Tuchangamkie fursa Zimbabwe

eddy

JF-Expert Member
Dec 26, 2007
15,022
9,943
Wakati bei ya mkate Tanzania ni kati ya shs 1000 na elfu mbili yaani US$0.4 hadi US0.9, Zimbabwe ni kati ya US$1.4 hadi US$2.4 yaani ununue mkate dar kwa shs elfu mbili ukauze Harare kwa shs elfu tano, hapa hata kama ukipakia mikate na unga wa ngano wa azam kwenye Dreamliner ukapeleka Zimbabwe inalipa tu.

Hebu Mo Dewj na Bhakresa ongozeni wawekezaji kwenda Zimbabwe kuangalia fursa za kuwekeza kwenye food industry Zimbabwe, huu ndio muda wa kuchangamkia fursa, hebu hizi Bakery zilizozagaa kila kona ya nchi sasa zifunguke na kuvuka mipaka ya nchi kusaka masoko.
 
Wakati bei ya mkate Tanzania ni kati ya shs 1000 na elfu mbili yaani US$0.4 hadi US0.9, Zimbabwe ni kati ya US$1.4 hadi US$2.4 yaani ununue mkate dar kwa shs elfu mbili ukauze Harare kwa shs elfu tano, hapa hata kama ukipakia mikate na unga wa ngano wa azam kwenye Dreamliner ukapeleka Zimbabwe inalipa tu.

Hebu Mo Dewj na Bhakresa ongozeni wawekezaji kwenda Zimbabwe kuangalia fursa za kuwekeza kwenye food industry Zimbabwe, huu ndio muda wa kuchangamkia fursa, hebu hizi Bakery zilizozagaa kila kona ya nchi sasa zifunguke na kuvuka mipaka ya nchi kusaka masoko.
Vipi kuhusu kodi..unaweza kukuta sababu ya viwanda vya ndani kupandisha bei ni kwasababu hiyo...Na Je,sera ya nchi hiyo inaruhusu kuimport food products.?
Unaweza ukaakisi hiyo situation na hapa nyumbani kipindi cha mfumuko wa bei ya sukari..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwani umejiuliza kwanini Bei iko hivyo??

Pengine gharama za uzalishaji ziko juu.

Hata ukibeba mkate toka huku

Utabeba mingapi??na nauli sh ngapi?? Gharama za kuishi je??

Hiyo elfu tatu itacava??

Biashara sio mawazo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkate issue, si mnaona hata huko Sudan wanataka kumpindia rais wao kisa mkate umepanda bei.
 
Mkate issue, si mnaona hata huko Sudan wanataka kumpindia rais wao kisa mkate umepanda bei.
Wakati sisi kila kona kuna bakery bodaboda zinapishana kusambaza mikate skonzi na maandazi kwingine ni bidhaa adimu kwanini epz tantrade wasiitishe semina za wadau wa mikate tuone namna gani tutachangamkia hizi fursa.
 
Kwani umejiuliza kwanini Bei iko hivyo??

Pengine gharama za uzalishaji ziko juu.

Hata ukibeba mkate toka huku

Utabeba mingapi??na nauli sh ngapi?? Gharama za kuishi je??

Hiyo elfu tatu itacava??

Biashara sio mawazo tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Haya ndio mambo ya kujadili kama wadau tufanye SWOT analysis, TanTrade EPZ wakae na wadau tuone namna gani tutachangamkia hili soko, tuwaite maofisa ubalozi wetu walioko katika nchi husika watueleze namna gani tutachangamkia hizo fursa, tuwatume TISS wakachunguze hali halisi ya kiuchumi na kiusalama. mfano Bhakresa akipeleka ngano yake sudan ya kusini tunampatia na wanajeshi kupitia SUMAJKT wakulinda godown zake.
 
Haya ndio mambo ya kujadili kama wadau tufanye SWOT analysis, TanTrade EPZ wakae na wadau tuone namna gani tutachangamkia hili soko, tuwaite maofisa ubalozi wetu walioko katika nchi husika watueleze namna gani tutachangamkia hizo fursa, tuwatume TISS wakachunguze hali halisi ya kiuchumi na kiusalama. mfano Bhakresa akipeleka ngano yake sudan ya kusini tunampatia na wanajeshi kupitia SUMAJKT wakulinda godown zake.

Duuui

Yaani mpaka Sumajkt ili tu mfanyabiashara apate faida zake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati sisi kila kona kuna bakery bodaboda zinapishana kusambaza mikate skonzi na maandazi kwingine ni bidhaa adimu kwanini epz tantrade wasiitishe semina za wadau wa mikate tuone namna gani tutachangamkia hizi fursa.


Ukionekana umeshika mkate Sudan ama Zimbabwe unagombaniwa na mademu mtaani kama Tanzanite, yaani unaonekana mjanja ila hapa Tanzania ukishika mkate unaonekana ni alosto tu ama mtu wa njaa.
 
not easy as you think / bakery ina protocol lazima zifuatwe,lazima upelekwe kwenye oficial shop licenced upatiwe taxed reciept vat included
 
Back
Top Bottom