Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,834
Sasa wewe ndio unayetakiwa kutetea thread yako. Wewe leta hoja kutete thread yako zaidi utaonekana upo na mawazo ya kitoto.Wewe hoja yako ipo wapi mbona naona upuuzi tuu huu umeandika. Unajua hata maana ya purchasing power wewe?
Rudi kwenye mada utetee thread yako. Hiyo ninakupatia mifano tu.