Tubadilike; Kutumia fedha nyingi kuwekeza kwa watoto kumepitwa na wakati

Zamani hizo watu wajanja walikuwa wakiwekeza kwenye watoto, na kuwasomesha kwa gharama, hadi chuo huko then waje kuajiriwa walipwe mshahara mzuri wawatunze

Kwa kiasi kikubwa kama mtoto wako alikuwa 'kichwa' miaka hiyo ya 1960-2000 huko hii likuwa formula iliyoleta matunda

Ila kwa miaka ya 2000 na kwenda mbele, hii formula ni pata potea

Idadi yetu ya watu na wasomi imekuwa ila uchumi rasmi haujakuwa kiasi cha kuweza ku absorb kama inavotakiwa hii nguvu kazi ya wasomi inayozalishwa kwa kasi

Njia nzuri ya ku secure future yako uzeeni na ya Watoto na wajukuu kwa sasa haipaswi kuwa hiyo ya kizamani ya miaka ya 60 hadi 2000

Kwa sasa Tz ni moja ya nchi inayoongoza kwa ukuaji mkubwa wa idadi ya watu, yaani mwaka 2100 itakuwa ni kwenye top 5 ya nchi zenye watu wengi duniani.

Imagine sensa ya mwaka 2012 idadi ya watu ilikuwa milioni 45 Tz, mwaka 2020 ilikadiriwa kuwa watu milioni 60, ongezeko la 33% ndani ya miaka 8..! Na hapo ni kabla ya ile kampeni ya Magufuli ya watu wafyatuane

Sasa njia nzuri ya ku capitalize kwenye hili ni kuwekeza kwenye ardhi, ardhi hasa ya maeneo ya miji ya kimkakati

Kumpeleka mtoto shule ya msingi ya milioni 3 kwa mwaka, haina guarantee ku secure future nzuri kama hizo milioni 3 kila mwaka(kwa miaka 7 ni milioni 21) ukawekeza kwenye viwanja au mashamba kwenye miji au karibu na miji inayokuwa kwa kasi..miaka 15 hadi 20 itakuwa na thamani kuliko hivyo vyeti

Japo elimu inampa ufahamu mtoto pia, ila sio lazima iwe ghali kiasi hicho
Ungejadili uwekezaji kwenye ardhi vis-a-vis uwekezaji kwenye soko la hisa, kwa mfano, hapo ungeeleweka. Wazazi wana invest a lot of emotional resources kwa watoto wao. Hilo ni tofauti sana na kuwekeza pesa kwenye kitu kama ardhi au nyumba ili baadaye upate faida. Kumsomesha mtoto shule nzuri hakumaanishi kuwa hapo baadaye Wazazi wanategemea wata reap monetary rewards off of their efforts kwa kuwalipia watoto wao shule za gharama. Siyo kila kitu kinapimwa kwa thamani ya pesa ndugu.

Ingekuwa binadamu wote wana fikra kama zako, basi kila raia wa kawaida wa nchi ambazo elimu ni bure kuanzia chekechea hadi Vyuo Vikuu angekuwa dollar millionaire.
 
Zamani hizo watu wajanja walikuwa wakiwekeza kwenye watoto, na kuwasomesha kwa gharama, hadi chuo huko then waje kuajiriwa walipwe mshahara mzuri wawatunze

Kwa kiasi kikubwa kama mtoto wako alikuwa 'kichwa' miaka hiyo ya 1960-2000 huko hii likuwa formula iliyoleta matunda

Ila kwa miaka ya 2000 na kwenda mbele, hii formula ni pata potea

Idadi yetu ya watu na wasomi imekuwa ila uchumi rasmi haujakuwa kiasi cha kuweza ku absorb kama inavotakiwa hii nguvu kazi ya wasomi inayozalishwa kwa kasi

Njia nzuri ya ku secure future yako uzeeni na ya Watoto na wajukuu kwa sasa haipaswi kuwa hiyo ya kizamani ya miaka ya 60 hadi 2000

Kwa sasa Tz ni moja ya nchi inayoongoza kwa ukuaji mkubwa wa idadi ya watu, yaani mwaka 2100 itakuwa ni kwenye top 5 ya nchi zenye watu wengi duniani.

Imagine sensa ya mwaka 2012 idadi ya watu ilikuwa milioni 45 Tz, mwaka 2020 ilikadiriwa kuwa watu milioni 60, ongezeko la 33% ndani ya miaka 8..! Na hapo ni kabla ya ile kampeni ya Magufuli ya watu wafyatuane

Sasa njia nzuri ya ku capitalize kwenye hili ni kuwekeza kwenye ardhi, ardhi hasa ya maeneo ya miji ya kimkakati

Kumpeleka mtoto shule ya msingi ya milioni 3 kwa mwaka, haina guarantee ku secure future nzuri kama hizo milioni 3 kila mwaka(kwa miaka 7 ni milioni 21) ukawekeza kwenye viwanja au mashamba kwenye miji au karibu na miji inayokuwa kwa kasi..miaka 15 hadi 20 itakuwa na thamani kuliko hivyo vyeti

Japo elimu inampa ufahamu mtoto pia, ila sio lazima iwe ghali kiasi hicho
Tuwekeze wapi Sasa ndugu, kwenye starehe, burudani au wapi sasa, utusaidie na mawazo hapo.
 
