Tuchunguze watoto wetu wa hostel

punjab

Member
May 23, 2013
39
22
Kwa wenye watoto hostel tuwe na muda wa kuwahoji watoto wakati wa likizo mana kuna vitendo vingi vya bullying (matokeo yake baadae ni mtoto kukosa confidence ukubwani, au hata kuwa na roho mbaya)

Nimeiona hii kenya kwa shule ya alliance shule ya gharama kabisa, no beatings but wana military punishmenta km vile squatting, push-ups etc
Wengine kupewa adhabu ya kulala juu ya kaburi usiku (si kumjengea hofu mtoto na roho mbaya baadae katika jamii hata kaziini.

Kwa hiyo tabia tunazoziona makazini na hata katika jamii zetu inaweza ikawa ni matokeo ya malezi ya nyumbani au shuleni.
 
Kwa wenye watoto hostel tuwe na muda wa kuwahoji watoto wakati wa likizo mana kuna vitendo vingi vya bullying (matokeo yake baadae ni mtoto kukosa confidence ukubwani, au hata kuwa na roho mbaya)

Nimeiona hii kenya kwa shule ya alliance shule ya gharama kabisa, no beatings but wana military punishmenta km vile squatting, push-ups etc
Wengine kupewa adhabu ya kulala juu ya kaburi usiku (si kumjengea hofu mtoto na roho mbaya baadae katika jamii hata kaziini.

Kwa hiyo tabia tunazoziona makazini na hata katika jamii zetu inaweza ikawa ni matokeo ya malezi ya nyumbani au shuleni.
Wengine wanalazwa juu ya kaburi usiku ..... hapa sasa twaandaa wachawi wa badae
 
Yaani ni vile tu kuna mazingira ambayo humfanya mzazi ampeleke mwanae boarding, lakini huko ni kubaya kuliko tunavyodhani. Yaani ni Mungu tu aweke mkono wake maana kwa nguvu zetu na akili zetu hatutaweza
 
Ulivyosema hostel nikajua watoto wa chuo!

Unalosema ni sahihi mkuu!
 
Sasa wakati analazwa juu ya kaburi mwalimu anamsimamia au anampeleka makaburini halafu anamwacha hapo amelala?
 
Back
Top Bottom