Tubadilishe mwelekeo kidogo, can we also be a forum for something, not just against?

Kitila Mkumbo

JF-Expert Member
Feb 25, 2006
3,354
1,943
Well, mimi nafikiri tumeshakata sana issue za ufisadi hapa. Watu wameumbuliwa sana tu, na kwa kweli sisi tumeonyesha kwamba tunaweza sana kukemea na kuwaumbua mafisadi kuanzia wale waotuibia hela zetu kule BoT na kwenye taasisi zingine za umma hadi wale wenye tabia za kutokufunga suruali zao sawasawa. Yaani, kwa kifupi hii forum imefanikiwa kuwa a forum against ufisadi all other evils that befall our beloved country.

Nashauri tupige hatua kidogo. Can also be a forum for something?

Hebu tujiweke kidogo kama a policy review body. Ok, kuna hili tatizo la ajali, tutafanyeje kupunguza vifo vya wananchi wasio na hatia kiasi kile.

Kuna hili la shule. Tumeona mwenzetu JK shida yake ni wingi. Mashule mengi. Majengo mengi. Wanafunzi wengi. Walimu wengi hata kama hawaendi mashuleni. Yaani yeye ni mzee wa wingi, kwa sababu ni rahisi kupata sifa kwa kuangalia wingi wa kitu, ila ubora ni ngumu sana maana inachukua muda na wakati mwingine vigezo vya ubora ni controversial. Kwa hiyo kwa mtu anayependa sifa za sasa hivi itabidi akazania wingi, na ndio maana sisi wengine hatumshangai sana Rais wetu anavyokazania wingi wa vitu huku neno ubora likiwa mbali kabisa na midomo yake!

Nasikia kuanzia mwakani anakuja na sera ya dispensary kila kijiji! Yaleyale ya wingi, na hii wakiitekeleza itabidi dada zetu wanaomaliza la saba ndio wawe manesi na tusubiri watu kupata ulemavu wa miguu kwa kuchomwa sindano na watu wasio qualify!

Ok, nirudi kwenye issue ya elimu. Elimu yetu inaugua ugonjwa wa kutisha. Yote hii ya madaktari ya kumfanyia mtu operation ya mguu badala ya kichwa, inatoa taswira ya ugonjwa ambao elimu yetu inaugua. Hawa ni matunda ya elimu yetu mbovu.

Sasa sisi hapa kama policy review body, tunawezaje kuboresha elimu yetu? So far hapo juu, as usual, nimefanikiwa tu kuwa against something. Je, tunaweza ku-propose something?

Tukate issue hapa, nami nitashuka baadaye kidogo na mapendekezo yangu (something for).

PS: hii mada ikiwa misplaced, naomba nisamehewe bure na ipelekwe panapohusika kama sio mahala pake.
 
Yes, but what puzzles me is that with all those thousands of posts, you have ever thanked one post alone according to your profile. To me, I think you have always been against it. Let us change much more than what you think as a sort of encouragement.
 
Kudos..Kitila Mkumbo hii ni breath of fresh air...mimi nitarudi kwenye huu mjadala bidae kidogo..Ila mbon ahizi hoja zilijadiliwa sana tu humu bodini siku za nyuma.
 
Well, mimi nafikiri tumeshakata sana issue za ufisadi hapa. Watu wameumbuliwa sana tu, na kwa kweli sisi tumeonyesha kwamba tunaweza sana kukemea na kuwaumbua mafisadi kuanzia wale waotuibia hela zetu kule BoT na kwenye taasisi zingine za umma hadi wale wenye tabia za kutokufunga suruali zao sawasawa. Yaani, kwa kifupi hii forum imefanikiwa kuwa a forum against ufisadi all other evils that befall our beloved country.

Nashauri tupige hatua kidogo. Can also be a forum for something?

Hebu tujiweke kidogo kama a policy review body. Ok, kuna hili tatizo la ajali, tutafanyeje kupunguza vifo vya wananchi wasio na hatia kiasi kile.

