masanjasb
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 2,364
- 864
Wadau wasalaam?
Kumewakuwa na kauli tata za viongozi wa vyama vya siasa hapa nchi hasa yanapotokea majanga makubwa yanayotikisa Nchi yetu na kauli hizo hutolewa na viongozi waliopewa dhama ya kuongoza vyama na hata taasisi kubwa hapa nchi.
Katika hali ya kutaka kulisaidia jeshi la police kama tulivyoombwa na IGP mwema ebu tuzirejea kauli za viongozi wetu toka kampeni za uchaguzi mdogo wa kata 26 nchini kote mpka leo ambapo uchaguzi wa kata 4 haukufanyika kwa sababu ya mlipuko uliotokea pale arusha 15/06/2013 naona tukianzia hapo tutapata mwanga na hata picha ya nini kilicho nyuma ya hizi kauli tata za viongozi wetu.
Anza na tukio husika ama mkutano ilipotamkwa hyo kauli na jina huyo kiongozi kwenye mabano,tusitumia akili zaidi na sio msukumo wa vyama.
Mfano: 13/06/2013 maeneo fulani ndugu fulani alitamka kuwa kama usiponichagua mimi kupitia cha B mtakiona cha mtema kuni:
Tusaidiane kumsaidia IGP kama kweli tuna nia njema na Taifa hili najua wengi tutaka kurejea kauli za 2005 ila sio lengo la Uzi huu,basi mwenye lolote asaidie hapa tumechoka kuwawa kwani kama sio baba yako kuna siku atakuja kufa mtoto wako mbele ya mcho yako nausiamini kinachotokea,na yote hayo ni sababu ya kuficha tu kauli za msababishaji wa mlipuko huo.
Kumewakuwa na kauli tata za viongozi wa vyama vya siasa hapa nchi hasa yanapotokea majanga makubwa yanayotikisa Nchi yetu na kauli hizo hutolewa na viongozi waliopewa dhama ya kuongoza vyama na hata taasisi kubwa hapa nchi.
Katika hali ya kutaka kulisaidia jeshi la police kama tulivyoombwa na IGP mwema ebu tuzirejea kauli za viongozi wetu toka kampeni za uchaguzi mdogo wa kata 26 nchini kote mpka leo ambapo uchaguzi wa kata 4 haukufanyika kwa sababu ya mlipuko uliotokea pale arusha 15/06/2013 naona tukianzia hapo tutapata mwanga na hata picha ya nini kilicho nyuma ya hizi kauli tata za viongozi wetu.
Anza na tukio husika ama mkutano ilipotamkwa hyo kauli na jina huyo kiongozi kwenye mabano,tusitumia akili zaidi na sio msukumo wa vyama.
Mfano: 13/06/2013 maeneo fulani ndugu fulani alitamka kuwa kama usiponichagua mimi kupitia cha B mtakiona cha mtema kuni:
Tusaidiane kumsaidia IGP kama kweli tuna nia njema na Taifa hili najua wengi tutaka kurejea kauli za 2005 ila sio lengo la Uzi huu,basi mwenye lolote asaidie hapa tumechoka kuwawa kwani kama sio baba yako kuna siku atakuja kufa mtoto wako mbele ya mcho yako nausiamini kinachotokea,na yote hayo ni sababu ya kuficha tu kauli za msababishaji wa mlipuko huo.