Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,948
- 18,648
Hatuhitaji kutumia pesa nyingi eti kutengeneza tume ya katiba ambayo itatumia miaka hata 20 tusipate iyo katiba.
Tufanye kucopy ile ya wakenya tubadili vitu vichache kama muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kama Kenya imeleta amani na uhuru kwanini ishindikane kwetu?
Kupata katiba mpya bila mapinduzi Tz ni vigumu sana.
Tufanye kucopy ile ya wakenya tubadili vitu vichache kama muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Kama Kenya imeleta amani na uhuru kwanini ishindikane kwetu?
Kupata katiba mpya bila mapinduzi Tz ni vigumu sana.