Kuna hili la shule. Tumeona mwenzetu JK shida yake ni wingi. Mashule mengi. Majengo mengi. Wanafunzi wengi. Walimu wengi hata kama hawaendi mashuleni. Yaani yeye ni mzee wa wingi, kwa sababu ni rahisi kupata sifa kwa kuangalia wingi wa kitu, ila ubora ni ngumu sana maana inachukua muda na wakati mwingine vigezo vya ubora ni controversial. Kwa hiyo kwa mtu anayependa sifa za sasa hivi itabidi akazania wingi, na ndio maana sisi wengine hatumshangai sana Rais wetu anavyokazania wingi wa vitu huku neno ubora likiwa mbali kabisa na midomo yake!

Nasikia kuanzia mwakani anakuja na sera ya dispensary kila kijiji! Yaleyale ya wingi, na hii wakiitekeleza itabidi dada zetu wanaomaliza la saba ndio wawe manesi na tusubiri watu kupata ulemavu wa miguu kwa kuchomwa sindano na watu wasio qualify!

Ok, nirudi kwenye issue ya elimu. Elimu yetu inaugua ugonjwa wa kutisha. Yote hii ya madaktari ya kumfanyia mtu operation ya mguu badala ya kichwa, inatoa taswira ya ugonjwa ambao elimu yetu inaugua. Hawa ni matunda ya elimu yetu mbovu.

Sasa sisi hapa kama policy review body, tunawezaje kuboresha elimu yetu? So far hapo juu, as usual, nimefanikiwa tu kuwa against something. Je, tunaweza ku-propose something?

Tukate issue hapa, nami nitashuka baadaye kidogo na mapendekezo yangu (something for).

PS: hii mada ikiwa misplaced, naomba nisamehewe bure na ipelekwe panapohusika kama sio mahala pake.
Kitila,

This forum is for justice and integrity. What do you think we have been doing all this time? Your suggestions are tantamount to dropping the ball. Hii mada ya ufisadi na unyangau itaisha pale tu wahusika watakapowajibishwa na mali za nchi kukombolwa retroactively! Otherwise aluta continua.
 
...tuanzisheni kampeni ya kuforce ujenzi wa daraja la kigamboni.
 
Kitila,
Mimi nakuunga mkono. Hatuwezi kuwa one-directional. Mimi suala la quality education for all naamini ndio ukombozi wa mtanzania.
 
Hakieleweki hadi tuone watu wakishushwa segerea kwenye karandinga.Issue nyingine ziendelee kukatwa tu humu lakini ufisadi na ufuska wa vingunge wetu tutauongelea hapa kila siku.
 
yes, but what puzzles me is that with all those thousands of posts, you have ever thanked one post alone according to your profile!!!!!!to me I think you have been against always. let us change much even more tht what you think as a sort of encouragement.

Thanking what, I have no idea what you are talking about sir/madam!
 
kitila,

this forum is for justice and integrity. what do you think we have been doing all this time? your suggestions are tantamount to dropping the ball. hii mada ya ufisadi na unyangau itaisha pale tu wahusika watakapowajibishwa na mali za nchi kukombolwa retroactively! otherwise aluta continua.

great; if we are already doing then that is fine. Tuendelee basi, poa.
 
Kitila I second your idea of having such discussions,though am still a junior member of this forum,i do not think if you are restricted.You just put foward an issue and members will give out their wisdom.(You may correct me)
 
Naamini kuwa Kitila anachosema ni zaidi ya kuwa mahali pa ukosoaji bali pia pawe mahali pa mawazo mapya, mawazo ya utatuzi. Labda inawezekana tuwe na kasection ka "brain storming" ambapo mawazo yetu mbadala wa jinsi gani vitu viwe au vinapaswa kuwa yanaweza kutolewa na kuchambuliwa.

Section hiyo isiwe mahali pa kulalamika bali kugongana mawazo ya kuona nini kifanyike na hakuna mawazo yatakayopigwa marufuku isipokuwa yasiyohusiana na mawazo mbadala.

