Tuchague Rais Mpya

Domo Kaya

JF-Expert Member
May 29, 2007
531
59
Mimi nina wazo Watanzania wenzangu sijui nyinyi mnaonaje...., kutokana na Rais wetu kuonekana anapenda zaidi kazi ya waziri wa mambo ya Nnje, au ameona Mh. Membe hawezi kazi yake na kuamua kumsaidia MIMI NAPENDEKEZA BORA TUAMUE KUCHAGUA RAIS MWINGINE ambaye ataweza kukaa IKULU na kufanya kazi zake kama Rais na si kama waziri wa mambo ya nje. Safari za Nnje zisizokwisha kila siku ulaya.Nadhani sasa hivi keshamaliza kuzulu nchi zote barani Ulaya. WATANZANIA TUMECHOKA KUONA RAIS ANAKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NNJE NA KUSAHAU KAZI YAKE YA URAIS.
 
wazo lako ni zuri sana,lakini mswahili anasema kwamba tuliisha uvaa mkenge mpaka 2010,nakumbuka wakati mnachagua bahati mbaya sikuwepo,sifa kubwa kwa watanzania ilikuwa ni rais handsome,sasa acha azurule wee,anaweza kupata mchumba huko na taifa likaletewa posa,kwekwekweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!
 
Kingwendu hawaamini wasaidizi wake ndio maana anakata anga tu,bora arudie kazi yake ya zamani,urais hauwezi.
 
Kweli unayosema ndugu yangu kafakunoga....Rais wetu kazi yake kuuza sura tu nchi za watu.... Tanzania inanuka umasikini... huwezi kuamini nikukuambia hata chanjo za watoto mahospitalini hakuna..... nashangaa pesa zote za walipa kodi sijui zinaenda wapi hadi huduma muhimu kama chanjo za watoto zimekwisha karibia mwezi wa sita sasa.. sijui nchi yetu inakwenda wapi.
 
Posa naamini itakuwa ni kale kasungura na kama tukikatoa posa sijui tutabakia na kitu gani wandugu.
 
Hapo mimi sichangii chochote zaidi ya kuishia kuguna tu maana tuliyataka wenyewe tukampatia hiyo Sh 80 hata chenjihajaturudishia.
 
Mimi siku ya kupiga kura hata sikutoka nnje kabisa nililala ndani kwangu. kisa cha kwenda kupanga foleni kumpigia kura mtu aende kula nchi.
 
Mimi siku ya kupiga kura hata sikutoka nnje kabisa nililala ndani kwangu. kisa cha kwenda kupanga foleni kumpigia kura mtu aende kula nchi.

Na ndiyo maana ni muhimu kwenda kupiga kura! Civic duty! Hata ukisema wanaiba kura, at least you will have the right to complain. in 2010 we must have voter drive kama Marekani siyo kama mazingaombwe yaliyofanyika hapa 2005 na akina Juma nature na TMK ambao walikuwa wanamfanyia kampeni handsome boy!
Lakini hoja yako Domo Kaya ina nguvu kidogo nadhani wataalam wa kisheria watueleze suala la impeachment. je lina wezekana maana nimeona hoja katika thread mbalimbali lakini sijapata legal feedback. Anyone on that? What is the procedure? Je katiba inaruhusu?
 
Kweli unayosema ndugu yangu kafakunoga....Rais wetu kazi yake kuuza sura tu nchi za watu.... Tanzania inanuka umasikini... huwezi kuamini nikukuambia hata chanjo za watoto mahospitalini hakuna..... nashangaa pesa zote za walipa kodi sijui zinaenda wapi hadi huduma muhimu kama chanjo za watoto zimekwisha karibia mwezi wa sita sasa.. sijui nchi yetu inakwenda wapi.

Lowassa na rostam ndiye katuangamiza kwa kumkampenia mtalii. Nenda Tanesco unalipia service line mpya maisha unaambiwa mita hamna. Ukiuliza lini zitakuwepo unaelezwa hatujui. Nchi imekufa bado alshabab waimalizie tuu sasa
 
Mimi nina wazo Watanzania wenzangu sijui nyinyi mnaonaje...., kutokana na Rais wetu kuonekana anapenda zaidi kazi ya waziri wa mambo ya Nnje, au ameona Mh. Membe hawezi kazi yake na kuamua kumsaidia MIMI NAPENDEKEZA BORA TUAMUE KUCHAGUA RAIS MWINGINE ambaye ataweza kukaa IKULU na kufanya kazi zake kama Rais na si kama waziri wa mambo ya nje. Safari za Nnje zisizokwisha kila siku ulaya.Nadhani sasa hivi keshamaliza kuzulu nchi zote barani Ulaya. WATANZANIA TUMECHOKA KUONA RAIS ANAKUWA WAZIRI WA MAMBO YA NNJE NA KUSAHAU KAZI YAKE YA URAIS.
Yoyote lakini asiwe Ngeleja.
 
Lowassa na rostam ndiye katuangamiza kwa kumkampenia mtalii. Nenda Tanesco unalipia service line mpya maisha unaambiwa mita hamna. Ukiuliza lini zitakuwepo unaelezwa hatujui. Nchi imekufa bado alshabab waimalizie tuu sasa

Usiulize Tanzania imekufanyia nini.jiulize Wewe umeifanyia nini Tanzania?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom