Nashauri kutumika kwa mbinu za makomandoo wa jwtz katika kukamata majambazi haswa pale polisi wetu wanapopata taarifa za wanapoishi majambazi kuepusha vifo vya askari wasio Na utaalam wa kikomandoo.
Tumeona tukio la Arusha Na sasa vikindu ambapo askari viongozi wameuawa kwenye msako mara wanapowakaribia kuwakamata majambazi husika.
Tumeona tukio la Arusha Na sasa vikindu ambapo askari viongozi wameuawa kwenye msako mara wanapowakaribia kuwakamata majambazi husika.