Iwe ni mahali pa brain storming for real, na kwa kufanya hivyo siyo tu tutashirikiana katika kuonesha mapungufu au makosa bali pia tutachangia akili zetu kutafuta suluhisho. Tunachoweza kufanya ni kuchagua mada za ku tackle that particular day or week..
 
Kwa mfano kuhusu uduni wa elimu yetu (kama tunakubaliana kwamba elimu yetu ni duni):

Mimi nafikiri kwamba tumewekeza sana katika elimu katika sections nyingi lakini tukaacha walimu. Matokeo yake ualimu imekuwa ni sector ambayo wanaoenda huku ni wale ambao walishindwa kupata marks za kwenda kusoma fani zingine. So, teaching profession has never been able to attract the best minds. How can we improve our teaching and learning kama the best minds haziendi kufundisha? Hivyo basi tunahitaji kufanya kama walivyofanya Korea ambapo ni kuhakikisha kuwa:

i) ualimu inakuwa ni profession inayolipwa mshahara mkubwa kuliko fani zengine zote katika taasisi za serikali

ii) asilimia angalau 5 ya waliofaulu vizuri wanaenda kusomea ualimu wa sayansi, lugha na hesabu

iii) tunakuwa na vyuo maalumu vya ualimu ambavyo vipo didicated kufundisha masomo ya lugha (kiingereza kikitiliwa mkazo) na hesabu. Haya masomo mawili ndiyo ambayo vijana wanaomaliza katika sekta zetu za elimu wapo hoi sana ukilinganisha na wengine katika ukanda wetu.

Baada ya hilo la ualimu, tupige hatua zaidi. Kwamba lugha za Kiingereza na Kiswahili zinafundishwa concurently kuanzia shule ya msingi na walimu ambao watakuwa wampepikwa vizuri hapo juu. Kiingereza pia kinakuwa ni moja ya lugha za mawasiliano katika jamii yetu sambamba na Kiswahili.

Watoto wakifika secondari, wapewe option za kuendelea na masomo kwa kutumia Kiswahili au Kiingereza. At the end of the day, tutakuwa na wanafunzi wanaojua lugha zote mbili kama lugha za mawasiliano, na kunakuwa na makundi ya wanafunzi wanaojua Kiingereza kama lugha ya taaluma na wengine Kiswahili kama lugha ya taaluma vilevile.

You see, these are some of what I call radical proposals ambazo tunaweza kuwauzia wanasiasa wakaweka kwenye sera za vyama vyao. Tukishakubaliana haya mawazo hapa yakawa ya JF, basi tunakubaliana kuwa chama kitakachoyakubali mawazo yao tutakiunga mkono katika uchaguzi. Sasa wengine mnasema tuliwahi kutoa radical proposals, lini? Mimi ni mkongwe katika forum hii, na siku zote tumenyooshea tu wanasiasa vidole. Twende mbele, leteni mawazo.

It is always easier to criticise than to propose. This forum is fuller of criticisms than proposals! We want to reverse the trend, so that it becomes a kisima where people who make decisions for our country can come and fetch our talents, wisdom and intellect. Our criticism then should always go along with radical and revolutionary proposals.
 
Kitila once again timely intervention!. Ni ukweli usiopingika kuna mambo hapa tunayachukulia for granted, suala kama la ajali only lina surface anapofikwa mkubwa mjadala unakuwa mrefu.

Kuna suala la kilimo tegemezi hakuna mkakati wowote wa muda mrefu au kati kutafuta ufumbuzi, watu wanatumia jembe la mkono matrekta yanapewa exemption ya kodi badala ya kupelekwa mashambani yanakugeuzwa magari ya taka Dar kwanini yasipigwe marufuku kufanya kazi kama hizo hilo nalo linahitaji resources gani?

Malori yanageuzwa kuwa mabasi usalama wa abiria unakuwa hatarini, mabasi hayana hata emergency doors mfano basi lililopinduka na kulalia mlango wa abiria na kuwaka moto Singida watu wamechomwa kama mishikaki hawana pa kutokea. Kuna amri za kukurupuka za Lowassa kutumia njia tatu Dar ambazo ndani ya miezi sita makumi ya watu wamekufa na mamia kupata vilema tumekaa kimya as if nothing wrong has happened.

