Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Eti huyu ndo tegemeo lenu la uraisi 2025....mtu hajui utawala wa sharia na hana kauli ya uongozi.....hi nchi inakosa presidential material......hiki kizazi tutateseka sana kujakuona utawala bora sio leo
Viroja mahakamani
majaliwa ni baadhi ya viongozi wachache wenye hekima awamu hii, ni vema aachane na habari za uenezi wa CCM kwa maana ameanza kuwakosea heshima watumishi wa umma. watumishi wa umma (kwa nafasi zao) wana saini kiapo cha kuwatumikia wananchi wote bila kujali kabila, rangi, dini, kipato au itikadi za kisiasa. mtumishi wa umma aliyetukuka anajua wazi kuwa mwajiri wake ni UMMA wa watanzania
majaliwa ni baadhi ya viongozi wachache wenye hekima awamu hii, ni vema aachane na habari za uenezi wa CCM kwa maana ameanza kuwakosea heshima watumishi wa umma. watumishi wa umma (kwa nafasi zao) wana saini kiapo cha kuwatumikia wananchi wote bila kujali kabila, rangi, dini, kipato au itikadi za kisiasa. mtumishi wa umma aliyetukuka anajua wazi kuwa mwajiri wake ni UMMA wa watanzania
Huyu ndo alcohol ajae... Kazi ipo.Kama nchi tunapita kipindi kigumu cha uongozi. Watanzania wenzangu tuiombee nchi yetu.