Tuelimishane:Ni Teknlojia ipi inhitajika ili TV za Tz kurusha matukio Live nje ya Dar

Mathias Byabato

JF-Expert Member
Nov 24, 2010
1,020
691
Naomba wadau tujadili issue hii

Hivi katika kurusha na utumaji wa picha za video vituo kama Aljazeera ,CNN nk wanatumia Tecknolojia ipi hasa katika kutuma picha hali inayotushnda sisi wabongo?

Mathalani kwa tanzania vituo vingi vya TV wanatumia Conventers kutoka kwenye AVI Format au HDV Format kubwa ikuwa ni kupunguza ukumbwa ili file zao ziweze kutmwa via Internet.Lakini ubora wa picha unakuwa si mzuri tofauti na vituo vya nje

Mfano wao wanaopokea picha zilizobadilishwa kutoka AVI kwenda ama MPG4 au FLV ubora wake unapungua sana je wenzetu wanafanyeje naomba wataala mtujuze.

Na je nilisikia kuhusu mkongo wa masailiano ,je hauwezi kutusaidia kurusha matangazo yetu Live hasa ya mikoani badala ya TV kutembea na crew nzima ya mafundi nk

Hii ikoje
 
Nice thread
Read HowStuffWorks "Introduction to How Satellite TV Works" espeacily soma vipengele vya

  • Satelite TV signal
  • Satelite TVencoding and encryption
I have not seen AVI or HDV anywahere can u explain more n these technology and how they areused in televison broadcast.

Nachooona wanasema kurekodi program zenye movement au dynamic sana kama mechi ya mpira wanatumia MPEG4 a kurekodi vipindi amabvyo kwa kiasi kikubwa ni static wanatumia MPEG2.
 
Hapa nacopy baadhi ya maelezo kutoka link niliyotoa hapo juu

Satelite TV system
satellite-tv-4.jpg


Today, most satellite TV customers get their programming through a direct broadcast satellite (DBS) provider, such as DirecTV or DISH Network, The provider selects programs and broadcasts them to subscribers as a set package. Basically, the provider's goal is to bring dozens or even hundreds of channels to your TV in a form that approximates the competition, cable TV.

Unlike earlier programming, the provider's broadcast is completely digital, which means it has much better picture and sound quality . Early satellite television was broadcast in C-band radio -- radio in the 3.7-gigahertz (GHz) to 6.4-GHz frequency range. Digital broadcast satellite transmits programming in the Ku frequency range (11.7 GHz to 14.5 GHz )

The Components
There are five major components involved in a direct to home (DTH) or direct broadcasting (DBS) satellite system: the programming source, the broadcast center( ITV,StarTV, ect), the satellite, the satellite dish and the receiver.
  • Programming sources are simply the channels that provide programming for broadcast. The provider doesn't create original programming itself; it pays other companies (HBO, for example, or ESPN) for the right to broadcast their content via satellite. In this way, the provider is kind of like a broker between you and the actual programming sources. (Cable TV companies work on the same principle.)
  • The broadcast center is the central hub of the system. At the broadcast center, the TV provider receives signals from various programming sources and beams a broadcast signal to satellites in geosynchronous orbit.
  • The satellites receive the signals from the broadcast station and rebroadcast them to Earth.
  • The viewer's dish picks up the signal from the satellite (or multiple satellites in the same part of the sky) and passes it on to the receiver in the viewer's house.
  • The receiver processes the signal and passes it on to a standard TV.


 
Satellite Dish

satellite-tv-7.jpg

The curved dish reflects energy from the feed horn, generating a narrow beam.

When the signal reaches the viewer's house, it is captured by the satellite dish. A satellite dish is just a special kind of antenna designed to focus on a specific broadcast source. The standard dish consists of a parabolic (bowl-shaped) surface and a central feed horn. To transmit a signal, a controller sends it through the horn, and the dish focuses the signal into a relatively narrow beam.

satellite-tv-6.jpg

The curved dish focuses incoming radio waves onto the feed horn.
n this case, the point is the dish's feed horn, which passes the signal on to the receiving equipment. In an ideal setup, there aren't any major obstacles between the satellite and the dish, so the dish receives a clear signal. In some systems, the dish needs to pick up signals from two or more satellites at the same time. The satellites may be close enough together that a regular dish with a single horn can pick up signals from both. This compromises quality somewhat, because the dish isn't aimed directly at one or more of the satellites. A new dish design uses two or more horns to pick up different satellite signals. As the beams from different satellites hit the curved dish, they reflect at different angles so that one beam hits one of the horns and another beam hits a different horn.
The central element in the feed horn is the low noise blockdown converter, or LNB. The LNB amplifies the radio signal bouncing off the dish and filters out the noise (radio signals not carrying programming). The LNB passes the amplified, filtered signal to the satellite receiver inside the viewer's house.

