Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 5,353
- 11,496
Jamani haya matangazo yamekuwa mengi sana kwenye mitandao. Dawa za kuongeza urefu na unene mpini. Kama huelewi kwa kiswahili tashdidu tunaita uume.
1. Je ni kweli zinafanya kazi?
2. Mabadiliko yanabaki permanent?
3. Nini side effects zake/madhara yake?
4. Hiyo nyama inayoongezea inatokea wapi?
5. Nguvu za kiume haziathiriki?
Je, ni wanawake wote wanapenda mpini mkubwa? Nmejiuliza haya maswali sababu naona kama eneo hilo serikali imelifumbia macho na matangazo yamekuwa mengi sana. Tupeane uzoefu jamani watu wasije wakaharibikiwa miaka ijayo.
1. Je ni kweli zinafanya kazi?
2. Mabadiliko yanabaki permanent?
3. Nini side effects zake/madhara yake?
4. Hiyo nyama inayoongezea inatokea wapi?
5. Nguvu za kiume haziathiriki?
Je, ni wanawake wote wanapenda mpini mkubwa? Nmejiuliza haya maswali sababu naona kama eneo hilo serikali imelifumbia macho na matangazo yamekuwa mengi sana. Tupeane uzoefu jamani watu wasije wakaharibikiwa miaka ijayo.