Tuelezane namna ya kutotolesha mayai kwa kutumia pumba

Feb 25, 2019
25
15
Naomba kwa mwenye ujuzi na huu utaalamu wa kutotolesha mayai kuku kwa kutumia pumba
maana ni tegemeo langu kuwa kuna wataalamu weng kwenye masuala ya ufugaji

Asante
 
Naomba kwa mwenye ujuzi na huu utaalamu wa kutotolesha mayai kuku kwa kutumia pumba
maana ni tegemeo langu kuwa kuna wataalamu weng kwenye masuala ya ufugaji

Asante
Kwa utaalamu nilio kuwa nao kidogo nilikuwa nafuga kuku na hutaga mayai mengi ila alikuwa hatotoi nikawa nafanya hvi. Akitaga mayai nayachukua na weka kwenye ndio au Jana na weka na pumba maana pumba huzalisha joto jigi inapelekea kutoto kwa mayai Yale Baada ya siku 21
 
Kwa utaalamu nilio kuwa nao kidogo nilikuwa nafuga kuku na hutaga mayai mengi ila alikuwa hatotoi nikawa nafanya hvi. Akitaga mayai nayachukua na weka kwenye ndio au Jana na weka na pumba maana pumba huzalisha joto jigi inapelekea kutoto kwa mayai Yale Baada ya siku 21
Mayai unayaweka kwenye ndio au jana
 
Mkuu ebu fafanua kidgo au hazina nyama sasa vifaranga ndani ya jumba sio vitakufa
Kwa utaalamu nilio kuwa nao kidogo nilikuwa nafuga kuku na hutaga mayai mengi ila alikuwa hatotoi nikawa nafanya hvi. Akitaga mayai nayachukua na weka kwenye ndio au Jana na weka na pumba maana pumba huzalisha joto jigi inapelekea kutoto kwa mayai Yale Baada ya siku 21
 
Kwa utaalamu nilio kuwa nao kidogo nilikuwa nafuga kuku na hutaga mayai mengi ila alikuwa hatotoi nikawa nafanya hvi. Akitaga mayai nayachukua na weka kwenye ndio au Jana na weka na pumba maana pumba huzalisha joto jigi inapelekea kutoto kwa mayai Yale Baada ya siku 21
Mkuu naomba ufafanuzi kidogo kuhusu hili maana mm mwenyewe nataka kujaribu huu mbinu
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom