Tueleweshane faida za Uwanja wa ndege Mpanda

MAKULUGA

JF-Expert Member
Jan 21, 2011
7,161
9,370
Nakumbuka mwisho wa zama za Kikwete kulijengwa uwanja mkubwa wa ndege kule Mpanda na tulielezwa kuwa Uwanja huu utakuwa ni kichocheo cha uchumi wa Mikoa hii Rukwa na Mpanda kwa kuboresha uapatikanaji wa masoko ya kilimo na maliasili pamoja na kukuza utalii kama si kuchochea.

Wadau tupeni mrejesho wa ndoto hii ya Serikali ya CCM. Hivi ulimalizika, unatumika? Ni mashirika gani ya ndege yanaenda huko?
 
Nakumbuka mwisho wa zama za JK kulijengwa uwanja mkubwa wa ndege kule Mpanda! na tulielezwa kuwa Uwanja huu utakuwa ni kichocheo cha uchumi wa Mikoa hii Rukwa na Mpanda.Kw akuboresha uapatikanaji wa masoko ya kilimo na mali asili pamoja na kukuza utalii kama si kuchochea.Wadau tupeni mrejesho wa ndoto hii ya Serikali ya CCM!
Hivi ulimalizika,unatumika,? ni mashirika gani ya ndege yanaenda huko!
Uko unachapa kazi kama traffic lights za Chattle
 
Wachawi watalii wa Ulaya wanaruka na kutua hapo wakija kutalii Bongo..na ruti za ndani kwa shuguli zao zinaanzia hapo...ila soon watahamia wa Chato wakipata kibali toka Gambushi Bariadi
Nakumbuka mwisho wa zama za Kikwete kulijengwa uwanja mkubwa wa ndege kule Mpanda na tulielezwa kuwa Uwanja huu utakuwa ni kichocheo cha uchumi wa Mikoa hii Rukwa na Mpanda kwa kuboresha uapatikanaji wa masoko ya kilimo na maliasili pamoja na kukuza utalii kama si kuchochea.

Wadau tupeni mrejesho wa ndoto hii ya Serikali ya CCM. Hivi ulimalizika, unatumika? Ni mashirika gani ya ndege yanaenda huko?
 
Kuna mbuga inaitwa katavi,kuna uwindaji mkubwa sana wa kitalii
COASTAL NA ZANAIR wanautumia sana
 
Nakumbuka mwisho wa zama za Kikwete kulijengwa uwanja mkubwa wa ndege kule Mpanda na tulielezwa kuwa Uwanja huu utakuwa ni kichocheo cha uchumi wa Mikoa hii Rukwa na Mpanda kwa kuboresha uapatikanaji wa masoko ya kilimo na maliasili pamoja na kukuza utalii kama si kuchochea.

Wadau tupeni mrejesho wa ndoto hii ya Serikali ya CCM. Hivi ulimalizika, unatumika? Ni mashirika gani ya ndege yanaenda huko?
Wafipa wanaanikia mahindi yao na mbuzi wanapumzika kwenye runway
 
Back
Top Bottom