TUCTA Ianzishe tuzo maalum itakayoitwa "Tuzo ya Patrick Mfugale"

jingalao

JF-Expert Member
Oct 12, 2011
35,053
28,245
Kuna ombwe la jinsi gani Watumishi wawe wa umma au binafsi wapongezwe na kutambulika kutokana na juhudi zao makazini.
mara nyingi tunaishia kuwapa fedha kiduchu,mifuko ya saruji na mabati.

Nashauri TUCTA ije na njia nyingine ya kumotivate watumishi kwa kuanzisha tuzo maalumu kwa watumishi wenye mchango wa kutukuka katika ujenzi wa Taifa.

napenda kushuhudia mtumishi mchapakazi mmoja anapata tuzo maalum kwa kuanzia iitwe tuzo ya Patrick Mfugale.

Nawasilisha kwa majadiliano.

KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!
 
Kuna ombwe la jinsi gani Watumishi wawe wa umma au binafsi wapongezwe na kutambulika kutokana na juhudi zao makazini.
mara nyingi tunaishia kuwapa fedha kiduchu,mifuko ya saruji na mabati.

Nashauri TUCTA ije na njia nyingine ya kumotivate watumishi kwa kuanzisha tuzo maalumu kwa watumishi wenye mchango wa kutukuka katika ujenzi wa Taifa.

napenda kushuhudia mtumishi mchapakazi mmoja anapata tuzo maalum kwa kuanzia iitwe tuzo ya Patrick Mfugale.

Nawasilisha kwa majadiliano.

KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!
imekaa fresh ila inaweza kosa mvuto coz itaonekana imefanyika sababu mzee mwenye Nyumba ame mmwagia sifaa
 
Nampongeza ila hiyo kazi alisomea na alilipwa,asingesomea asingepewa. Mnataka kufanya kanakwamba kuna watanzania walishindwa labda akaweza yeye. Sio miujiza

Ni kama vile useme Daktari wa kwanza kufanya Stenting pale JKCI tumpe tuzo au wodi jina ipewe jina lake.

Kila kitu hapa Tanzania kina wa kwanza wake kufanya. Labda kama kuna mengineyo
 
Nampongeza ila hiyo kazi alisomea na alilipwa,asingesomea asingepewa. Mnataka kufanya kanakwamba kuna watanzania walishindwa labda akaweza yeye. Sio miujiza

Ni kama vile useme Daktari wa kwanza kufanya Stenting pale JKCI tumpe tuzo au wodi jina ipewe jina lake.

Kila kitu hapa Tanzania kina wa kwanza wake kufanya. Labda kama kuna mengineyo
Si mbaya kwa daktari huyo kutambuliwa kitaifa hata huko ughaibuni wanafanya hivyo ili kuwapa hamasa vijana wadogo walioko masomoni.
 
Wengine wanasema apitishwe agombee iringa,wengine ateuliwe kuwa katibu mkuu wizara ya ujenzi,wengine awe rais!Yaani vururuvarara
Nafasi aliyonayo ni zaid ya Katibu Mkuu, ila kimuundo kweli Katibu ni Boss wake
 
Kuna ombwe la jinsi gani Watumishi wawe wa umma au binafsi wapongezwe na kutambulika kutokana na juhudi zao makazini.
mara nyingi tunaishia kuwapa fedha kiduchu,mifuko ya saruji na mabati.

Nashauri TUCTA ije na njia nyingine ya kumotivate watumishi kwa kuanzisha tuzo maalumu kwa watumishi wenye mchango wa kutukuka katika ujenzi wa Taifa.

napenda kushuhudia mtumishi mchapakazi mmoja anapata tuzo maalum kwa kuanzia iitwe tuzo ya Patrick Mfugale.

Nawasilisha kwa majadiliano.

KWA HISANI YA WATU WA TANZANIA!
Kule umeanzisha uzi wa mfugale kugombea ubunge iringa .
 
Huu utaratibu wa kuabudu watu mnaupenda sana,
Kwanza ni dhambi,
Pili hakuna tija yeyote,

Huu utaratibu wa kutukuza miungu watu hauna utofauti na ule wa kuabudu mizimu,

Hiki ndicho chanzo cha ulozi, mwishowe mtaitwa wanga
 
kwa nini mkuu?

Hiki ulichosema hapa ni kama zile ahadi watu hutoa siku wakifiwa na rafiki zao. Hapo msibani kwa ajii ya hisia utasikia mwingine anasema atasomesha watoto wa marehemu, mwingine nitamalizia nyumba ya marehemu. Lakini baada ya muda hizo hisia zikiisha hizo ahadi hazitekelezeki. Hata wewe hii post yako ni hisia ya sifa za leo ulizosikia kwa Mfugale. Wenyewe huwa mnaita siasa za matukio.
 
Wengine wanasema apitishwe agombee iringa,wengine ateuliwe kuwa katibu mkuu wizara ya ujenzi,wengine awe rais!Yaani vururuvarara
Ndiyo maisha ya kibongo yalivyo mkuu bila unafiki hayaendi, kama rais angemponda mfugale leo basi nao wangekuja kuunga mkono kauli
 
Back
Top Bottom