 
Satellite Receiver

The end component in the entire satellite TV system is the receiver.
satellite-tv-1.jpg

The receiver has four essential jobs:
  • It de-scrambles the encrypted signal. In order to unlock the signal, the receiver needs the proper decoder chip for that programming package. The provider can communicate with the chip, via the satellite signal, to make necessary adjustments to its decoding programs. The provider may occasionally send signals that disrupt illegal de-scramblers as an electronic counter measure (ECM) against illegal users.
  • It takes the digital MPEG-2 or MPEG-4 signal and converts it into an analog format that a standard television can recognize. In the United States, receivers convert the digital signal to the analog National Television Systems Committee (NTSC) format. Some dish and receiver setups can also output an HDTV signal.
  • It extracts the individual channels from the larger satellite signal. When you change the channel on the receiver, it sends just the signal for that channel to your TV. Since the receiver spits out only one channel at a time, you can't tape one program and watch another. You also can't watch two different programs on two TVs hooked up to the same receiver. In order to do these things, which are standard on conventional cable, you need to buy an additional receiver.
  • It keeps track of pay-per-view programs and periodically phones a computer at the provider's headquarters to communicate billing information.

NB.
Ukisoma net na kuuelewa mfumo huu wa TV system unavyofanya kazi huu unaweza kuona kuwa inawezekana kuchakachua na kuona channel za DSTV ambazo hutakiwi kuona. soma I-Hacked.com Taking Advantage Of Technology - Satellite Pay Channels on Your Computer For Free (if you have a DVB card)

Mara nyingi watu tunakosea kuita satelite dish. zilizopo majumbani zinaitwa Satelite receiver. Satelite Dish zipo kwa warusha matangazo
 
Nice thread
Read HowStuffWorks "Introduction to How Satellite TV Works" espeacily soma vipengele vya

  • Satelite TV signal
  • Satelite TVencoding and encryption
I have not seen AVI or HDV anywahere can u explain more n these technology and how they areused in televison broadcast.

Nachooona wanasema kurekodi program zenye movement au dynamic sana kama mechi ya mpira wanatumia MPEG4 a kurekodi vipindi amabvyo kwa kiasi kikubwa ni static wanatumia MPEG2.

Nashukuru wa post zako na nimetembelea link ulizotoa ni nzuri kuelewa mfumo wa wa utangazaji nk lakini naomna kama hazinipi jibu kutokana na hoja ya swali la msingi.Zote zinafaganua kuhusu teknlojia ya utangazaji katika Satelite basi.

Mimi nilitaka kujua mbinu wanayotumia ALJAZEERA,CNN ,BBC nK katika kutuma picha kutoka nje ya ilipo studio yao kuu.Mfano maeneo ya Vijijini ambako hakuna Umeme nk.

Tumezoea hapa bongo ili TV station warushe live jambo fulani Live lazima wawe na crew ya watu wasipoungua 15 nk na hapo kwa appointment ya karibu wiki mbili ili wajipange.Je wenzetu kama hao ambao matukio yote ya gafla wanakuwa live wanafanyaje?

Nawasikiliza..........
 
Nashukuru wa post zako na nimetembelea link ulizotoa ni nzuri kuelewa mfumo wa wa utangazaji nk lakini naomna kama hazinipi jibu kutokana na hoja ya swali la msingi.Zote zinafaganua kuhusu teknlojia ya utangazaji katika Satelite basi.

Mimi nilitaka kujua mbinu wanayotumia ALJAZEERA,CNN ,BBC nK katika kutuma picha kutoka nje ya ilipo studio yao kuu.Mfano maeneo ya Vijijini ambako hakuna Umeme nk.

Tumezoea hapa bongo ili TV station warushe live jambo fulani Live lazima wawe na crew ya watu wasipoungua 15 nk na hapo kwa appointment ya karibu wiki mbili ili wajipange.Je wenzetu kama hao ambao matukio yote ya gafla wanakuwa live wanafanyaje?
 
Back
Top Bottom