Huyo sii ajabu anaona uwekezaji ulio Bora ni mwanae akachunge kundi lake la ng'ombe badala ya kwenda shule ajue hata kusoma tu.
Mkereketwa mkubwa wa CCM huyu dada/kaka. Sasa naanza kuamini hawa watu kweli wana mapungufu makubwa ya kifikra.
 
Zamani hizo watu wajanja walikuwa wakiwekeza kwenye watoto, na kuwasomesha kwa gharama, hadi chuo huko then waje kuajiriwa walipwe mshahara mzuri wawatunze

Kwa kiasi kikubwa kama mtoto wako alikuwa 'kichwa' miaka hiyo ya 1960-2000 huko hii likuwa formula iliyoleta matunda

Ila kwa miaka ya 2000 na kwenda mbele, hii formula ni pata potea

Idadi yetu ya watu na wasomi imekuwa ila uchumi rasmi haujakuwa kiasi cha kuweza ku absorb kama inavotakiwa hii nguvu kazi ya wasomi inayozalishwa kwa kasi

Njia nzuri ya ku secure future yako uzeeni na ya Watoto na wajukuu kwa sasa haipaswi kuwa hiyo ya kizamani ya miaka ya 60 hadi 2000

Kwa sasa Tz ni moja ya nchi inayoongoza kwa ukuaji mkubwa wa idadi ya watu, yaani mwaka 2100 itakuwa ni kwenye top 5 ya nchi zenye watu wengi duniani.

Imagine sensa ya mwaka 2012 idadi ya watu ilikuwa milioni 45 Tz, mwaka 2020 ilikadiriwa kuwa watu milioni 60, ongezeko la 33% ndani ya miaka 8..! Na hapo ni kabla ya ile kampeni ya Magufuli ya watu wafyatuane

Sasa njia nzuri ya ku capitalize kwenye hili ni kuwekeza kwenye ardhi, ardhi hasa ya maeneo ya miji ya kimkakati

Kumpeleka mtoto shule ya msingi ya milioni 3 kwa mwaka, haina guarantee ku secure future nzuri kama hizo milioni 3 kila mwaka(kwa miaka 7 ni milioni 21) ukawekeza kwenye viwanja au mashamba kwenye miji au karibu na miji inayokuwa kwa kasi..miaka 15 hadi 20 itakuwa na thamani kuliko hivyo vyeti

Japo elimu inampa ufahamu mtoto pia, ila sio lazima iwe ghali kiasi hicho
Somesha watoto wajitambue uhakikishe malezi Yako yanawafanya wasimame wenyewe bila mali zako
Ukijifanya kuwekeza ukawasahau
Aroo baada ya wewe kukata moto ndani ya miezi SITA huo uwekezaji wako utakuwa sokoni watauza Kila kitu wabaki maskini wa kutupwa

Mali huja mali huisha ila ukiweza kuwapa malezi ya kusimama wenyewe ,umemaliza ,waweza ukakata moto usiwaache hata na sh 100 lkn wakichanga akili ulizowaachia wanasogea TU.
Wekeza ila weka nguvu kubwa Kwa watoto

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Za kuambiwa changanya na zako.Mkuu mtoa hoja nimekuelewa vizuri sana,unamaanisha usikomae kutoa hela nyiiingi kwenye kusomesha wakati kuna uwezekano mtoto akasoma shule za kawaida tu na again kilekile endapo ungempeleka shule za kawaida.

Soko LA ajira limekuwa tete,wasomi wamekuwa lukuki issue za kufanya hakuna,wakati huo ww mzazi umejinyima hadi ukaugua vidonda vya tumbo na bado ile faida uliyotarajia mtoto wako aipate hana baada kusomesha.

Shuleni lengo ni kupata maarifa ili yamsaidie kuhandle maisha na mazingira yanayomzunguka,kama unampeleka shule akishapata hayo maarifa bado hayamsaidii inabidi kuangalia mbinu mbadala zitakazomsadia.

Wahindi,Waarabu and the likes pamoja na kuwasomesha watoto wao ila wanawafundisha stadi za maisha pia,wanawafundisha biashara zao tangia wakiwa wadogo so akimaliza shule mtoto hata kama akikosa ajira anaendeleza pale alipoishia mshua na inakuwa rahisi kwake mana anajua Mzee alikuwa anafanyaje.

Akisomea na mambo ya uchumi ndio kabisa tunapata kina Moo Dewji ambao Mzee pale aliposhindwa yeye kwa vile ana elimu zaidi unakuta anatusua tu.
Lengo LA Elimu sio ufahari Bali kukufanya uweze kuyashinda mazingira.

