- Thread starter
- #21
29 November 2020
Dodoma, Tanzania
UFUNGUZI MKUTANO KAMATI ZA JUMUIYA ZA CCM
Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma.
Katibu Mkuu wa CCM Dr. Bashiru Ally Kakurwa atoa pongezi kwa wabunge wote waliteuliwa kupitia Jumuiya zake za UVCCM, UWT, WAZAZI, TUCTA na kuwataka waende kuiwakilisha CCM vizuri ngazi za ubunge wa kuteuliwa, ubunge viti maalum na uwaziri SMZ.
Dodoma, Tanzania
UFUNGUZI MKUTANO KAMATI ZA JUMUIYA ZA CCM
Ukumbi wa Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma.
Katibu Mkuu wa CCM Dr. Bashiru Ally Kakurwa atoa pongezi kwa wabunge wote waliteuliwa kupitia Jumuiya zake za UVCCM, UWT, WAZAZI, TUCTA na kuwataka waende kuiwakilisha CCM vizuri ngazi za ubunge wa kuteuliwa, ubunge viti maalum na uwaziri SMZ.