Kuna mtu kazungumzia Daraja la Kigamboni taarifa zilizopo ni funders wapo tayari isipokuwa watu wa wizara ya miundo mbinu mambo yao hayajawekwa sawa. Kile kivuko cha Mv Kigamboni na Alina ni time bomb waiting to explode siku yatakapotokea ya kutokea (mungu apishie mbali) ndio utasikia wtu wanakurupa huko ni mikakati zimamoto.

Nadhani kuna mengi tunaweza kuyashupalia kwa kuanzia hapa JF na yakafanyika huko kwa wakuu, mifano tumeiona kwenye suala la Ukraine, Buzwagi, Bot nk
 
Naamini kuwa Kitila anachosema ni zaidi ya kuwa mahali pa ukosoaji bali pia pawe mahali pa mawazo mapya, mawazo ya utatuzi. Labda inawezekana tuwe na kasection ka "brain storming" ambapo mawazo yetu mbadala wa jinsi gani vitu viwe au vinapaswa kuwa yanaweza kutolewa na kuchambuliwa.

Section hiyo isiwe mahali pa kulalamika bali kugongana mawazo ya kuona nini kifanyike na hakuna mawazo yatakayopigwa marufuku isipokuwa yasiyohusiana na mawazo mbadala.

Iwe ni mahali pa brain storming for real, na kwa kufanya hivyo siyo tu tutashirikiana katika kuonesha mapungufu au makosa bali pia tutachangia akili zetu kutafuta suluhisho. Tunachoweza kufanya ni kuchagua mada za ku tackle that particular day or week..

Hii ndio hasa ambacho mimi nasema, ahsante sana. Wengine hatujui lugha rahisi ya kueleweka!
 
Kitila once again timely intervention!. Ni ukweli usiopingika kuna mambo hapa tunayachukulia for granted, suala kama la ajali only lina surface anapofikwa mkubwa mjadala unakuwa mrefu.

Kuna suala la kilimo tegemezi hakuna mkakati wowote wa muda mrefu au kati kutafuta ufumbuzi, watu wanatumia jembe la mkono matrekta yanapewa exemption ya kodi badala ya kupelekwa mashambani yanakugeuzwa magari ya taka Dar kwanini yasipigwe marufuku kufanya kazi kama hizo hilo nalo linahitaji resources gani?

Malori yanageuzwa kuwa mabasi usalama wa abiria unakuwa hatarini, mabasi hayana hata emergency doors mfano basi lililopinduka na kulalia mlango wa abiria na kuwaka moto Singida watu wamechomwa kama mishikaki hawana pa kutokea. Kuna amri za kukurupuka za Lowassa kutumia njia tatu Dar ambazo ndani ya miezi sita makumi ya watu wamekufa na mamia kupata vilema tumekaa kimya as if nothing wrong has happened.

Kuna mtu kazungumzia Daraja la Kigamboni taarifa zilizopo ni funders wapo tayari isipokuwa watu wa wizara ya miundo mbinu mambo yao hayajawekwa sawa. Kile kivuko cha Mv Kigamboni na Alina ni time bomb waiting to explode siku yatakapotokea ya kutokea (mungu apishie mbali) ndio utasikia wtu wanakurupa huko ni mikakati zimamoto.

Nadhani kuna mengi tunaweza kuyashupalia kwa kuanzia hapa JF na yakafanyika huko kwa wakuu, mifano tumeiona kwenye suala la Ukraine, Buzwagi, Bot nk


Mimi nakwambia ndugu yangu Masatu tukifanya hivi, hii forum itakuwa talk of the day na watu wengi watakuja kuchota hapa, hasa wale wanaofanya maamuzi. I mean sio kwamba tuache kumkoma nyani, ninachosema ni kwamba sambasamba na hili, tuwe tunaweka proposals za utatuzi (maneno ya MKJJ). Hii itatuongea thamani sana.
 
