Ismail D
JF-Expert Member
- Jun 6, 2016
- 252
- 319
Hahaha itabidi tufanye hivyoMkuu naombeni Mniite mimi mola atanisamehe kwa siku hiyo kwa jinsi ntakavyombinua Binua Bwabwa huyo
Hahaha itabidi tufanye hivyoMkuu naombeni Mniite mimi mola atanisamehe kwa siku hiyo kwa jinsi ntakavyombinua Binua Bwabwa huyo
Kumbe ndo maana akili yako ndogo kiasi hicho.- Auditing Firm X&Bank X
-BAF(Mzumbe) ,CPA (T) (NBAA).
-Currently On Study Msc. Finance
UNAPIGWA NAO ubongo wako umechanganyika na kinyesi ndo maana unaropoka upuuziWakuu mi napendekeza tubadilishe katiba itayofuta Ukomo wa Rais Kugombea mfano Rais Magufuli anatufaa kabisa hata tusipofanya Uchaguzi wa Mwaka 2020 na 2025 anatosha labda kuwe na Uchaguzi wa Wabunge Mimi binafsi sioni sababu ya Kusikiliza Siasa za Kilaghai na Kitapeli kutoka Baadhi ya Vyama vya siasa nchini.
Pia wananchi wa Tanzania wanaonekana wanampenda sana rais wao kwa matendo yake na si kupaka rangi nyeupe Kichwani.
Ila tatizo ni Moja tuu tumpeleke yule fisadi katika mahakama ya Mafisadi kwani kusalia kwa fisadi Yule anayezunguka Nchi nzima kwa sasa kutapunguza idadi ya Kura 2020. Fisadi afunguliwe Mashtaka hata kama hakuna vielelezo vilivyokamilika. Kwani Rais alitoa ahadi ya Kuanzisha mahakama ya Mafisadi na Fisi pia anatuhuma za Ufisadi.
Mkuu umenipiga usoni.Akili zingine, unapomuita binadamu mwenzako fisi ni dalili za kuelekea ukichaani.
Halafu hata madikteta nkurunzinza na mugabe wanalazimika kufanya uchaguzi ili waonekane bado wanapendwa na watu.
UNAPIGWA NAO ubongo wako umechanganyika na kinyesi ndo maana unaropoka upuuziWakuu mi napendekeza tubadilishe katiba itayofuta Ukomo wa Rais Kugombea mfano Rais Magufuli anatufaa kabisa hata tusipofanya Uchaguzi wa Mwaka 2020 na 2025 anatosha labda kuwe na Uchaguzi wa Wabunge Mimi binafsi sioni sababu ya Kusikiliza Siasa za Kilaghai na Kitapeli kutoka Baadhi ya Vyama vya siasa nchini.
Pia wananchi wa Tanzania wanaonekana wanampenda sana rais wao kwa matendo yake na si kupaka rangi nyeupe Kichwani.
Ila tatizo ni Moja tuu tumpeleke yule fisadi katika mahakama ya Mafisadi kwani kusalia kwa fisadi Yule anayezunguka Nchi nzima kwa sasa kutapunguza idadi ya Kura 2020. Fisadi afunguliwe Mashtaka hata kama hakuna vielelezo vilivyokamilika. Kwani Rais alitoa ahadi ya Kuanzisha mahakama ya Mafisadi na Fisi pia anatuhuma za Ufisadi.
Kapimwe, huenda unalo tatizo la kiafya. Ukikuta uko sawasawa kiafya, jaribu kwenye ukoo, huenda kuna jambo ovu umetenda huko na haya majibu ni ya laana, au basi humaanishi unachokisema ni UTANi tu!!Wakuu mi napendekeza tubadilishe katiba itayofuta Ukomo wa Rais Kugombea mfano Rais Magufuli anatufaa kabisa hata tusipofanya Uchaguzi wa Mwaka 2020 na 2025 anatosha labda kuwe na Uchaguzi wa Wabunge Mimi binafsi sioni sababu ya Kusikiliza Siasa za Kilaghai na Kitapeli kutoka Baadhi ya Vyama vya siasa nchini.
Pia wananchi wa Tanzania wanaonekana wanampenda sana rais wao kwa matendo yake na si kupaka rangi nyeupe Kichwani.
Ila tatizo ni Moja tuu tumpeleke yule fisadi katika mahakama ya Mafisadi kwani kusalia kwa fisadi Yule anayezunguka Nchi nzima kwa sasa kutapunguza idadi ya Kura 2020. Fisadi afunguliwe Mashtaka hata kama hakuna vielelezo vilivyokamilika. Kwani Rais alitoa ahadi ya Kuanzisha mahakama ya Mafisadi na Fisi pia anatuhuma za Ufisadi.
Wewe so bure umetumwa kutupia huu Uzi jf sasa ninakueleza kwamba ulichotumwa hakina maaana kwa watz na kama mnampango huo basi mmefeli aslimia100.ushawishi wako unawezaleta matokeo hasi usipigiekampeni ufascist kwajili ya kitukidogo tumekushtukiaWakuu mi napendekeza tubadilishe katiba itayofuta Ukomo wa Rais Kugombea mfano Rais Magufuli anatufaa kabisa hata tusipofanya Uchaguzi wa Mwaka 2020 na 2025 anatosha labda kuwe na Uchaguzi wa Wabunge Mimi binafsi sioni sababu ya Kusikiliza Siasa za Kilaghai na Kitapeli kutoka Baadhi ya Vyama vya siasa nchini.
Pia wananchi wa Tanzania wanaonekana wanampenda sana rais wao kwa matendo yake na si kupaka rangi nyeupe Kichwani.
Ila tatizo ni Moja tuu tumpeleke yule fisadi katika mahakama ya Mafisadi kwani kusalia kwa fisadi Yule anayezunguka Nchi nzima kwa sasa kutapunguza idadi ya Kura 2020. Fisadi afunguliwe Mashtaka hata kama hakuna vielelezo vilivyokamilika. Kwani Rais alitoa ahadi ya Kuanzisha mahakama ya Mafisadi na Fisi pia anatuhuma za Ufisadi.
Mko vizuri bigupUzuri family yetu inamuogopa Mungu so hata ukija usiku hakuna atayekushikisha ukuta......
napita njiaUkimwi nyinyi, mv Bukoba nyinyi, tetemeko nyinyi, kijiji cha katerero kipo kwenu, pia nasikia kuna mto Ngono