Huu uzi unawahusu sana wazee wa betting aka wazee wakuwekelea mzigo wazee wa over under na jackpotUnakuta ile situation labda umefanya mtihani ukaona hapa hapana lazima nitafanya vibaya ila matokeo yakija vitu vinakuwa tofauti hadi unashangaa imetokeaje , tuambiane hizo experience hapa ...
Changamoto tu hiyo ingekufanya iwe chachu ya kukua na sio kukata tamaa. Unakotoka usigeuke nyuma na wala kujuta utageuka chumviKuacha Kazi sehemu Moja kwa kudhani unaenda sehemu nzuri zaidi sintosahau....
Haya ndo tunayopitia vijana wengi mtaaani Ila Mungu ni mwema tuendelee kupambanaNilitegemea nikimaliza chuo nitapata kazi bila kuhaso, nimefika kitaa nakutana na kitu kinaitwa connection. Sina ndugu wala jamaa sehemu yoyote.Nimetuma maombi sehemu nyingi sijawahi kuitwa interview hadi nimekata tamaa.Mbele sioni kitu. Naamini mungu yupo lakini.
Nilitegemea nikimaliza chuo nitapata kazi bila kuhaso, nimefika kitaa nakutana na kitu kinaitwa connection. Sina ndugu wala jamaa sehemu yoyote.Nimetuma maombi sehemu nyingi sijawahi kuitwa interview hadi nimekata tamaa.Mbele sioni kitu. Naamini mungu yupo lakini.