mbere
JF-Expert Member
- Mar 5, 2015
- 6,969
- 6,460
Wakuu,
Suala la kutoa taarifa zinazohusiana na msiba wapo watu wanaojua kufikisha taarifa hizo ila watu wengi hawajui namna ya kumpa mtu taarifa za msiba.
Kuna watu wanatoaga taarifa za msiba kwa ghafla, bila huruma. Utasikia 'flani kafa'. dahh! Wakati mwingine huweza kusababisha mstuko kwa mpokeaji.
Mtaua mnaowapa taarifa jamani punguzeni makali kidogo.
Tuelimishane
Suala la kutoa taarifa zinazohusiana na msiba wapo watu wanaojua kufikisha taarifa hizo ila watu wengi hawajui namna ya kumpa mtu taarifa za msiba.
Kuna watu wanatoaga taarifa za msiba kwa ghafla, bila huruma. Utasikia 'flani kafa'. dahh! Wakati mwingine huweza kusababisha mstuko kwa mpokeaji.
Mtaua mnaowapa taarifa jamani punguzeni makali kidogo.
Tuelimishane