Ok.. hold on your thoughts guys.. ama sivyo hatutafika mbali.. we need to focus tunapoamua kuzungumzia issue fulani and in this case, kwenye mijadala ya utatuzi ya namna hii we need moderation ya flow of thoughts otherwise hatutafikia hatima ya hoja moja baada ya nyingine. Hebu tusubiri kidogo tuone kama tunaweza kuweka eneo la "Jambo Forum - Think Tank/Brain Storming".. halafu lets tackle issues with their own threads k.m elimu, ajali, customer service etc.. ama sivyo itakuwa vigumu sana kufuatilia nini kinaongolewa .... if you guys don't mind..
 
Mimi ninadhani ile section Ya Hoja nzito bado hatujaitumia sawa sawa , kule kwenye "hoja nzito" ndipo mijadala ya namna hii inafaa kwa sana. kwa hiyo ninapendekeza tuanze kufanya juhudi za makusudi kuipromote forum ya "hoja nzito".
 
Kwa mfano kuhusu uduni wa elimu yetu (kama tunakubaliana kwamba elimu yetu ni duni):

Mimi nafikiri kwamba tumewekeza sana katika elimu katika sections nyingi lakini tukaacha walimu. Matokeo yake ualimu imekuwa ni sector ambayo wanaoenda huku ni wale ambao walishindwa kupata marks za kwenda kusoma fani zingine. So, teaching profession has never been able to attract the best minds. How can we improve our teaching and learning kama the best minds haziendi kufundisha? Hivyo basi tunahitaji kufanya kama walivyofanya Korea ambapo ni kuhakikisha kuwa:

i) ualimu inakuwa ni profession inayolipwa mshahara mkubwa kuliko fani zengine zote katika taasisi za serikali

ii) asilimia angalau 5 ya waliofaulu vizuri wanaenda kusomea ualimu wa sayansi, lugha na hesabu

iii) tunakuwa na vyuo maalumu vya ualimu ambavyo vipo didicated kufundisha masomo ya lugha (kiingereza kikitiliwa mkazo) na hesabu. Haya masomo mawili ndiyo ambayo vijana wanaomaliza katika sekta zetu za elimu wapo hoi sana ukilinganisha na wengine katika ukanda wetu.

Baada ya hilo la ualimu, tupige hatua zaidi. Kwamba lugha za Kiingereza na Kiswahili zinafundishwa concurently kuanzia shule ya msingi na walimu ambao watakuwa wampepikwa vizuri hapo juu. Kiingereza pia kinakuwa ni moja ya lugha za mawasiliano katika jamii yetu sambamba na Kiswahili.

Watoto wakifika secondari, wapewe option za kuendelea na masomo kwa kutumia Kiswahili au Kiingereza. At the end of the day, tutakuwa na wanafunzi wanaojua lugha zote mbili kama lugha za mawasiliano, na kunakuwa na makundi ya wanafunzi wanaojua Kiingereza kama lugha ya taaluma na wengine Kiswahili kama lugha ya taaluma vilevile.

You see, these are some of what I call radical proposals ambazo tunaweza kuwauzia wanasiasa wakaweka kwenye sera za vyama vyao. Tukishakubaliana haya mawazo hapa yakawa ya JF, basi tunakubaliana kuwa chama kitakachoyakubali mawazo yao tutakiunga mkono katika uchaguzi. Sasa wengine mnasema tuliwahi kutoa radical proposals, lini? Mimi ni mkongwe katika forum hii, na siku zote tumenyooshea tu wanasiasa vidole. Twende mbele, leteni mawazo.

It is always easier to criticise than to propose. This forum is fuller of criticisms than proposals! We want to reverse the trend, so that it becomes a kisima where people who make decisions for our country can come and fetch our talents, wisdom and intellect. Our criticism then should always go along with radical and revolutionary proposals.

