Mbunge wa viti maalum kupitia Shirikisho la Wafanyakazi Tanzania TUCTA TUCTA | Trade Union Congress Of Tanzania baada ya kupitishwa na Jumuiya ya CCM ya Umoja wa Wanawake Tanzania UWT .
Mbunge huyo Viti Maalum kutoka TUCTA kupitia UWT-CCM mkoa wa Dar es Salaam amesema amepokea kwa furaha jukumu hilo na kupitia vyama zaidi ya 13 vya Wafanyakazi wa Tanzania vinavyounda Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania atafanya kazi kwa kushirikisha na wizara ya kazi na wadau wengine ili kufikisha matamanio ya wafanyakazi katika chombo cha kutunga sheria cha Bunge la Jamhuri ya Muungano ili kutetea haki za wafanyakazi wote Tanzania.
Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi TUCTA lina vyama shirikishi chini yake vya waalimu, makuli bandarini n.k listi ya vyama hivyo ni
TUCTA ni shirikisho linaloundwa na vyama 13 vya wafanyakazi lenye wanachama kutoka sekta mbalimbali na vyama hivyo ni:
- Tanzania Teachers Union (TTU)
- Tanzania Union of Industrial and Commercial Workers Union (TUICO)
- Researchers, Academicians and Allied Workers Union (RAAWU)
- Tanzania Local Government Workers Union (TALGWU)
- Tanzania Mines and Construction Workers Union (TAMICO)
- Tanzania Plantations and Agricultural Workers Union (TPAWU)
- Tanzania Railways Workers Union (TRAWU)
- Tanzania Union of Government and Health Employees (TUGHE)
- Tanzania Seamen’s Union (TASU)
- Communication and Transport Workers’ Union of Tanzania (COTWUT)
- Conservation,Hotels, Domestic and Allied Workers’ Union (CHODAWU)
- Telephone Workers’ Union of Tanzania (TEWUTA)
- Dock Workers’ Union of Tanzania (DOWUTA)
Source : TUCTA Affiliates