Tuchangamshe akili kidogo

mabala1990

JF-Expert Member
Sep 19, 2012
209
141
Wakuu habari za usiku.,

Bila kuchelewa hapo kichwa cha habar kinajieleza, mimi kuna swala huwa najiuliza nakosa majibu ni kwanini inakuwa hivyo.,
Kwanza; Simu nyingi hasa smartphones(zilizonyingi na si zote) zina internal memory inayogawanyika kwa 8 yaani 8GB, 16GB, 32GB, 64GB and so on...na kwanini isiwe 7GB, 13GB na 21GB?
Pili; Computers specifically naongelea mpakato, zina bits 32 na 64 kwanini zisiwe 30 au 23 bits.?


Shukrani..,
Nawasilisha hoja..
 
kiufupi tu, kompyuta hutumia memory cell (chumba) ku tunza binary digits 0 na 1,

kila cell huweza kutunza (address) digit moja tu at a time, 0 au 1,
ivyo basi total number of ways a cell can store a bit = 2 ( 0 na 1 makes 2 ) ,

hapa ni zile sample space, 0 au 1 ambayo huunda 2

kama una 2 cells , ina maana
00 , cell1 inatunza 0 , cell2 inatunza 0. AU
01 , cell1 inatunza 0 , cell2 inatunza 1. AU
10 , cell1 inatunza 1 , cell2 inatunza 0. AU
11 , cell1 inatunza 1, cell2 inatunza 1
izo ndo possible events za mpangilio, ambazo zipo 4

utaona kwamba kama una 3cells mpangilio ni huu
000,001,010,011,100,101,110,111
mpangilio ni 8.

kama una 4cells , mpangilio ni 16
kama una n-cells , mpangilio ni '2 raise n'
samaani kwa kukuwekea hesabu

mpangilio ndio mpango mzima wa kupima memory storage , ivyo basi haiwezi dondokea nje ya hii, 2,4,8,16,32,64,etc
 
Ni historia na standardisation.
Kuna computer nyingi za zamani zilikiwa na 12 au 22 bits, zaidi ni maamuzi ya industry ya computer ili kusiwe na kutokiongiliana kwa vifaa/software etc.
 
kiufupi tu, kompyuta hutumia memory cell (chumba) ku tunza binary digits 0 na 1,

kila cell huweza kutunza (address) digit moja tu at a time, 0 au 1,
ivyo basi total number of ways a cell can store a bit = 2 ( 0 na 1 makes 2 ) ,

hapa ni zile sample space, 0 au 1 ambayo huunda 2

kama una 2 cells , ina maana
00 , cell1 inatunza 0 , cell2 inatunza 0. AU
01 , cell1 inatunza 0 , cell2 inatunza 1. AU
10 , cell1 inatunza 1 , cell2 inatunza 0. AU
11 , cell1 inatunza 1, cell2 inatunza 1
izo ndo possible events za mpangilio, ambazo zipo 4

utaona kwamba kama una 3cells mpangilio ni huu
000,001,010,011,100,101,110,111
mpangilio ni 8.

kama una 4cells , mpangilio ni 16
kama una n-cells , mpangilio ni '2 raise n'
samaani kwa kukuwekea hesabu

mpangilio ndio mpango mzima wa kupima memory storage , ivyo basi haiwezi dondokea nje ya hii, 2,4,8,16,32,64,etc
Asante mkuu umenifungua macho
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom