MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,836
- 3,537
Ndiyo maana unashauliwa kufanya mazoezi na kufanya physical activities pale unapopata wasaa.Mkuu mim pia natatizo kama lako nanimempata daktar flani yuko dar nkaongea nae kwakirefu na kumuonyesha vipimo nlikopita ila akanambiia misuli yngu itakua haipitishi damu vizur na itakua imesinyaa ambako hiki kitu nikama namm nimekihisi itakua kweli
maana kote nlikopita kwa madaktar hakuna aliewahi nambia hiko kitu zaid yakunipima nakunambia niko sawa ila huyu daktar nliempata sasa hivi naona kama yuko tofauti nawengne yaye naona kagundua kitu nachokihisi nakanambia itabid nifunge safar hadi Dar yeye mwenyewe anipeme kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app