TUELEWANE TU: CHADEMA hawajakosa agenda tu bali Sasa umepoteza Dira Kabisa. Wanatumia Kauli Za Utani Za Rais Kama Agenda! Ni Aibu

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,600
Nimetafakari sana kwa chama hiki ambacho kinajiita chama chenye sera mbadala ambacho ni CHADEMA na kugundua kuwa chama hiki kimekosa agenda na sasa kinaelekea kupoteza dira kwa watanzania. Katika kutafakari kwangu nikapata majibu haya mawili: La kwanza, CHADEMA hakina pumzi ya kusimama yenyewe mbele ya CCM na la pili, CHADEMA hakina uwezo wa kuongoza unaofikiriwa kuwa nao( uwezo wake wote unatokana na CCM au vyama vya vingine na huu ndio ukweli ila mchungu).

Kabla ya utawala wa Rais Magufuli, kulikuwa na kauli mitaani kuwa CHADEMA hakina agenda sikujua ukweli wa kauli hiyo mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Sikuelewa mapema kwa nini, mitaani ambapo watu wa kawaida kabisa wanaishi kufikia hatua ya kusema CHADEMA hakina agenda lakini sasa ninaelewa vizuri sana.

Nikikumbuka CHADEMA ya dkt. Slaa ilivyojimbanua kwa mapambano ya Rushwa na ufisadi lakini CHADEMA ya dkt. Mashinji ikijipambanua kwa kutetea yaliyokuwa yanapingwa na kupiganiwa na dkt. Slaa. Hii ndio sababu watu mitaani kusema CHADEMA hawana agenda na ushuhuda ni leo agenda kubwa ya mapambano ya ufisadi na rushwa ya CHADEMA imewekwa pembeni na kuanza kushughulika na mambo madogomadogo ambayo hayana hata umuhimu kwa nchi na wakiacha mambo ya msingi.

Kuna kauli Rais Magufuli alizitoa kama jiwe na kichaa. Hizi ni kauli kwa hakika nilitegemea zingechukuliwa kama kauli za utani na alitumia kukazia alichosema lakini leo upinzani unatumia kauli hizo kama agenda na mbaya Zaidi hata wabunge wao wanatumia kauli hizo kama agenda. Huku ni kukosa agenda na kupoteza dira. Nilitegemea kauli za maendeleo na kujenga nchi kutoka kinywani mwa Rais zikatumiwa na wapinzani kama agenda lakini matokeo yake zile kauli za utani ndio agenda zao.

Nikimnukuu maneno aliyosema Rais siku hiyo aliyesema jiwe’ Na ninataka muamini watanzania mna Rais wa kwelikweli, ni jiwe kwelikweli. Sitishwi wala sitishiki. Mimi jikumu langu kwa ajili ya watanzania, ni kuhahakikisha ninawavunsha watanzania kutoka mahali pa shida mpka pa raha’. Ni aibu sana nukuu kama hiyo ikiwa imebeba matarajio makubwa ya Rais lakini CHADEMA wanaamua kutoka sehemu ya utani kama agenda. Ni aibu

Mwanafalsafa Socrates aliwahi kusema’ strong minds discuss ideas, average minds discuss events and weak minds discuss people’, kwa tafasiri Nyepesi ’ akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu’. Watanzania sasa wameanza kujadili vitu vidogovidogo na vya kawaida tu. Kujadili kauli kama “jiwe”, “kichaa”, “kiongozi wa malaika”, n.k ni sawa na kujadili watu na hiyo ni sifa ya akili ndogo. Kauli kama hizo zichukuliwe kama utani tu. Kuendelea kujadili kauli kama hizo ni kukosa agenda na kupoteza dira.
 
Nimetafakari sana kwa chama hiki ambacho kinajiita chama chenye sera mbadala ambacho ni CHADEMA na kugundua kuwa chama hiki kimekosa agenda na sasa kinaelekea kupoteza dira kwa watanzania. Katika kutafakari kwangu nikapata majibu haya mawili: La kwanza, CHADEMA hakina pumzi ya kusimama yenyewe mbele ya CCM na la pili, CHADEMA hakina uwezo wa kuongoza unaofikiriwa kuwa nao( uwezo wake wote unatokana na CCM au vyama vya vingine na huu ndio ukweli ila mchungu).

Kabla ya utawala wa Rais Magufuli, kulikuwa na kauli mitaani kuwa CHADEMA hakina agenda sikujua ukweli wa kauli hiyo mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Sikuelewa mapema kwa nini, mitaani ambapo watu wa kawaida kabisa wanaishi kufikia hatua ya kusema CHADEMA hakina agenda lakini sasa ninaelewa vizuri sana.

Nikikumbuka CHADEMA ya dkt. Slaa ilivyojimbanua kwa mapambano ya Rushwa na ufisadi lakini CHADEMA ya dkt. Mashinji ikijipambanua kwa kutetea yaliyokuwa yanapingwa na kupiganiwa na dkt. Slaa. Hii ndio sababu watu mitaani kusema CHADEMA hawana agenda na ushuhuda ni leo agenda kubwa ya mapambano ya ufisadi na rushwa ya CHADEMA imewekwa pembeni na kuanza kushughulika na mambo madogomadogo ambayo hayana hata umuhimu kwa nchi na wakiacha mambo ya msingi.

Kuna kauli Rais Magufuli alizitoa kama jiwe na kichaa. Hizi ni kauli kwa hakika nilitegemea zingechukuliwa kama kauli za utani na alitumia kukazia alichosema lakini leo upinzani unatumia kauli hizo kama agenda na mbaya Zaidi hata wabunge wao wanatumia kauli hizo kama agenda. Huku ni kukosa agenda na kupoteza dira. Nilitegemea kauli za maendeleo na kujenga nchi kutoka kinywani mwa Rais zikatumiwa na wapinzani kama agenda lakini matokeo yake zile kauli za utani ndio agenda zao.

Nikimnukuu maneno aliyosema Rais siku hiyo aliyesema jiwe’ Na ninataka muamini watanzania mna Rais wa kwelikweli, ni jiwe kwelikweli. Sitishwi wala sitishiki. Mimi jikumu langu kwa ajili ya watanzania, ni kuhahakikisha ninawavunsha watanzania kutoka mahali pa shida mpka pa raha’. Ni aibu sana nukuu kama hiyo ikiwa imebeba matarajio makubwa ya Rais lakini CHADEMA wanaamua kutoka sehemu ya utani kama agenda. Ni aibu

Mwanafalsafa Socrates aliwahi kusema’ strong minds discuss ideas, average minds discuss events and weak minds discuss people’, kwa tafasiri Nyepesi ’ akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu’. Watanzania sasa wameanza kujadili vitu vidogovidogo na vya kawaida tu. Kujadili kauli kama “jiwe”, “kichaa”, “kiongozi wa malaika”, n.k ni sawa na kujadili watu na hiyo ni sifa ya akili ndogo. Kauli kama hizo zichukuliwe kama utani tu. Kuendelea kujadili kauli kama hizo ni kukosa agenda na kupoteza dira.
Public figures have to keep their words and that any decision you make in life you are responsible for it
 
Nimetafakari sana kwa chama hiki ambacho kinajiita chama chenye sera mbadala ambacho ni CHADEMA na kugundua kuwa chama hiki kimekosa agenda na sasa kinaelekea kupoteza dira kwa watanzania. Katika kutafakari kwangu nikapata majibu haya mawili: La kwanza, CHADEMA hakina pumzi ya kusimama yenyewe mbele ya CCM na la pili, CHADEMA hakina uwezo wa kuongoza unaofikiriwa kuwa nao( uwezo wake wote unatokana na CCM au vyama vya vingine na huu ndio ukweli ila mchungu).

Kabla ya utawala wa Rais Magufuli, kulikuwa na kauli mitaani kuwa CHADEMA hakina agenda sikujua ukweli wa kauli hiyo mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Sikuelewa mapema kwa nini, mitaani ambapo watu wa kawaida kabisa wanaishi kufikia hatua ya kusema CHADEMA hakina agenda lakini sasa ninaelewa vizuri sana.

Nikikumbuka CHADEMA ya dkt. Slaa ilivyojimbanua kwa mapambano ya Rushwa na ufisadi lakini CHADEMA ya dkt. Mashinji ikijipambanua kwa kutetea yaliyokuwa yanapingwa na kupiganiwa na dkt. Slaa. Hii ndio sababu watu mitaani kusema CHADEMA hawana agenda na ushuhuda ni leo agenda kubwa ya mapambano ya ufisadi na rushwa ya CHADEMA imewekwa pembeni na kuanza kushughulika na mambo madogomadogo ambayo hayana hata umuhimu kwa nchi na wakiacha mambo ya msingi.

Kuna kauli Rais Magufuli alizitoa kama jiwe na kichaa. Hizi ni kauli kwa hakika nilitegemea zingechukuliwa kama kauli za utani na alitumia kukazia alichosema lakini leo upinzani unatumia kauli hizo kama agenda na mbaya Zaidi hata wabunge wao wanatumia kauli hizo kama agenda. Huku ni kukosa agenda na kupoteza dira. Nilitegemea kauli za maendeleo na kujenga nchi kutoka kinywani mwa Rais zikatumiwa na wapinzani kama agenda lakini matokeo yake zile kauli za utani ndio agenda zao.

Nikimnukuu maneno aliyosema Rais siku hiyo aliyesema jiwe’ Na ninataka muamini watanzania mna Rais wa kwelikweli, ni jiwe kwelikweli. Sitishwi wala sitishiki. Mimi jikumu langu kwa ajili ya watanzania, ni kuhahakikisha ninawavunsha watanzania kutoka mahali pa shida mpka pa raha’. Ni aibu sana nukuu kama hiyo ikiwa imebeba matarajio makubwa ya Rais lakini CHADEMA wanaamua kutoka sehemu ya utani kama agenda. Ni aibu

Mwanafalsafa Socrates aliwahi kusema’ strong minds discuss ideas, average minds discuss events and weak minds discuss people’, kwa tafasiri Nyepesi ’ akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu’. Watanzania sasa wameanza kujadili vitu vidogovidogo na vya kawaida tu. Kujadili kauli kama “jiwe”, “kichaa”, “kiongozi wa malaika”, n.k ni sawa na kujadili watu na hiyo ni sifa ya akili ndogo. Kauli kama hizo zichukuliwe kama utani tu. Kuendelea kujadili kauli kama hizo ni kukosa agenda na kupoteza dira.
Uliamka vizuri...Hii post ni moja ya post za maana kabisa kwa wenye akili lakini.
 
Nimetafakari sana kwa chama hiki ambacho kinajiita chama chenye sera mbadala ambacho ni CHADEMA na kugundua kuwa chama hiki kimekosa agenda na sasa kinaelekea kupoteza dira kwa watanzania. Katika kutafakari kwangu nikapata majibu haya mawili: La kwanza, CHADEMA hakina pumzi ya kusimama yenyewe mbele ya CCM na la pili, CHADEMA hakina uwezo wa kuongoza unaofikiriwa kuwa nao( uwezo wake wote unatokana na CCM au vyama vya vingine na huu ndio ukweli ila mchungu).

Kabla ya utawala wa Rais Magufuli, kulikuwa na kauli mitaani kuwa CHADEMA hakina agenda sikujua ukweli wa kauli hiyo mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Sikuelewa mapema kwa nini, mitaani ambapo watu wa kawaida kabisa wanaishi kufikia hatua ya kusema CHADEMA hakina agenda lakini sasa ninaelewa vizuri sana.

Nikikumbuka CHADEMA ya dkt. Slaa ilivyojimbanua kwa mapambano ya Rushwa na ufisadi lakini CHADEMA ya dkt. Mashinji ikijipambanua kwa kutetea yaliyokuwa yanapingwa na kupiganiwa na dkt. Slaa. Hii ndio sababu watu mitaani kusema CHADEMA hawana agenda na ushuhuda ni leo agenda kubwa ya mapambano ya ufisadi na rushwa ya CHADEMA imewekwa pembeni na kuanza kushughulika na mambo madogomadogo ambayo hayana hata umuhimu kwa nchi na wakiacha mambo ya msingi.

