Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 29,270
- 40,084
- Thread starter
- #41
Kwa nini mkuuUzi wa kibwege sana huu
Kwa nini mkuuUzi wa kibwege sana huu
Hata sijui ilikuaje yani.. daah.. ila ngoja nianze miachakato tenaha ha ha ha sababu ilikuwa ni nini?
Nadhani ukimpa uhakika wa maisha,mambo yatakaa sawaHata sijui ilikuaje yani.. daah.. ila ngoja nianze miachakato tena
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa7bu sidhan kama kuna mtu anahitaji kushauriwa kwenye hili mkuu hasa kwenye point ya kuacha Alama, Wenye uwezo na uhitaji wa kuzaa kwa point hiyo naamini wameshakata shauri tangu hapo kufanya hivyo na wengine hawatafanya maana kuna watu Alama uisemayo hawaoni umuhimu wake kwao na hata baadae. Labda ungetoa uzi kuhusu faida za kuzaa(kuacha alama) zilizothibitishwa; mfano kiafya nk. then uachie Wakuu wenyewe waamue.Kwa nini mkuu
Kama hukufanikiwa kupata mali,inakuwaje mkuu?
ha ha ha ha sawa mkuuKwa7bu sidhan kama kuna mtu anahitaji kushauriwa kwenye hili mkuu hasa kwenye point ya kuacha Alama, Wenye uwezo na uhitaji wa kuzaa kwa point hiyo naamini wameshakata shauri tangu hapo kufanya hivyo na wengine hawatafanya maana kuna watu Alama uisemayo hawaoni umuhimu wake kwao na hata baadae. Labda ungetoa uzi kuhusu faida za kuzaa(kuacha alama) zilizothibitishwa; mfano kiafya nk. then uachie Wakuu wenyewe waamue.
Wengi hawataki kwenda shambani
Tobaaaaa....ako kaalama katakua kaaina yakeeeha ha ha ha unawachukua wale wajuaji sana
Sura yaweza isisadifu yaliyomo
Naunga Mkono HojaMKUU SUALA LA KUPATA AU KUTOPATA MTOTO MARA NYINGI HALIJI KWA KUTAKA,MTOTO NI BARAKA AMBAYO SIO WOTE WANABARIKIWA
Mtoa mada yeye ana wangapi..??Hiyo ni pointi mkuu, wameletwa duniani kwa kazi hiyo