Hili la walimu , mimi nafikiri nchi ingeanza kuwa na Policy ya wale wenye kufanya vizuri wapewe kazi ya Ualimu, na Marupu rupu yao yaendane na hiyo kazi kama mishahara, trainning, nyumba, nk
Na Vivyo vivyo kwenye eneo la Masomo ya Science, hata incentive nyingine ya kama mortgage ya kujenga nyumba zao binafsi kwa guarantee toka kwenye serekalini etc
 
Kwa mfano kuhusu uduni wa elimu yetu (kama tunakubaliana kwamba elimu yetu ni duni):

Mimi nafikiri kwamba tumewekeza sana katika elimu katika sections nyingi lakini tukaacha walimu. Matokeo yake ualimu imekuwa ni sector ambayo wanaoenda huku ni wale ambao walishindwa kupata marks za kwenda kusoma fani zingine. So, teaching profession has never been able to attract the best minds. How can we improve our teaching and learning kama the best minds haziendi kufundisha? Hivyo basi tunahitaji kufanya kama walivyofanya Korea ambapo ni kuhakikisha kuwa:

i) ualimu inakuwa ni profession inayolipwa mshahara mkubwa kuliko fani zengine zote katika taasisi za serikali

ii) asilimia angalau 5 ya waliofaulu vizuri wanaenda kusomea ualimu wa sayansi, lugha na hesabu

iii) tunakuwa na vyuo maalumu vya ualimu ambavyo vipo didicated kufundisha masomo ya lugha (kiingereza kikitiliwa mkazo) na hesabu. Haya masomo mawili ndiyo ambayo vijana wanaomaliza katika sekta zetu za elimu wapo hoi sana ukilinganisha na wengine katika ukanda wetu.

Baada ya hilo la ualimu, tupige hatua zaidi. Kwamba lugha za Kiingereza na Kiswahili zinafundishwa concurently kuanzia shule ya msingi na walimu ambao watakuwa wampepikwa vizuri hapo juu. Kiingereza pia kinakuwa ni moja ya lugha za mawasiliano katika jamii yetu sambamba na Kiswahili.

Watoto wakifika secondari, wapewe option za kuendelea na masomo kwa kutumia Kiswahili au Kiingereza. At the end of the day, tutakuwa na wanafunzi wanaojua lugha zote mbili kama lugha za mawasiliano, na kunakuwa na makundi ya wanafunzi wanaojua Kiingereza kama lugha ya taaluma na wengine Kiswahili kama lugha ya taaluma vilevile.

You see, these are some of what I call radical proposals ambazo tunaweza kuwauzia wanasiasa wakaweka kwenye sera za vyama vyao. Tukishakubaliana haya mawazo hapa yakawa ya JF, basi tunakubaliana kuwa chama kitakachoyakubali mawazo yao tutakiunga mkono katika uchaguzi. Sasa wengine mnasema tuliwahi kutoa radical proposals, lini? Mimi ni mkongwe katika forum hii, na siku zote tumenyooshea tu wanasiasa vidole. Twende mbele, leteni mawazo.

It is always easier to criticise than to propose. This forum is fuller of criticisms than proposals! We want to reverse the trend, so that it becomes a kisima where people who make decisions for our country can come and fetch our talents, wisdom and intellect. Our criticism then should always go along with radical and revolutionary proposals.

Mkumbo mimi nina kubaliana nawe moja kwa moja, na ninadhani JF iwe ni njia au mahali pa watu mbalimbali kujifunza na kupata habari wakiwemo viongozi wa serikali na wasio wa kiserikali.

Vilevile JF kwa muda mwingi imekuwa inafuata upepo kama bendera, kwa maana issue zinazozungumziwa humu ni issue 'letwa' au zina kuwa ni historia. Kwa mawazo yako tujijengee uwezo wa kuibua issues za kuongelea humu ambazo hapa JF ndipo zitakuwa zimeanzia. Nasisitiza, na ninaunga mkono JF isiwe mahali pa kutupia lawama tu bali tutoe mawazo mbadala kwa kila jambo ni ni utatuzi wake tena kwa njia za kueleweka na kuaminika na siv inginevyo.
 
Back
Top Bottom