Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,918
- 95,201
Inatia ukakasi mkubwa sana kusikia kiongozi mkubwa wa mkoa anatoa matamshi ya ETI ATAWAKAMATA WATU WOTE WANAO ZULURA BILA KAZI.
Hivi anajua nini maana ya kuzurula? Hivi anajua maana ya kazi? Anaweza kutwambia kuwa tangu mwaka 2015 wao kama serekali wametoa ajira ngapi hadi sasa kwa vijana wanaoaliza shule?
Tuelezwe tatizo lake kabla ya kumlaumu maana naona kama kuna tatizo siyo bure.
In God we Trust
Hivi anajua nini maana ya kuzurula? Hivi anajua maana ya kazi? Anaweza kutwambia kuwa tangu mwaka 2015 wao kama serekali wametoa ajira ngapi hadi sasa kwa vijana wanaoaliza shule?
Tuelezwe tatizo lake kabla ya kumlaumu maana naona kama kuna tatizo siyo bure.
In God we Trust