Hatusomi ili tuonekane tumesoma or tumesoma shule zenye hela,hapana lengo ni kutatua matatizo yanayotuzunguka ili kuyafanya maisha yawe rahisi.ndio mana hakuna mwisho wa elimu duniani yaani huwezi sema mm nimemaliza kusoma kila kitu ninajua hayupo MTU wa namna hiyo dunia hii.
So unapaswa kujua nasoma lakini je nasoma ili iweje?
 
Zamani hizo watu wajanja walikuwa wakiwekeza kwenye watoto, na kuwasomesha kwa gharama, hadi chuo huko then waje kuajiriwa walipwe mshahara mzuri wawatunze

Kwa kiasi kikubwa kama mtoto wako alikuwa 'kichwa' miaka hiyo ya 1960-2000 huko hii likuwa formula iliyoleta matunda

Ila kwa miaka ya 2000 na kwenda mbele, hii formula ni pata potea

Idadi yetu ya watu na wasomi imekuwa ila uchumi rasmi haujakuwa kiasi cha kuweza ku absorb kama inavotakiwa hii nguvu kazi ya wasomi inayozalishwa kwa kasi

Njia nzuri ya ku secure future yako uzeeni na ya Watoto na wajukuu kwa sasa haipaswi kuwa hiyo ya kizamani ya miaka ya 60 hadi 2000

Kwa sasa Tz ni moja ya nchi inayoongoza kwa ukuaji mkubwa wa idadi ya watu, yaani mwaka 2100 itakuwa ni kwenye top 5 ya nchi zenye watu wengi duniani.

Imagine sensa ya mwaka 2012 idadi ya watu ilikuwa milioni 45 Tz, mwaka 2020 ilikadiriwa kuwa watu milioni 60, ongezeko la 33% ndani ya miaka 8..! Na hapo ni kabla ya ile kampeni ya Magufuli ya watu wafyatuane

Sasa njia nzuri ya ku capitalize kwenye hili ni kuwekeza kwenye ardhi, ardhi hasa ya maeneo ya miji ya kimkakati

Kumpeleka mtoto shule ya msingi ya milioni 3 kwa mwaka , haina guarantee ku secure future nzuri kama hizo milioni 3 kila mwaka(kwa miaka 7 ni milioni 21) ukawekeza kwenye viwanja au mashamba kwenye miji au karibu na miji inayokuwa kwa kasi..miaka 15 hadi 20 itakuwa na thamani kuliko hivyo vyeti

Japo elimu inampa ufahamu mtoto pia, ila sio lazima iwe ghali kiasi hicho

Edit
Naona kuna watu wanakosoa as if nimesema mtoto asisomeshwe, unaweza ukamsonesha tu shule nzuri za wastani kwa ada ya kawaida au hata Serikalini, wengi wamesoma huko na wapo vizuri

Na uzi kama huu unalenga Watanzania wanaoingiza kipato typical cha kitanzania, kuanzia milioni 3 hadi 50 kwa mwaka, sasa mtu anakuja na hoja ya mtu anaingiza milioni 200 kwa mwaka, hao ni asilimia ngapi ya watanzania? Na hao hawana shida na tatizo la kwenye hii mada yangu
Umeandika vizuri best , ukweli ndio huo
 
chinchilla coat achana na mawazo ya mtoto kuja kukusaidia uzeeni. Mtoto siyo bima yako ya uzeeni. Msomeshe mtoto wako ili akabili naisha yake ya baadaye siyo maisha yako ya uzeeni. Tafuta namna utakavyojisustain uzeeni siyo kutegemea watoto. Kwa mawazo yako haya utakuwa kero kwa watoto wako baadaye.
 
chinchilla coat achana na mawazo ya mtoto kuja kukusaidia uzeeni. Mtoto siyo bima yako ya uzeeni. Msomeshe mtoto wako ili akabili naisha yake ya baadaye siyo maisha yako ya uzeeni. Tafuta namna utakavyojisustain uzeeni siyo kutegemea watoto. Kwa mawazo yako haya utakuwa kero kwa watoto wako baadaye.
Ukweli ni kwamba watu wengi uwekeza Kwa watoto Ili Baadae waje kusaidiwa na watoto hao
 
Nakubaliana na wewe
Tuko zama za kulea watoto kimkakati
Heri kuandaa vitega uchumi kuliko kuchoma ada IST afu akaja tembeza bahasha
 
Ngoja tuonee ,mtt wangu mm anaupiga mwingi sana uwanjan ninachozingatia apatee vifaa vyt vya mazoezi japo na shule anasomaa japo za kawaida tu
Upo vizuri. Kitu ambacho wazazi wanakisahau kwa sasa ni kuendeleza kipaji cha mtoto.

Mtoto akiwa ana kipaji (ukiwemo mziki) mzazi kiendeleze. Wazazi wengine wanaogopa kuendeleza kipaji cha mtoto cha muziki. Eti muziki ni uhuni!. Muziki ni kazi kama kazi zingine!

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom