Tuelekeako na Chadema - Tutafika tu but the price is high.

mm nna wasi wasi huyu jamaa na yeye katutega, sijui anakusudia kusukuma kete gani baadae


mie nnaangalia kwa makini tusimpe nafasi akitula tatu hadi kingi
 
Wengine tunaishi kwa imani. Hapa imebidi thanks ibonyezwe tu kwa mkuu Mwiba kwa hii useful post; mengineyo tutajua njiani.
 
Nadhani mwiba anapiga hodi hatuna budi kumkaribisha...................Karibu sana mwiba kwenye kundi la wenye akili
 
mm nna wasi wasi huyu jamaa na yeye katutega, sijui anakusudia kusukuma kete gani baadae


mie nnaangalia kwa makini tusimpe nafasi akitula tatu hadi kingi

inawezekana anatafuta za kiintelijensia.

somebody to teach me how to deactivate my 'thanks' on his post.
 
inawezekana anatafuta za kiintelijensia.

somebody to teach me how to deactivate my 'thanks' on his post
.
You had the right to thanked him for what he wrote and it doesn't matter if he is after!(kiintelijensia)


He may not have intended to post as he did in the way we know most of time he do post thread! but in use of common Sense in this post he deserve the our thanks.
 
Ameandika asichokimaanisha. Hii ni mbinu ya kupigana vita ukiwa upande wa adui. Naamini wako wengi humu wanaopigana wakiwa upande wa wapenda mabadiliko, kumbe ni mafisadi damu, na vise versa. Tujiulize ile kura ya kumchagua m/kiti wa Hai jana iliyoiangusha CCM ilitoka wapi? Kuna wapambanaji wengi pia wavaao mashati ya kijani, lakini si wa kijani.
 
Ni njia yenye vilio na maumivu ,ujumbe wangu ni kwa viongozi wa Chadema waujulishe umma ,ili izidi ari ya wanachama kuwa katika safari ya kutafuta na kurudisha Taifa hili katika mstari huu ni wakati wa kukaza rubega na kuhakikisha haifungi,
 
Back
Top Bottom