambao wamekuwa wakitumika kuua WATU wengine wasio na hatia.
d. Na mengine mengi ya uonevu
Fikra zangu zinaniambi kwa TARGET hizi WATANZANIA Tutagawanyika makundi 2.
1. Wanao waunga Mkono
2. Wasio waunga Mkono
MUNGU IBARIKI TANZANIA
Pia naomba niwape pole wale wote ambao Familia zao zimepoteza Ndugu kwa sababu ya matukio ya Kigaidi kule Mtwara.
"MUNGU AZILAZE ROHO ZAO MAREHRMU MAHALI PEMA PEPONI. AMINA"
Naomba sasa nijikite kwenye mada husika.
Nimefikiri kwa kina na Kujiridhisha ya kuwa ipo siku Magaidi ambao wamekuwa wakijichomoza polepole ndani ya Taifa letu Kulaumiwa pamoja na Kulaaniwa na Watanzania wote WATAKUJA KUSHANGILIWA NA BAADHI YA WATANZANIA NA MAKUNDI FULANI FULANI.
Hii itatokea tu pale ambapo Magaidi watabadili MALENGO NA WAHUSIKA WA KUDHURIWA(TARGET)
1. MALENGO
Kama Magaidi hawa watajipenyeza kwa MALENGO YA KUPIGANIA HAKI.
2. TARGET
a. Wale wote ambao wamekuwa wakihusishwa kuteka na kutesa WATU.
b. Wale wote ambao wamekuwa wakitumia nyadhifa zao kukandamiza WATU.
c. Wale wote ambao wamekuwa wakitumika kuua WATU wengine wasio na hatia.
d. Na mengine mengi ya uonevu
Fikra zangu zinaniambi kwa TARGET hizi WATANZANIA Tutagawanyika makundi 2.
1. Wanao waunga Mkono
2. Wasio waunga Mkono
MUNGU IBARIKI TANZANIA