Kuna kauli Rais Magufuli alizitoa kama jiwe na kichaa. Hizi ni kauli kwa hakika nilitegemea zingechukuliwa kama kauli za utani na alitumia kukazia alichosema lakini leo upinzani unatumia kauli hizo kama agenda na mbaya Zaidi hata wabunge wao wanatumia kauli hizo kama agenda. Huku ni kukosa agenda na kupoteza dira. Nilitegemea kauli za maendeleo na kujenga nchi kutoka kinywani mwa Rais zikatumiwa na wapinzani kama agenda lakini matokeo yake zile kauli za utani ndio agenda zao.

Nikimnukuu maneno aliyosema Rais siku hiyo aliyesema jiwe’ Na ninataka muamini watanzania mna Rais wa kwelikweli, ni jiwe kwelikweli. Sitishwi wala sitishiki. Mimi jikumu langu kwa ajili ya watanzania, ni kuhahakikisha ninawavunsha watanzania kutoka mahali pa shida mpka pa raha’. Ni aibu sana nukuu kama hiyo ikiwa imebeba matarajio makubwa ya Rais lakini CHADEMA wanaamua kutoka sehemu ya utani kama agenda. Ni aibu

Mwanafalsafa Socrates aliwahi kusema’ strong minds discuss ideas, average minds discuss events and weak minds discuss people’, kwa tafasiri Nyepesi ’ akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu’. Watanzania sasa wameanza kujadili vitu vidogovidogo na vya kawaida tu. Kujadili kauli kama “jiwe”, “kichaa”, “kiongozi wa malaika”, n.k ni sawa na kujadili watu na hiyo ni sifa ya akili ndogo. Kauli kama hizo zichukuliwe kama utani tu. Kuendelea kujadili kauli kama hizo ni kukosa agenda na kupoteza dira.
JIWE siyo utani.

Tunasoma kwenye Biblia ; Jiwe walilolikataa waashi limekuwa jiwe kuu la pembeni.
 
Achana na hiyo saccos imeshajifia sasahivi wanakopa matatizo nchi za jirani wanasema ni ya Tanzania.Wanachukua za wagonjwa wa Ebola Congo na wahanga wa njaa Kenya wanasema ni Tanzania.
 
Achana na hiyo saccos imeshajifia sasahivi wanakopa matatizo nchi za jirani wanasema ni ya Tanzania.Wanachukua za wagonjwa wa Ebola Congo na wahanga wa njaa Kenya wanasema ni Tanzania.
hahaha .. indeed yours is the best comment
 
Nimetafakari sana kwa chama hiki ambacho kinajiita chama chenye sera mbadala ambacho ni CHADEMA na kugundua kuwa chama hiki kimekosa agenda na sasa kinaelekea kupoteza dira kwa watanzania. Katika kutafakari kwangu nikapata majibu haya mawili: La kwanza, CHADEMA hakina pumzi ya kusimama yenyewe mbele ya CCM na la pili, CHADEMA hakina uwezo wa kuongoza unaofikiriwa kuwa nao( uwezo wake wote unatokana na CCM au vyama vya vingine na huu ndio ukweli ila mchungu).

Kabla ya utawala wa Rais Magufuli, kulikuwa na kauli mitaani kuwa CHADEMA hakina agenda sikujua ukweli wa kauli hiyo mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Sikuelewa mapema kwa nini, mitaani ambapo watu wa kawaida kabisa wanaishi kufikia hatua ya kusema CHADEMA hakina agenda lakini sasa ninaelewa vizuri sana.

Nikikumbuka CHADEMA ya dkt. Slaa ilivyojimbanua kwa mapambano ya Rushwa na ufisadi lakini CHADEMA ya dkt. Mashinji ikijipambanua kwa kutetea yaliyokuwa yanapingwa na kupiganiwa na dkt. Slaa. Hii ndio sababu watu mitaani kusema CHADEMA hawana agenda na ushuhuda ni leo agenda kubwa ya mapambano ya ufisadi na rushwa ya CHADEMA imewekwa pembeni na kuanza kushughulika na mambo madogomadogo ambayo hayana hata umuhimu kwa nchi na wakiacha mambo ya msingi.

Kuna kauli Rais Magufuli alizitoa kama jiwe na kichaa. Hizi ni kauli kwa hakika nilitegemea zingechukuliwa kama kauli za utani na alitumia kukazia alichosema lakini leo upinzani unatumia kauli hizo kama agenda na mbaya Zaidi hata wabunge wao wanatumia kauli hizo kama agenda. Huku ni kukosa agenda na kupoteza dira. Nilitegemea kauli za maendeleo na kujenga nchi kutoka kinywani mwa Rais zikatumiwa na wapinzani kama agenda lakini matokeo yake zile kauli za utani ndio agenda zao.

Nikimnukuu maneno aliyosema Rais siku hiyo aliyesema jiwe’ Na ninataka muamini watanzania mna Rais wa kwelikweli, ni jiwe kwelikweli. Sitishwi wala sitishiki. Mimi jikumu langu kwa ajili ya watanzania, ni kuhahakikisha ninawavunsha watanzania kutoka mahali pa shida mpka pa raha’. Ni aibu sana nukuu kama hiyo ikiwa imebeba matarajio makubwa ya Rais lakini CHADEMA wanaamua kutoka sehemu ya utani kama agenda. Ni aibu

Mwanafalsafa Socrates aliwahi kusema’ strong minds discuss ideas, average minds discuss events and weak minds discuss people’, kwa tafasiri Nyepesi ’ akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu’. Watanzania sasa wameanza kujadili vitu vidogovidogo na vya kawaida tu. Kujadili kauli kama “jiwe”, “kichaa”, “kiongozi wa malaika”, n.k ni sawa na kujadili watu na hiyo ni sifa ya akili ndogo. Kauli kama hizo zichukuliwe kama utani tu. Kuendelea kujadili kauli kama hizo ni kukosa agenda na kupoteza dira.


KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member

Joined Apr 10, 2019

We ni mgeni jF kwa hiyo hatukushangai kwa maoni ya kitoto kama haya
 
Huwa niseme ukweli nawaambiaga Mara nyingi KABUDI NA MPANGO WAPUMBAVU ingawa wamenizidi umri.
Vitu kama hivi hakutakiwa kusema mbele ya public hata kama anawaambia hivyo huko nikukosa ustarabu na hekima, na niseme tu aliamua kuwadhalilisha.
 
Nimetafakari sana kwa chama hiki ambacho kinajiita chama chenye sera mbadala ambacho ni CHADEMA na kugundua kuwa chama hiki kimekosa agenda na sasa kinaelekea kupoteza dira kwa watanzania. Katika kutafakari kwangu nikapata majibu haya mawili: La kwanza, CHADEMA hakina pumzi ya kusimama yenyewe mbele ya CCM na la pili, CHADEMA hakina uwezo wa kuongoza unaofikiriwa kuwa nao( uwezo wake wote unatokana na CCM au vyama vya vingine na huu ndio ukweli ila mchungu).

Kabla ya utawala wa Rais Magufuli, kulikuwa na kauli mitaani kuwa CHADEMA hakina agenda sikujua ukweli wa kauli hiyo mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Sikuelewa mapema kwa nini, mitaani ambapo watu wa kawaida kabisa wanaishi kufikia hatua ya kusema CHADEMA hakina agenda lakini sasa ninaelewa vizuri sana.

Nikikumbuka CHADEMA ya dkt. Slaa ilivyojimbanua kwa mapambano ya Rushwa na ufisadi lakini CHADEMA ya dkt. Mashinji ikijipambanua kwa kutetea yaliyokuwa yanapingwa na kupiganiwa na dkt. Slaa. Hii ndio sababu watu mitaani kusema CHADEMA hawana agenda na ushuhuda ni leo agenda kubwa ya mapambano ya ufisadi na rushwa ya CHADEMA imewekwa pembeni na kuanza kushughulika na mambo madogomadogo ambayo hayana hata umuhimu kwa nchi na wakiacha mambo ya msingi.

Kuna kauli Rais Magufuli alizitoa kama jiwe na kichaa. Hizi ni kauli kwa hakika nilitegemea zingechukuliwa kama kauli za utani na alitumia kukazia alichosema lakini leo upinzani unatumia kauli hizo kama agenda na mbaya Zaidi hata wabunge wao wanatumia kauli hizo kama agenda. Huku ni kukosa agenda na kupoteza dira. Nilitegemea kauli za maendeleo na kujenga nchi kutoka kinywani mwa Rais zikatumiwa na wapinzani kama agenda lakini matokeo yake zile kauli za utani ndio agenda zao.

Nikimnukuu maneno aliyosema Rais siku hiyo aliyesema jiwe’ Na ninataka muamini watanzania mna Rais wa kwelikweli, ni jiwe kwelikweli. Sitishwi wala sitishiki. Mimi jikumu langu kwa ajili ya watanzania, ni kuhahakikisha ninawavunsha watanzania kutoka mahali pa shida mpka pa raha’. Ni aibu sana nukuu kama hiyo ikiwa imebeba matarajio makubwa ya Rais lakini CHADEMA wanaamua kutoka sehemu ya utani kama agenda. Ni aibu

Mwanafalsafa Socrates aliwahi kusema’ strong minds discuss ideas, average minds discuss events and weak minds discuss people’, kwa tafasiri Nyepesi ’ akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu’. Watanzania sasa wameanza kujadili vitu vidogovidogo na vya kawaida tu. Kujadili kauli kama “jiwe”, “kichaa”, “kiongozi wa malaika”, n.k ni sawa na kujadili watu na hiyo ni sifa ya akili ndogo. Kauli kama hizo zichukuliwe kama utani tu. Kuendelea kujadili kauli kama hizo ni kukosa agenda na kupoteza dira.
Nimetafakari sana kwa chama hiki ambacho kinajiita chama chenye sera mbadala ambacho ni CHADEMA na kugundua kuwa chama hiki kimekosa agenda na sasa kinaelekea kupoteza dira kwa watanzania. Katika kutafakari kwangu nikapata majibu haya mawili: La kwanza, CHADEMA hakina pumzi ya kusimama yenyewe mbele ya CCM na la pili, CHADEMA hakina uwezo wa kuongoza unaofikiriwa kuwa nao( uwezo wake wote unatokana na CCM au vyama vya vingine na huu ndio ukweli ila mchungu).

Kabla ya utawala wa Rais Magufuli, kulikuwa na kauli mitaani kuwa CHADEMA hakina agenda sikujua ukweli wa kauli hiyo mpaka Rais Magufuli alipoingia madarakani. Sikuelewa mapema kwa nini, mitaani ambapo watu wa kawaida kabisa wanaishi kufikia hatua ya kusema CHADEMA hakina agenda lakini sasa ninaelewa vizuri sana.

Nikikumbuka CHADEMA ya dkt. Slaa ilivyojimbanua kwa mapambano ya Rushwa na ufisadi lakini CHADEMA ya dkt. Mashinji ikijipambanua kwa kutetea yaliyokuwa yanapingwa na kupiganiwa na dkt. Slaa. Hii ndio sababu watu mitaani kusema CHADEMA hawana agenda na ushuhuda ni leo agenda kubwa ya mapambano ya ufisadi na rushwa ya CHADEMA imewekwa pembeni na kuanza kushughulika na mambo madogomadogo ambayo hayana hata umuhimu kwa nchi na wakiacha mambo ya msingi.

Kuna kauli Rais Magufuli alizitoa kama jiwe na kichaa. Hizi ni kauli kwa hakika nilitegemea zingechukuliwa kama kauli za utani na alitumia kukazia alichosema lakini leo upinzani unatumia kauli hizo kama agenda na mbaya Zaidi hata wabunge wao wanatumia kauli hizo kama agenda. Huku ni kukosa agenda na kupoteza dira. Nilitegemea kauli za maendeleo na kujenga nchi kutoka kinywani mwa Rais zikatumiwa na wapinzani kama agenda lakini matokeo yake zile kauli za utani ndio agenda zao.

Nikimnukuu maneno aliyosema Rais siku hiyo aliyesema jiwe’ Na ninataka muamini watanzania mna Rais wa kwelikweli, ni jiwe kwelikweli. Sitishwi wala sitishiki. Mimi jikumu langu kwa ajili ya watanzania, ni kuhahakikisha ninawavunsha watanzania kutoka mahali pa shida mpka pa raha’. Ni aibu sana nukuu kama hiyo ikiwa imebeba matarajio makubwa ya Rais lakini CHADEMA wanaamua kutoka sehemu ya utani kama agenda. Ni aibu

Mwanafalsafa Socrates aliwahi kusema’ strong minds discuss ideas, average minds discuss events and weak minds discuss people’, kwa tafasiri Nyepesi ’ akili kubwa hujadili mawazo, akili ya wastani hujadili matukio na akili ndogo hujadili watu’. Watanzania sasa wameanza kujadili vitu vidogovidogo na vya kawaida tu. Kujadili kauli kama “jiwe”, “kichaa”, “kiongozi wa malaika”, n.k ni sawa na kujadili watu na hiyo ni sifa ya akili ndogo. Kauli kama hizo zichukuliwe kama utani tu. Kuendelea kujadili kauli kama hizo ni kukosa agenda na kupoteza dira.

Unapata wapi muda wa kuandika ujinga wote huu??? How much are you paid???
 
  • Thanks
Reactions: PNC

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member

Joined Apr 10, 2019

We ni mgeni jF kwa hiyo hatukushangai kwa maoni ya kitoto kama haya
unafurahisha sana ndugu . kuwahi kujiunga JF ndio inaonesha kuwa utakuwa mchangiaji mzuri, hayo ni mawazo mgando. sheria ya kusema ukweli na kutoa hoja si sheria ya JF ila ni hali ya mtu kuwa hivyo. wewe uliyejiunga muda mrefu ni kipi ambacho nchi hii imefaidika nacho zaidi kutoa maoni ya kuonesha JF ni genge la watukanaji?
 
unafurahisha sana ndugu . kuwahi kujiunga JF ndio inaonesha kuwa utakuwa mchangiaji mzuri, hayo ni mawazo mgando. sheria ya kusema ukweli na kutoa hoja si sheria ya JF ila ni hali ya mtu kuwa hivyo. wewe uliyejiunga muda mrefu ni kipi ambacho nchi hii imefaidika nacho zaidi kutoa maoni ya kuonesha JF ni genge la watukanaji?
Niliposoma comment ya huyu unayemjibu nilifikiria kama ulivyosema kwamba kujiunga karibuni hapa JF siyo hoja. Lakini kwa jinsi ulivyojibu, nimeona kumbe kujiunga karibuni ni HOJA kwako wewe. INAKUHUSU. Sababu ni kwamba ukisema JF ni genge la watukanaji, unaonesha jinsi usivyoielewa JF. kwa wale ambao angalau tuna zaidi ya miaka 10 hapa, tumekutana na comment kali, za kufikirisha, nzito, za hekima. Hapa kuna watu wa kila aina. wapo watukanaji, wapo wenye muono mfupi, lakini wapo pia wenye muona wa mbali, wenye hekima, ma-great thinker kweli kweli. na wapo katika pande zote. wapo wenye msimamo wa kati, wapo wenye kupendelea serikali lakini wana hekima, na wapo washabiki tu wa serikali iwe usiku iwe mchana iwe masika iwe kiangazi.

Unapopost thread yako, jifunze kuwa na subira, mnyenyekevu. pokea kila comment, siyo lazima uzipende na siyo lazima ukubaliane nazo - huwezi kukubaliana na kila mtu anyway, lakini waheshimu wanaokujibu. Hiyo ndiyo hekima.

Walionzisha JF wanakusudia hapa uwe uwanja wa fikra, hoja nzito. jenga hoja, mwaga hoja barazani, kisha acha watu wachangie kwa uhuru. tena unaweza ku-like hata wanaokutukana. hapo utakuwa umewapa homework kali kweli! na utaheshimika.
 
Back
Top Bottom